Pre GE2025 Kama kweli namba hazidanganyi, basi CHADEMA inaweza kushinda uchaguzi wa mwaka huu asubuhi kabla ya misa ya kwanza. Hizi hapa tafiti

Pre GE2025 Kama kweli namba hazidanganyi, basi CHADEMA inaweza kushinda uchaguzi wa mwaka huu asubuhi kabla ya misa ya kwanza. Hizi hapa tafiti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanabodini Mlimakafu??

Mimi ni mpenzi wa siasa za maendeleo zaidi na sio za kiharakati. Wakati huo napenda siasa za kisomi kweli kweli..

Nimekaa nikatafakari baada ya kuisha uchaguzi wa Chadema, nimeona mwaka huu kama hawatapata urais basi watakua na wabunge wengi zaidi bungeni (over 50%) of all...

Hili linachagizwa na mambo kadhaa yafuatayo...

1. Kuongezeka kwa umaarufu wa Chadema kipindi hiki hasa wakati na baada ya uchaguzi, hivyo kupata wafuatiliaji wengi.

2. Ushindi wa Tundu Lissu ambao kwa namna fulani umerudisha chama katika ule mstari wa zamani na hivyo kurejesha matumaini ya watanzania kupata mtu sahihi wa kuwatetea na kuwasemea katika mamlaka mbalimbali. Wengi tumeona wakiwa na shauku ya kujiunga na chama hiki.

3. Kuwepo kwa vijana wengi mtaani ambao hawana ajira na wana elimu na ufahamu wa kutosha juu ya kila jambo linaloendelea nchini. Na hii inachagizwa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano. Hivyo Chadema wakichanga karata vizuri wakaandikisha vijana wengi kwenye chama na hatimae kwenye daftari la wapiga kura basi wamelamba dume. Zinangatia vijana wengi ni wa kuanzia 2000 kupanda juu ambao wamekuta chadema ipo on peak na wanamjua Lissu vyema.

4. Kuongezeka kujitambua kwa watu mbalimbali hasa kwa kufahamu na kuelewa madhara ya rushwa. Hivyo wanaweza kuamua kula rushwa lakini wasikuchague.

Rejea uchaguzi wa TLS (fununu) Uchaguzi wa Bavicha na hata huu uchaguzi mkuu wa Chadema (fununu). Hilo kupelekea hata kama tukiingia uchaguzi mkuu, mgombea yoyote akitumia rushwa inaweza kula kwake.

Na sababu nyingine kadha wa kadha..

Welcome on board for discussion.

#TANZANIA KWANZA, TUTAILINDA NA KUITHAMINI
Umaarufu wa sasa wa CDM hauzidi ule 2020na kurudi nyuma.
 
Kwa tume ipi ya uchaguzi
Tume hii hii ya uchaguzi, hata ule uchaguzi uliowapeleka wabunge wengi wa upinzani bungeni tume ilikua hii hii... sitaki kuzungumzia reform maana kwangu ni merely a myth kwa utawala huu wa CCM...
 
CCM WANAO UWEZO WA KUSHINDA URAISI KWA MIAKA HATA 100 MFULULIZO.
Yes... sababu wamejenga mfumo wa miaka dahari. So na Chadema inawezekana kabisa ikachenga mfumo taratibu, mwaka huu wakawa na focus ya wabunge zaidi wakijua urais haiwezekani.. Lakini pia lolote laweza tokea. Kumbuka Mwl. Nyerere aliwahi sema MPINZANI WA KWELI ATATOKA NDANI YA CCM... Chukua hili..
 
Kuna mengi ya kuandika sio kupoteza muda ukisubiri ccm ambayo inamuandaa quailah wa shetta kuwa kiongozi wa kitaifa akiwa na umri wa miaka 10 ,ccm ni dude kubwa sana linamizizi mpaka chumbani kwako.
Hakuna utawala wa kudumu duniani. Ni mpinzania kucheza na akili tu!
 
Wanabodini Mlimakafu??

Mimi ni mpenzi wa siasa za maendeleo zaidi na sio za kiharakati. Wakati huo napenda siasa za kisomi kweli kweli..

Nimekaa nikatafakari baada ya kuisha uchaguzi wa Chadema, nimeona mwaka huu kama hawatapata urais basi watakua na wabunge wengi zaidi bungeni (over 50%) of all...

Hili linachagizwa na mambo kadhaa yafuatayo...

1. Kuongezeka kwa umaarufu wa Chadema kipindi hiki hasa wakati na baada ya uchaguzi, hivyo kupata wafuatiliaji wengi.

2. Ushindi wa Tundu Lissu ambao kwa namna fulani umerudisha chama katika ule mstari wa zamani na hivyo kurejesha matumaini ya watanzania kupata mtu sahihi wa kuwatetea na kuwasemea katika mamlaka mbalimbali. Wengi tumeona wakiwa na shauku ya kujiunga na chama hiki.

3. Kuwepo kwa vijana wengi mtaani ambao hawana ajira na wana elimu na ufahamu wa kutosha juu ya kila jambo linaloendelea nchini. Na hii inachagizwa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano. Hivyo Chadema wakichanga karata vizuri wakaandikisha vijana wengi kwenye chama na hatimae kwenye daftari la wapiga kura basi wamelamba dume. Zinangatia vijana wengi ni wa kuanzia 2000 kupanda juu ambao wamekuta chadema ipo on peak na wanamjua Lissu vyema.

4. Kuongezeka kujitambua kwa watu mbalimbali hasa kwa kufahamu na kuelewa madhara ya rushwa. Hivyo wanaweza kuamua kula rushwa lakini wasikuchague.

Rejea uchaguzi wa TLS (fununu) Uchaguzi wa Bavicha na hata huu uchaguzi mkuu wa Chadema (fununu). Hilo kupelekea hata kama tukiingia uchaguzi mkuu, mgombea yoyote akitumia rushwa inaweza kula kwake.

Na sababu nyingine kadha wa kadha..

Welcome on board for discussion.

#TANZANIA KWANZA, TUTAILINDA NA KUITHAMINI
Mchawi ni hii Tume ya Uchaguzi na hawa TISS.

Ila TISS wakiamua kuacha kuwa makondoo wa CCM mbona asubuhi na mapema LISSU anaapishwa na tunakuwa na bunge bora kabisa Afrika.
 
Wanabodini Mlimakafu??

Mimi ni mpenzi wa siasa za maendeleo zaidi na sio za kiharakati. Wakati huo napenda siasa za kisomi kweli kweli..

Nimekaa nikatafakari baada ya kuisha uchaguzi wa Chadema, nimeona mwaka huu kama hawatapata urais basi watakua na wabunge wengi zaidi bungeni (over 50%) of all...

Hili linachagizwa na mambo kadhaa yafuatayo...

1. Kuongezeka kwa umaarufu wa Chadema kipindi hiki hasa wakati na baada ya uchaguzi, hivyo kupata wafuatiliaji wengi.

2. Ushindi wa Tundu Lissu ambao kwa namna fulani umerudisha chama katika ule mstari wa zamani na hivyo kurejesha matumaini ya watanzania kupata mtu sahihi wa kuwatetea na kuwasemea katika mamlaka mbalimbali. Wengi tumeona wakiwa na shauku ya kujiunga na chama hiki.

3. Kuwepo kwa vijana wengi mtaani ambao hawana ajira na wana elimu na ufahamu wa kutosha juu ya kila jambo linaloendelea nchini. Na hii inachagizwa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano. Hivyo Chadema wakichanga karata vizuri wakaandikisha vijana wengi kwenye chama na hatimae kwenye daftari la wapiga kura basi wamelamba dume. Zinangatia vijana wengi ni wa kuanzia 2000 kupanda juu ambao wamekuta chadema ipo on peak na wanamjua Lissu vyema.

4. Kuongezeka kujitambua kwa watu mbalimbali hasa kwa kufahamu na kuelewa madhara ya rushwa. Hivyo wanaweza kuamua kula rushwa lakini wasikuchague.

Rejea uchaguzi wa TLS (fununu) Uchaguzi wa Bavicha na hata huu uchaguzi mkuu wa Chadema (fununu). Hilo kupelekea hata kama tukiingia uchaguzi mkuu, mgombea yoyote akitumia rushwa inaweza kula kwake.

Na sababu nyingine kadha wa kadha..

Welcome on board for discussion.

#TANZANIA KWANZA, TUTAILINDA NA KUITHAMINI
Utafiti haufanywi hivyo bro,labda kama unaota ndoto za alinacha
 
Hua we unafanyaje Masta?
bro utafiti ni taaluma ambayo ina vigezo vyake,labda wewe useme kwa makisio yako unadhani itakuwa hivi? utafiti ni lazima uandae timu,uandae hoja ya kutafitiwa,uandae hojaji,uandae watu,uandae eneo la utafiti,uandae muda wa utafiti,utafiti ufanywe,wataalamu waandae taarifa,taarifa itolewe,sasa huo ndio utafiti
 
Kuna mengi ya kuandika sio kupoteza muda ukisubiri ccm ambayo inamuandaa quailah wa shetta kuwa kiongozi wa kitaifa akiwa na umri wa miaka 10 ,ccm ni dude kubwa sana linamizizi mpaka chumbani kwako.
Mtaa unajenga zaidi
 
bro utafiti ni taaluma ambayo ina vigezo vyake,labda wewe useme kwa makisio yako unadhani itakuwa hivi? utafiti ni lazima uandae timu,uandae hoja ya kutafitiwa,uandae hojaji,uandae watu,uandae eneo la utafiti,uandae muda wa utafiti,utafiti ufanywe,wataalamu waandae taarifa,taarifa itolewe,sasa huo ndio utafiti
Masta nakuona wewe ni msomi sana Masta... Lakini nakukumbusha tu hapa hatuna utafiti wa presentation masta. Hapa ni general utafiti wa mitandaoni, sio wa rewards masta...
 
Ku
Kuna mengi ya kuandika sio kupoteza muda ukisubiri ccm ambayo inamuandaa quailah wa shetta kuwa kiongozi wa kitaifa akiwa na umri wa miaka 10 ,ccm ni dude kubwa sana linamizizi mpaka chumbani kwako.
Kuna kauli ambazo wanasiasa huwa wanaongea halafu wanakuja zijutia baadae. Weka akiba ya maneno. Muda huwa unaongea kwa sauti kubwa sana
 
Wanabodini Mlimakafu??

Mimi ni mpenzi wa siasa za maendeleo zaidi na sio za kiharakati. Wakati huo napenda siasa za kisomi kweli kweli..

Nimekaa nikatafakari baada ya kuisha uchaguzi wa Chadema, nimeona mwaka huu kama hawatapata urais basi watakua na wabunge wengi zaidi bungeni (over 50%) of all...

Hili linachagizwa na mambo kadhaa yafuatayo...

1. Kuongezeka kwa umaarufu wa Chadema kipindi hiki hasa wakati na baada ya uchaguzi, hivyo kupata wafuatiliaji wengi.

2. Ushindi wa Tundu Lissu ambao kwa namna fulani umerudisha chama katika ule mstari wa zamani na hivyo kurejesha matumaini ya watanzania kupata mtu sahihi wa kuwatetea na kuwasemea katika mamlaka mbalimbali. Wengi tumeona wakiwa na shauku ya kujiunga na chama hiki.

3. Kuwepo kwa vijana wengi mtaani ambao hawana ajira na wana elimu na ufahamu wa kutosha juu ya kila jambo linaloendelea nchini. Na hii inachagizwa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano. Hivyo Chadema wakichanga karata vizuri wakaandikisha vijana wengi kwenye chama na hatimae kwenye daftari la wapiga kura basi wamelamba dume. Zinangatia vijana wengi ni wa kuanzia 2000 kupanda juu ambao wamekuta chadema ipo on peak na wanamjua Lissu vyema.

4. Kuongezeka kujitambua kwa watu mbalimbali hasa kwa kufahamu na kuelewa madhara ya rushwa. Hivyo wanaweza kuamua kula rushwa lakini wasikuchague.

Rejea uchaguzi wa TLS (fununu) Uchaguzi wa Bavicha na hata huu uchaguzi mkuu wa Chadema (fununu). Hilo kupelekea hata kama tukiingia uchaguzi mkuu, mgombea yoyote akitumia rushwa inaweza kula kwake.

Na sababu nyingine kadha wa kadha..

Welcome on board for discussion.

#TANZANIA KWANZA, TUTAILINDA NA KUITHAMINI
20241218_051429.jpg
 
Masta nakuona wewe ni msomi sana Masta... Lakini nakukumbusha tu hapa hatuna utafiti wa presentation masta. Hapa ni general utafiti wa mitandaoni, sio wa rewards masta...
sawa hivyo usiseme huo ni utafiti useme haya ni makisio tu,ili kulinda maana halisi ya utafiti na sio vibaya kusema kuwa haya ni makisio yangu na hata kwenye taaluma ya utafiti makisio hupokelewa
 
sawa hivyo usiseme huo ni utafiti useme haya ni makisio tu,ili kulinda maana halisi ya utafiti na sio vibaya kusema kuwa haya ni makisio yangu na hata kwenye taaluma ya utafiti makisio hupokelewa
Masta naamini umemaliza sekondari hivi karibuni au unasubiri matokeo ya leo ya form four. Maana ubishi unaoleta masta hauna mantiki. Hiyo ni debate ya education is better than money masta.

Nakupa ushindi masta...
 
Mkuu bila Mungu kumtosa Farao na Majeshi yake baharini hilo sahau!
 
Wanabodini Mlimakafu??

Mimi ni mpenzi wa siasa za maendeleo zaidi na sio za kiharakati. Wakati huo napenda siasa za kisomi kweli kweli..

Nimekaa nikatafakari baada ya kuisha uchaguzi wa Chadema, nimeona mwaka huu kama hawatapata urais basi watakua na wabunge wengi zaidi bungeni (over 50%) of all...

Hili linachagizwa na mambo kadhaa yafuatayo...

1. Kuongezeka kwa umaarufu wa Chadema kipindi hiki hasa wakati na baada ya uchaguzi, hivyo kupata wafuatiliaji wengi.

2. Ushindi wa Tundu Lissu ambao kwa namna fulani umerudisha chama katika ule mstari wa zamani na hivyo kurejesha matumaini ya watanzania kupata mtu sahihi wa kuwatetea na kuwasemea katika mamlaka mbalimbali. Wengi tumeona wakiwa na shauku ya kujiunga na chama hiki.

3. Kuwepo kwa vijana wengi mtaani ambao hawana ajira na wana elimu na ufahamu wa kutosha juu ya kila jambo linaloendelea nchini. Na hii inachagizwa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano. Hivyo Chadema wakichanga karata vizuri wakaandikisha vijana wengi kwenye chama na hatimae kwenye daftari la wapiga kura basi wamelamba dume. Zinangatia vijana wengi ni wa kuanzia 2000 kupanda juu ambao wamekuta chadema ipo on peak na wanamjua Lissu vyema.

4. Kuongezeka kujitambua kwa watu mbalimbali hasa kwa kufahamu na kuelewa madhara ya rushwa. Hivyo wanaweza kuamua kula rushwa lakini wasikuchague.

Rejea uchaguzi wa TLS (fununu) Uchaguzi wa Bavicha na hata huu uchaguzi mkuu wa Chadema (fununu). Hilo kupelekea hata kama tukiingia uchaguzi mkuu, mgombea yoyote akitumia rushwa inaweza kula kwake.

Na sababu nyingine kadha wa kadha..

Welcome on board for discussion.

#TANZANIA KWANZA, TUTAILINDA NA KUITHAMINI
Hali ngumu ya maisha kwa Wananchi wengi.
 
Unawatoaje madarakani CCM?
TUME YA UCHAGUZI YA KWAO.

MKURUGENZI NA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI WA KWAO TENA WAKIWA WANACHAMA WATIIFU.

KILA KITU WANAANDAA WAO.

POLISI WA KWAO.

JESHI LA KWAO.

MAGARI,PESA NA VIFAA WANATOA WAO.

NYINYI CHADEMA MNASHINDAJE? NIPE MECHANISM YA USHINDI?
Thread closed nyuzi zingine zinajaza tu saver CCM haitakaa ibanduke waache kuota
 
Back
Top Bottom