Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 735
- 667
Kuna tetesi kuwa mchezaji wa zaman wa tp mazembe thomas ulimwengu atatambulishwa hii leo na club ya yanga, hvi kuna haja gani ya kumsajili garasa kwa sasa. Viongozi kwann?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini unadhani ni garasa? Tumia busara kidogo, Mimi ni Simba ila sikubaliani na hii lugha uliyotumiaKuna tetesi kuwa mchezaji wa zaman wa tp mazembe thomas ulimwengu atatambulishwa hii leo na club ya yanga, hvi kuna haja gani ya kumsajili garasa kwa sasa. Viongozi kwann?
Kama timu pinzani yako imesajili garasa inabidi ufurahieKwanini unadhani ni garasa? Tumia busara kidogo, Mimi ni Simba ila sikubaliani na hii lugha uliyotumia
Basi SAWAKama timu pinzani yako imesajili garasa inabidi ufurahie
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Ushabiki wa mpira usikutoe utu na akili.Kuna tetesi kuwa mchezaji wa zaman wa tp mazembe thomas ulimwengu atatambulishwa hii leo na club ya yanga, hvi kuna haja gani ya kumsajili garasa kwa sasa. Viongozi kwann?
Thomas Garasa!!!!??? Acha kumkosea heshima please. Mimi si shabiki wa Yanga ila siwezi kubeza ubora wa Thom.Kuna tetesi kuwa mchezaji wa zaman wa tp mazembe thomas ulimwengu atatambulishwa hii leo na club ya yanga, hvi kuna haja gani ya kumsajili garasa kwa sasa. Viongozi kwann?
Sawa kwa maoni yako uko sawa, ainisha vigezo basi kutetea ugarasa wake kwa mtazamo wakoKuna tetesi kuwa mchezaji wa zaman wa tp mazembe thomas ulimwengu atatambulishwa hii leo na club ya yanga, hvi kuna haja gani ya kumsajili garasa kwa sasa. Viongozi kwann?
Usitudhalilishe wanaSimba. Jibu kama wewe kwani kujibu kama mwanasimba hakuhalalishi jibu lakoKwanini unadhani ni garasa? Tumia busara kidogo, Mimi ni Simba ila sikubaliani na hii lugha uliyotumia
Kama kocha akimtaka sawa, ila na sisi tupunguze ujuaji! Yaan kila mtu ni kocha humu!Kuna tetesi kuwa mchezaji wa zaman wa tp mazembe thomas ulimwengu atatambulishwa hii leo na club ya yanga, hvi kuna haja gani ya kumsajili garasa kwa sasa. Viongozi kwann?
HujamuelewaUsitudhalilishe wanaSimba. Jibu kama wewe kwani kujibu kama mwanasimba hakuhalalishi jibu lako
Sasa nyie ambao amkusajili free agent mbona mmepitwa mbali kiubora mzeeMdadhiri -Free agent
Ulimwengu _ free agent
Bigilimana- free agent
Kombole -Free agent
Halafu uto wanatamba et Wana pesa.Hii nchi ni ngumu sana
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ubora ganiSasa nyie ambao amkusajili free agent mbona mmepitwa mbali kiubora mzee
Hebu tutajie mchezaji hata mmoja wa Simba mliyemnunua kutoka timu nyingine!!. Huo ukubwa mnaosemaga ni upi?Mdadhiri -Free agent
Ulimwengu _ free agent
Bigilimana- free agent
Kombole -Free agent
Halafu uto wanatamba et Wana pesa.Hii nchi ni ngumu sana
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Unaumia?Mdadhiri -Free agent
Ulimwengu _ free agent
Bigilimana- free agent
Kombole -Free agent
Halafu uto wanatamba et Wana pesa.Hii nchi ni ngumu sana
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app