Cute Cindy
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 211
- 594
KKumekuwa na maneno mengi mitandaoni tangu miaka ya 2009 kuwa ITV huwacheleweshea mishahara wafanyakazi wake, mengi kwenye kitabu chake cha I can alisema biashara ya media ina faida ndogo sana, mange kimambi alisema kuwa ITV ina miezi hailipi mishahara coz Hamna kitu (haitengenez pesa ya kutosha)
Ninachoshangaa kama kweli ITV inaleta hasara/haileti faida, kwann wasiifunge hiyo Chanel au waiuze Kwa MTU mwingine
Ninachoshangaa kama kweli ITV inaleta hasara/haileti faida, kwann wasiifunge hiyo Chanel au waiuze Kwa MTU mwingine