BinMgen
JF-Expert Member
- Jun 18, 2008
- 1,858
- 284
Alooo! kwahiyo nasisi tuanze kuaaga? kwani ndio tayari tumeshaona! tafadhali ondoa hiyo picha, maisha matamu usiyafupishe bwana!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alooo! kwahiyo nasisi tuanze kuaaga? kwani ndio tayari tumeshaona! tafadhali ondoa hiyo picha, maisha matamu usiyafupishe bwana!.
ahahahahahha yaani imebidi nicheke tu......kama kwlei basi safari njema lolllllllllllll...ukashike kiwanja kikubwa tuko nyuma!!!:rip::rip::rip:
Kuna wakati nilisikia kuwa haiwezi tokea ukaona paka wana-doo na ukiona basi siku zako zinahesabika.
Sasa mimi leo asubuhi kigiza hivi nawahi job nikakuta paka wamekunjana barabarani walivyoona mwanga wa gari yule aliyekuwa juu katoka nduki wa kike kabung'aa kisha naye katoka nduki. Nikawapa story rafiki zangu hapa ofisini wakanambia eti siku zangu si nyingi! Dah nimechoka kwelikweli. Hivi n i kweli ama ULIKUWA UMALAYA WA HAWA PAKA? Na haiwezekani na wao wameanza kukosa maadili?
Nianze kuaga nini?
kwaerini mmenishinda!
Kuna wakati nilisikia kuwa haiwezi tokea ukaona paka wana-doo na ukiona basi siku zako zinahesabika.
Sasa mimi leo asubuhi kigiza hivi nawahi job nikakuta paka wamekunjana barabarani walivyoona mwanga wa gari yule aliyekuwa juu katoka nduki wa kike kabung'aa kisha naye katoka nduki. Nikawapa story rafiki zangu hapa ofisini wakanambia eti siku zangu si nyingi! Dah nimechoka kwelikweli. Hivi n i kweli ama ULIKUWA UMALAYA WA HAWA PAKA? Na haiwezekani na wao wameanza kukosa maadili?
Nianze kuaga nini?
Mkeshahoi inabidi ulale na Bible au Msaafu kuna watu wanakutafuta hapo kitaani kwako si bureUswazi kwetu wana-duana juu la bati la nyumba nilojihifadhi... na bdo napeta tu...!!:yield:
puliza kisogoHii style ya hao paka inaitwaje?
tangulia na sie twaja
Hii style ya hao paka inaitwaje?
Kuna wakati nilisikia kuwa haiwezi tokea ukaona paka wana-doo na ukiona basi siku zako zinahesabika.
Sasa mimi leo asubuhi kigiza hivi nawahi job nikakuta paka wamekunjana barabarani walivyoona mwanga wa gari yule aliyekuwa juu katoka nduki wa kike kabung'aa kisha naye katoka nduki. Nikawapa story rafiki zangu hapa ofisini wakanambia eti siku zangu si nyingi! Dah nimechoka kwelikweli. Hivi n i kweli ama ULIKUWA UMALAYA WA HAWA PAKA? Na haiwezekani na wao wameanza kukosa maadili?
Nianze kuaga nini?