Pre GE2025 Kama kweli namba hazidanganyi, basi CHADEMA inaweza kushinda uchaguzi wa mwaka huu asubuhi kabla ya misa ya kwanza. Hizi hapa tafiti

Pre GE2025 Kama kweli namba hazidanganyi, basi CHADEMA inaweza kushinda uchaguzi wa mwaka huu asubuhi kabla ya misa ya kwanza. Hizi hapa tafiti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Dialogist

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
1,167
Reaction score
1,872
Wanabodini Mlimakafu??

Mimi ni mpenzi wa siasa za maendeleo zaidi na sio za kiharakati. Wakati huo napenda siasa za kisomi kweli kweli..

Nimekaa nikatafakari baada ya kuisha uchaguzi wa Chadema, nimeona mwaka huu kama hawatapata urais basi watakua na wabunge wengi zaidi bungeni (over 50%) of all...

Hili linachagizwa na mambo kadhaa yafuatayo...

1. Kuongezeka kwa umaarufu wa Chadema kipindi hiki hasa wakati na baada ya uchaguzi, hivyo kupata wafuatiliaji wengi.

2. Ushindi wa Tundu Lissu ambao kwa namna fulani umerudisha chama katika ule mstari wa zamani na hivyo kurejesha matumaini ya watanzania kupata mtu sahihi wa kuwatetea na kuwasemea katika mamlaka mbalimbali. Wengi tumeona wakiwa na shauku ya kujiunga na chama hiki.

3. Kuwepo kwa vijana wengi mtaani ambao hawana ajira na wana elimu na ufahamu wa kutosha juu ya kila jambo linaloendelea nchini. Na hii inachagizwa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano. Hivyo Chadema wakichanga karata vizuri wakaandikisha vijana wengi kwenye chama na hatimae kwenye daftari la wapiga kura basi wamelamba dume. Zinangatia vijana wengi ni wa kuanzia 2000 kupanda juu ambao wamekuta chadema ipo on peak na wanamjua Lissu vyema.

4. Kuongezeka kujitambua kwa watu mbalimbali hasa kwa kufahamu na kuelewa madhara ya rushwa. Hivyo wanaweza kuamua kula rushwa lakini wasikuchague.

Rejea uchaguzi wa TLS (fununu) Uchaguzi wa Bavicha na hata huu uchaguzi mkuu wa Chadema (fununu). Hilo kupelekea hata kama tukiingia uchaguzi mkuu, mgombea yoyote akitumia rushwa inaweza kula kwake.

Na sababu nyingine kadha wa kadha..

Welcome on board for discussion.

#TANZANIA KWANZA, TUTAILINDA NA KUITHAMINI
 
Wanabodini Mlimakafu??

Mimi ni mpenzi wa siasa za maendeleo zaidi na sio za kiharakati. Wakati huo napenda siasa za kisomi kweli kweli..

Nimekaa nikatafakari baada ya kuisha uchaguzi wa Chadema, nimeona mwaka huu kama hawatapata urais basi watakua na wabunge wengi zaidi bungeni (over 50%) of all...

Hili linachagizwa na mambo kadhaa yafuatayo...

1. Kuongezeka kwa umaarufu wa Chadema kipindi hiki hasa wakati na baada ya uchaguzi, hivyo kupata wafuatiliaji wengi.

2. Ushindi wa Tundu Lissu ambao kwa namna fulani umerudisha chama katika ule mstari wa zamani na hivyo kurejesha matumaini ya watanzania kupata mtu sahihi wa kuwatetea na kuwasemea katika mamlaka mbalimbali. Wengi tumeona wakiwa na shauku ya kujiunga na chama hiki.

3. Kuwepo kwa vijana wengi mtaani ambao hawana ajira na wana elimu na ufahamu wa kutosha juu ya kila jambo linaloendelea nchini. Na hii inachagizwa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano. Hivyo Chadema wakichanga karata vizuri wakaandikisha vijana wengi kwenye chama na hatimae kwenye daftari la wapiga kura basi wamelamba dume. Zinangatia vijana wengi ni wa kuanzia 2000 kupanda juu ambao wamekuta chadema ipo on peak na wanamjua Lissu vyema.

4. Kuongezeka kujitambua kwa watu mbalimbali hasa kwa kufahamu na kuelewa madhara ya rushwa. Hivyo wanaweza kuamua kula rushwa lakini wasikuchague.

Rejea uchaguzi wa TLS (fununu) Uchaguzi wa Bavicha na hata huu uchaguzi mkuu wa Chadema (fununu). Hilo kupelekea hata kama tukiingia uchaguzi mkuu, mgombea yoyote akitumia rushwa inaweza kula kwake.

Na sababu nyingine kadha wa kadha..

Welcome on board for discussion.

#TANZANIA KWANZA, TUTAILINDA NA KUITHAMINI
Kwa tume ipi ya uchaguzi
 
Mkuu Njoo tujenge CHAUMA tujenge chama... CCM Kun'gatuka bado miaka kama 50 hivi. Amini kwamba.. Mimi nipo tayari kubet kuanzia sasa.. Kuwa kitashinda Kuna yule Gemedari wa bao la mkono.

Kumbuka Mwendazake alikuwa kanyooka sana alikuwa wazi "Nikupe kazi, Gari, Mshaharaa halafu umtangaze mpinzani huwezi ki,survive"

No reform No election kauli mbiu ya Lissu ikiwa bunge linavunjwa mwezi wa saba hiyo katiba itakuwa recommend lini?? Unadhani Mama ndiyo Atakubali chama kimfie mkononi!!!?? 🤣
Lolote linaweza kutokea
 
Wanabodini Mlimakafu??

Mimi ni mpenzi wa siasa za maendeleo zaidi na sio za kiharakati. Wakati huo napenda siasa za kisomi kweli kweli..

Nimekaa nikatafakari baada ya kuisha uchaguzi wa Chadema, nimeona mwaka huu kama hawatapata urais basi watakua na wabunge wengi zaidi bungeni (over 50%) of all...

Hili linachagizwa na mambo kadhaa yafuatayo...

1. Kuongezeka kwa umaarufu wa Chadema kipindi hiki hasa wakati na baada ya uchaguzi, hivyo kupata wafuatiliaji wengi.

2. Ushindi wa Tundu Lissu ambao kwa namna fulani umerudisha chama katika ule mstari wa zamani na hivyo kurejesha matumaini ya watanzania kupata mtu sahihi wa kuwatetea na kuwasemea katika mamlaka mbalimbali. Wengi tumeona wakiwa na shauku ya kujiunga na chama hiki.

3. Kuwepo kwa vijana wengi mtaani ambao hawana ajira na wana elimu na ufahamu wa kutosha juu ya kila jambo linaloendelea nchini. Na hii inachagizwa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano. Hivyo Chadema wakichanga karata vizuri wakaandikisha vijana wengi kwenye chama na hatimae kwenye daftari la wapiga kura basi wamelamba dume. Zinangatia vijana wengi ni wa kuanzia 2000 kupanda juu ambao wamekuta chadema ipo on peak na wanamjua Lissu vyema.

4. Kuongezeka kujitambua kwa watu mbalimbali hasa kwa kufahamu na kuelewa madhara ya rushwa. Hivyo wanaweza kuamua kula rushwa lakini wasikuchague.

Rejea uchaguzi wa TLS (fununu) Uchaguzi wa Bavicha na hata huu uchaguzi mkuu wa Chadema (fununu). Hilo kupelekea hata kama tukiingia uchaguzi mkuu, mgombea yoyote akitumia rushwa inaweza kula kwake.

Na sababu nyingine kadha wa kadha..

Welcome on board for discussion.

#TANZANIA KWANZA, TUTAILINDA NA KUITHAMINI
Ngojeni mle za uso mje mseme Time ya uchaguzi co huru kulaleki zenu.
 
Wanabodini Mlimakafu??

Mimi ni mpenzi wa siasa za maendeleo zaidi na sio za kiharakati. Wakati huo napenda siasa za kisomi kweli kweli..

Nimekaa nikatafakari baada ya kuisha uchaguzi wa Chadema, nimeona mwaka huu kama hawatapata urais basi watakua na wabunge wengi zaidi bungeni (over 50%) of all...

Hili linachagizwa na mambo kadhaa yafuatayo...

1. Kuongezeka kwa umaarufu wa Chadema kipindi hiki hasa wakati na baada ya uchaguzi, hivyo kupata wafuatiliaji wengi.

2. Ushindi wa Tundu Lissu ambao kwa namna fulani umerudisha chama katika ule mstari wa zamani na hivyo kurejesha matumaini ya watanzania kupata mtu sahihi wa kuwatetea na kuwasemea katika mamlaka mbalimbali. Wengi tumeona wakiwa na shauku ya kujiunga na chama hiki.

3. Kuwepo kwa vijana wengi mtaani ambao hawana ajira na wana elimu na ufahamu wa kutosha juu ya kila jambo linaloendelea nchini. Na hii inachagizwa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano. Hivyo Chadema wakichanga karata vizuri wakaandikisha vijana wengi kwenye chama na hatimae kwenye daftari la wapiga kura basi wamelamba dume. Zinangatia vijana wengi ni wa kuanzia 2000 kupanda juu ambao wamekuta chadema ipo on peak na wanamjua Lissu vyema.

4. Kuongezeka kujitambua kwa watu mbalimbali hasa kwa kufahamu na kuelewa madhara ya rushwa. Hivyo wanaweza kuamua kula rushwa lakini wasikuchague.

Rejea uchaguzi wa TLS (fununu) Uchaguzi wa Bavicha na hata huu uchaguzi mkuu wa Chadema (fununu). Hilo kupelekea hata kama tukiingia uchaguzi mkuu, mgombea yoyote akitumia rushwa inaweza kula kwake.

Na sababu nyingine kadha wa kadha..

Welcome on board for discussion.

#TANZANIA KWANZA, TUTAILINDA NA KUITHAMINI
Kuna mengi ya kuandika sio kupoteza muda ukisubiri ccm ambayo inamuandaa quailah wa shetta kuwa kiongozi wa kitaifa akiwa na umri wa miaka 10 ,ccm ni dude kubwa sana linamizizi mpaka chumbani kwako.
 
Usiishi kwa kukariri
Unawatoaje madarakani CCM?
TUME YA UCHAGUZI YA KWAO.

MKURUGENZI NA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI WA KWAO TENA WAKIWA WANACHAMA WATIIFU.

KILA KITU WANAANDAA WAO.

POLISI WA KWAO.

JESHI LA KWAO.

MAGARI,PESA NA VIFAA WANATOA WAO.

NYINYI CHADEMA MNASHINDAJE? NIPE MECHANISM YA USHINDI?
 
Wanabodini Mlimakafu??

Mimi ni mpenzi wa siasa za maendeleo zaidi na sio za kiharakati. Wakati huo napenda siasa za kisomi kweli kweli..

Nimekaa nikatafakari baada ya kuisha uchaguzi wa Chadema, nimeona mwaka huu kama hawatapata urais basi watakua na wabunge wengi zaidi bungeni (over 50%) of all...

Hili linachagizwa na mambo kadhaa yafuatayo...

1. Kuongezeka kwa umaarufu wa Chadema kipindi hiki hasa wakati na baada ya uchaguzi, hivyo kupata wafuatiliaji wengi.

2. Ushindi wa Tundu Lissu ambao kwa namna fulani umerudisha chama katika ule mstari wa zamani na hivyo kurejesha matumaini ya watanzania kupata mtu sahihi wa kuwatetea na kuwasemea katika mamlaka mbalimbali. Wengi tumeona wakiwa na shauku ya kujiunga na chama hiki.

3. Kuwepo kwa vijana wengi mtaani ambao hawana ajira na wana elimu na ufahamu wa kutosha juu ya kila jambo linaloendelea nchini. Na hii inachagizwa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano. Hivyo Chadema wakichanga karata vizuri wakaandikisha vijana wengi kwenye chama na hatimae kwenye daftari la wapiga kura basi wamelamba dume. Zinangatia vijana wengi ni wa kuanzia 2000 kupanda juu ambao wamekuta chadema ipo on peak na wanamjua Lissu vyema.

4. Kuongezeka kujitambua kwa watu mbalimbali hasa kwa kufahamu na kuelewa madhara ya rushwa. Hivyo wanaweza kuamua kula rushwa lakini wasikuchague.

Rejea uchaguzi wa TLS (fununu) Uchaguzi wa Bavicha na hata huu uchaguzi mkuu wa Chadema (fununu). Hilo kupelekea hata kama tukiingia uchaguzi mkuu, mgombea yoyote akitumia rushwa inaweza kula kwake.

Na sababu nyingine kadha wa kadha..

Welcome on board for discussion.

#TANZANIA KWANZA, TUTAILINDA NA KUITHAMINI
Kwa nini watanzania wanapenda sana kujidanganya na kuacha kutumia akili zao?

Hapa Tanzania CCM haitakuja kushindwa uchaguzi wowote, acheni kujidanganya.
Lazima tume iwe huru hio ndio kitu cha kwanza kinatakiwa
 
Wanabodini Mlimakafu??

Mimi ni mpenzi wa siasa za maendeleo zaidi na sio za kiharakati. Wakati huo napenda siasa za kisomi kweli kweli..

Nimekaa nikatafakari baada ya kuisha uchaguzi wa Chadema, nimeona mwaka huu kama hawatapata urais basi watakua na wabunge wengi zaidi bungeni (over 50%) of all...

Hili linachagizwa na mambo kadhaa yafuatayo...

1. Kuongezeka kwa umaarufu wa Chadema kipindi hiki hasa wakati na baada ya uchaguzi, hivyo kupata wafuatiliaji wengi.

2. Ushindi wa Tundu Lissu ambao kwa namna fulani umerudisha chama katika ule mstari wa zamani na hivyo kurejesha matumaini ya watanzania kupata mtu sahihi wa kuwatetea na kuwasemea katika mamlaka mbalimbali. Wengi tumeona wakiwa na shauku ya kujiunga na chama hiki.

3. Kuwepo kwa vijana wengi mtaani ambao hawana ajira na wana elimu na ufahamu wa kutosha juu ya kila jambo linaloendelea nchini. Na hii inachagizwa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano. Hivyo Chadema wakichanga karata vizuri wakaandikisha vijana wengi kwenye chama na hatimae kwenye daftari la wapiga kura basi wamelamba dume. Zinangatia vijana wengi ni wa kuanzia 2000 kupanda juu ambao wamekuta chadema ipo on peak na wanamjua Lissu vyema.

4. Kuongezeka kujitambua kwa watu mbalimbali hasa kwa kufahamu na kuelewa madhara ya rushwa. Hivyo wanaweza kuamua kula rushwa lakini wasikuchague.

Rejea uchaguzi wa TLS (fununu) Uchaguzi wa Bavicha na hata huu uchaguzi mkuu wa Chadema (fununu). Hilo kupelekea hata kama tukiingia uchaguzi mkuu, mgombea yoyote akitumia rushwa inaweza kula kwake.

Na sababu nyingine kadha wa kadha..

Welcome on board for discussion.

#TANZANIA KWANZA, TUTAILINDA NA KUITHAMINI
Ukweli ni kwamba Watanzania wameichoka CCM, wanatawala tu kwa siasa chafu na wizi wa kura.
 
Wanabodini Mlimakafu??

Mimi ni mpenzi wa siasa za maendeleo zaidi na sio za kiharakati. Wakati huo napenda siasa za kisomi kweli kweli..

Nimekaa nikatafakari baada ya kuisha uchaguzi wa Chadema, nimeona mwaka huu kama hawatapata urais basi watakua na wabunge wengi zaidi bungeni (over 50%) of all...

Hili linachagizwa na mambo kadhaa yafuatayo...

1. Kuongezeka kwa umaarufu wa Chadema kipindi hiki hasa wakati na baada ya uchaguzi, hivyo kupata wafuatiliaji wengi.

2. Ushindi wa Tundu Lissu ambao kwa namna fulani umerudisha chama katika ule mstari wa zamani na hivyo kurejesha matumaini ya watanzania kupata mtu sahihi wa kuwatetea na kuwasemea katika mamlaka mbalimbali. Wengi tumeona wakiwa na shauku ya kujiunga na chama hiki.

3. Kuwepo kwa vijana wengi mtaani ambao hawana ajira na wana elimu na ufahamu wa kutosha juu ya kila jambo linaloendelea nchini. Na hii inachagizwa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano. Hivyo Chadema wakichanga karata vizuri wakaandikisha vijana wengi kwenye chama na hatimae kwenye daftari la wapiga kura basi wamelamba dume. Zinangatia vijana wengi ni wa kuanzia 2000 kupanda juu ambao wamekuta chadema ipo on peak na wanamjua Lissu vyema.

4. Kuongezeka kujitambua kwa watu mbalimbali hasa kwa kufahamu na kuelewa madhara ya rushwa. Hivyo wanaweza kuamua kula rushwa lakini wasikuchague.

Rejea uchaguzi wa TLS (fununu) Uchaguzi wa Bavicha na hata huu uchaguzi mkuu wa Chadema (fununu). Hilo kupelekea hata kama tukiingia uchaguzi mkuu, mgombea yoyote akitumia rushwa inaweza kula kwake.

Na sababu nyingine kadha wa kadha..

Welcome on board for discussion.

#TANZANIA KWANZA, TUTAILINDA NA KUITHAMINI
Mbele ya kuingiza maboksi ya kura....tafiti uchwara hizi
 
Wanabodini Mlimakafu??

Mimi ni mpenzi wa siasa za maendeleo zaidi na sio za kiharakati. Wakati huo napenda siasa za kisomi kweli kweli..

Nimekaa nikatafakari baada ya kuisha uchaguzi wa Chadema, nimeona mwaka huu kama hawatapata urais basi watakua na wabunge wengi zaidi bungeni (over 50%) of all...

Hili linachagizwa na mambo kadhaa yafuatayo...

1. Kuongezeka kwa umaarufu wa Chadema kipindi hiki hasa wakati na baada ya uchaguzi, hivyo kupata wafuatiliaji wengi.

2. Ushindi wa Tundu Lissu ambao kwa namna fulani umerudisha chama katika ule mstari wa zamani na hivyo kurejesha matumaini ya watanzania kupata mtu sahihi wa kuwatetea na kuwasemea katika mamlaka mbalimbali. Wengi tumeona wakiwa na shauku ya kujiunga na chama hiki.

3. Kuwepo kwa vijana wengi mtaani ambao hawana ajira na wana elimu na ufahamu wa kutosha juu ya kila jambo linaloendelea nchini. Na hii inachagizwa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano. Hivyo Chadema wakichanga karata vizuri wakaandikisha vijana wengi kwenye chama na hatimae kwenye daftari la wapiga kura basi wamelamba dume. Zinangatia vijana wengi ni wa kuanzia 2000 kupanda juu ambao wamekuta chadema ipo on peak na wanamjua Lissu vyema.

4. Kuongezeka kujitambua kwa watu mbalimbali hasa kwa kufahamu na kuelewa madhara ya rushwa. Hivyo wanaweza kuamua kula rushwa lakini wasikuchague.

Rejea uchaguzi wa TLS (fununu) Uchaguzi wa Bavicha na hata huu uchaguzi mkuu wa Chadema (fununu). Hilo kupelekea hata kama tukiingia uchaguzi mkuu, mgombea yoyote akitumia rushwa inaweza kula kwake.

Na sababu nyingine kadha wa kadha..

Welcome on board for discussion.

#TANZANIA KWANZA, TUTAILINDA NA KUITHAMINI
Naam, hiyo ni dalili Safi mbele ya macho yanayotarajia mambo MEMA yatokee kwa nchi yetu.
 
Kwa nini watanzania wanapenda sana kujidanganya na kuacha kutumia akili zao?

Hapa Tanzania CCM haitakuja kushondwa uchaguzi wowote, acheni kujidanganya.
Lazima tume iwe huru hio ndio kitu cha kwanza kinatakiwa
Total " REFORMS " kwa nyanja zote ndio mlango, kinyume Cha hapo , bado ni Giza kwa kweli ?
 
Back
Top Bottom