Kama kweli basi miye nimekuja kuwaaga!

ahahahahahha yaani imebidi nicheke tu......kama kwlei basi safari njema lolllllllllllll...ukashike kiwanja kikubwa tuko nyuma!!!:rip::rip::rip:

nawe umenchekesha,akashike kiwanja kikubwa sio.!Duh
 

mwanangu umevunja mbavu sana,teh teh acha uoga,umalaya wao tu.
 
Kuona ni bahati.mi niliona 2006 kesho yake ofcn nikapandishwa cheo.so subiri mazuli yanakuja
 
mambo ya imani hayo.
Binafsi nilisha wahi kusikia kitu kama hicho na ilikuwa hivi; 'niliamka asubuhi na mapema ili kujiandaa kwenda kazini, ile naa fungua mlango kutoka nje niliona paka waki-do...nikarudi ndani baada ya kumaliza kilichonitoa nje then nikatafakari jambo lile.
Nilipofika kazini nikawasimulia wenzangu na wao walishtuka na mmoja wao akaniambia ''pole na jiandae kupokea taarifa mbaya''....kweli ilipofika saa tatu asubuhi nikaambiwa bibi yangu amefariki'.
Hii ni habari ya kweli na mara nyingi wanyama wana ishara ya mambo mbali mbali kama ambavyo mbwa anaweza kuashiria kifo cha mtu hasa wa yule wa karibu sana na mfugaji wake.
 
bwana ae usiamini hayo mambo ......
siku yako ni Mwenyezi Mungu tu anajua
Paka hajui kitu bwana .....
imani mbovu hizo......
siku nyingine ukimwona huyo paka mpe chakula ananja tu...
 
Hapana siyo siku zako zimekaribia ila ni dalili kwamba na wewe utaambukizwa na kuwa malaya
 

Uswazi kwetu wana-duana juu la bati la nyumba nilojihifadhi... na bdo napeta tu...!!:yield:
 
siku ukisikia bundi analia juu ya paa la nyumba unayoishi inabidi ukafanye booking ya jeneza kabisa haipiti siku
 
Uswazi kwetu wana-duana juu la bati la nyumba nilojihifadhi... na bdo napeta tu...!!:yield:
Mkeshahoi inabidi ulale na Bible au Msaafu kuna watu wanakutafuta hapo kitaani kwako si bure
 
Mimi nimeona Simba sembuse paka?.....hufi bwana...simba ni jamii ya paka...yaani ni paka mkuu

 
Ukifika Mwambie sir God kilichosababisha ufike mapema kabla ya siku alizokupangia yeye....Pia mwambie sisi huku (ambao hatujaona paka...) tunateseka amtume Hata Eliya atuokoe
 

Teh..teh..teh..eh..Kama mimi ningekuwa wewe ningegawa mali zangu zote kwa ndugu na marafiki tena ningeanza na hilo gari lililosababisha nione hayo mambo ya paka wakubwa. baada ya hapo nisingetoka nyumbani tena mpaka nitakapokufa..........teh teh....teh:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…