Kama kwa Katiba iliyopo Rais ana kila kitu, hiyo Tume Huru ya Uchaguzi utaipataje? Bunge na Mahakama ziko huru?

Kama kwa Katiba iliyopo Rais ana kila kitu, hiyo Tume Huru ya Uchaguzi utaipataje? Bunge na Mahakama ziko huru?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ni mtu aliyevimbiwa tu anayeweza kuanza kudai Tume Huru ya Uchaguzi kabla ya Katiba Mpya.

Katiba tuliyonayo hata irekebishwe vipi haitaweza kutoa mwanya wa kupata Tume Huru ya Uchaguzi kutokana na msingi wake.
Liangalie bunge kisha iangalie mahakama ndio utaelewa.

Tusisahau ilianza Katiba ya TANU (CCM) ndipo ikaja Katiba ya Tanganyika.

Mwenyekiti wa CCM ndio anateua viongozi wote nchini.

Nawatakia Sabato njema.
 
CCM hawataki tuwe na katiba mpya hivyo wanatumia kila mbinu kuhujumu/ kuchelewesha upatikanaji wa hiyo katiba.

Kwanini hawataki kuanzia pale katiba ya Warioba ilipoishia? Sababu wanazo toa kuhusu corona hazina ukweli! Kwani kama corona itakuwa haijaisha muda wa uchaguzi mkuu ukifika, je uchaguzi utaahirishwa?

Samia tupe katiba tuitakayo kama kweli unataka nchi iendelee.
 
Kule kwenye uzi wa Act Wazalendi nimewauliza hulo swali.

Namna gani vipi watafanya mwenyekiti wa CCM asiingize makucha yake kwenye tume huru?? Hizo sheria za uchaguzi zitatungwa na Bunge lipi?

Anyway ACT badi changa sana iko kwenye stage ya kutafuta kuungwa mkono na wanachama wapya.

Chadema imeshavuka hiyo stage.
 
Kuke kwenye uzi wa Act Wazalendi nimewauliza hulo swali.

Namna gani vipi watafanya mwenyekiti wa ccm asiingize makucha yake kwenye tume huru?? Hizo sheria za uchaguzi zitatungwa na Bunge lipi??

Anyway ACT badi changa sana iko kwenye stage ya kutafuta kuungwa mkono na wanachama wapya.

Chadema imeshavuka hiyo stage.
ACT wazalendo ni branch ya CCM!
 
Katiba mpya lazima ije na ama damu za watu au sadaka za damu
 
Back
Top Bottom