Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hii ndio imani yangu kwasababu sio kila mtu anapenda dhuluma, unyonyaji na wizi wa kiwango hiki. Isitoshe, wako ambao watakuwa hawajapata mgao na hawa hawatakii kimya.
Tusisahau pia vita ya kisiasa baina ya wanasiasa wenyewe wa humu ndani kuelekea 2025, hivyo lazima walipuane na wapinzani ndio watapenyezewe siri wazitoe majukwaani na kwenye mikutano na wanahabari.
Pia, wako washindani wa kibiashara wa kimataifa wa ile kampuni inayolalamikiwa ambao nao wnaweza kuingia kazini kutafuta ukweli.
Mwisho, Mwarabu na watu wa Magharibi, wana uadui wa aina fulani, hivyo Mzungu hatawaacha salama ukizingatia yeyen ndio anamikili teknolojia.
Tuhuma hizi ni kubwa mno kupita hivi hivi, kwahiyo ni swala la muda tu.
Time will tell.
Tusisahau pia vita ya kisiasa baina ya wanasiasa wenyewe wa humu ndani kuelekea 2025, hivyo lazima walipuane na wapinzani ndio watapenyezewe siri wazitoe majukwaani na kwenye mikutano na wanahabari.
Pia, wako washindani wa kibiashara wa kimataifa wa ile kampuni inayolalamikiwa ambao nao wnaweza kuingia kazini kutafuta ukweli.
Mwisho, Mwarabu na watu wa Magharibi, wana uadui wa aina fulani, hivyo Mzungu hatawaacha salama ukizingatia yeyen ndio anamikili teknolojia.
Tuhuma hizi ni kubwa mno kupita hivi hivi, kwahiyo ni swala la muda tu.
Time will tell.