Kama kweli Raisi Samia kaingilia Uchaguzi wa Tanganyika Law Society, itakuwa ni hujuma na ukatili wa hali ya Juu

Kama kweli Raisi Samia kaingilia Uchaguzi wa Tanganyika Law Society, itakuwa ni hujuma na ukatili wa hali ya Juu

dubu

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
3,502
Reaction score
3,483
Salaam Wakuu,

Mwezi wa nane chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) wanafanya Uchaguzi wa kumchagua raisi wao na Viongozi wengine.

Kitu ambacho kimewashangaza wengi, ni kukatwa kwa jina la Wakili Mwabukusi asigombee Urais wa TLS kwasababu eti anawavunjia heshima Viongozi wa Juu wa Serikalini. Hivyo hafai kuwa Raisi wa TLS.

Lakini inadaiwa kwamba Taasisi ya Raisi Tanzania imetia mkono wake kwenye uchaguzi huu kiasi kwamba tangu Uhuru, Raisi hajawahi kufungua Mikutano yao, lakini Safari hii Raisi Samia anategemea kuwa Mgeni Rasmi katika ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa TLS.

Baada ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kumuengua Boniface Mwabukusi katika kinyang’anyiro cha kuwania urais wa chama hicho, wakili huyo ametangaza kusudio la kwenda mahakamani.

Sambamba na hatua hiyo, amewataka wanachama wengine wa TLS kutoshiriki uchaguzi huo, ili kuishinikiza Kamati ya Uchaguzi iwarejeshe wagombea wote iliowaengua.

Je, Mwabukusi ni nani na ana Mahusiano gani na Serikali hadi imuone ni tishio?
 
Salaam Wakuu,

Mwezi wa nane chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) wanafanya Uchaguzi wa kumchagua raisi wao na Viongozi wengine.

Kitu ambacho kimewashangaza wengi, ni kukatwa kwa jina la Wakili Mwabukusi asigombee Urais wa TLS kwasababu eti anawavunjia heshima Viongozi wa Juu wa Serikalini. Hivyo hafai kuwa Raisi wa TLS.

Lakini inadaiwa kwamba Taasisi ya Raisi Tanzania imetia mkono wake kwenye uchaguzi huu kiasi kwamba tangu Uhuru, Raisi hajawahi kufungua Mikutano yao, lakini Safari hii Raisi Samia anategemea kuwa Mgeni Rasmi katika ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa TLS.
View attachment 3036524
Baada ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kumuengua Boniface Mwabukusi katika kinyang’anyiro cha kuwania urais wa chama hicho, wakili huyo ametangaza kusudio la kwenda mahakamani.

Sambamba na hatua hiyo, amewataka wanachama wengine wa TLS kutoshiriki uchaguzi huo, ili kuishinikiza Kamati ya Uchaguzi iwarejeshe wagombea wote iliowaengua.

Je, Mwabukusi ni nani na ana Mahusiano gani na Serikali hadi imuone ni tishio?
View attachment 3036514
Chuma kiziwi an uchu uliopitiliza wa madaraka. Nyuma yake kuna nguvu kubwa ya mafisadi wanaotaka abaki madarakani ili waendelee kufaidi keki ya taifa
 
Salaam Wakuu,

Mwezi wa nane chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) wanafanya Uchaguzi wa kumchagua raisi wao na Viongozi wengine.

Kitu ambacho kimewashangaza wengi, ni kukatwa kwa jina la Wakili Mwabukusi asigombee Urais wa TLS kwasababu eti anawavunjia heshima Viongozi wa Juu wa Serikalini. Hivyo hafai kuwa Raisi wa TLS.

Lakini inadaiwa kwamba Taasisi ya Raisi Tanzania imetia mkono wake kwenye uchaguzi huu kiasi kwamba tangu Uhuru, Raisi hajawahi kufungua Mikutano yao, lakini Safari hii Raisi Samia anategemea kuwa Mgeni Rasmi katika ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa TLS.
View attachment 3036524
Baada ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kumuengua Boniface Mwabukusi katika kinyang’anyiro cha kuwania urais wa chama hicho, wakili huyo ametangaza kusudio la kwenda mahakamani.

Sambamba na hatua hiyo, amewataka wanachama wengine wa TLS kutoshiriki uchaguzi huo, ili kuishinikiza Kamati ya Uchaguzi iwarejeshe wagombea wote iliowaengua.

Je, Mwabukusi ni nani na ana Mahusiano gani na Serikali hadi imuone ni tishio?
View attachment 3036514
Kwa nini?
 
Salaam Wakuu,

Mwezi wa nane chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) wanafanya Uchaguzi wa kumchagua raisi wao na Viongozi wengine.

Kitu ambacho kimewashangaza wengi, ni kukatwa kwa jina la Wakili Mwabukusi asigombee Urais wa TLS kwasababu eti anawavunjia heshima Viongozi wa Juu wa Serikalini. Hivyo hafai kuwa Raisi wa TLS.

Lakini inadaiwa kwamba Taasisi ya Raisi Tanzania imetia mkono wake kwenye uchaguzi huu kiasi kwamba tangu Uhuru, Raisi hajawahi kufungua Mikutano yao, lakini Safari hii Raisi Samia anategemea kuwa Mgeni Rasmi katika ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa TLS.
View attachment 3036524
Baada ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kumuengua Boniface Mwabukusi katika kinyang’anyiro cha kuwania urais wa chama hicho, wakili huyo ametangaza kusudio la kwenda mahakamani.

Sambamba na hatua hiyo, amewataka wanachama wengine wa TLS kutoshiriki uchaguzi huo, ili kuishinikiza Kamati ya Uchaguzi iwarejeshe wagombea wote iliowaengua.

Je, Mwabukusi ni nani na ana Mahusiano gani na Serikali hadi imuone ni tishio?
View attachment 3036514
Ninaiona Gen Z ikija kusambaza Afrika Mashariki yote muda mchache ujao. Gen Z Ke,Gen Z Tz na Gen Z Ug.
 
Chenge anawatosha, au Mwanasheria Mkuu, au Waziri Biteko au Waziri wa Sheria. Sioni haja ya SSH kwenda kwenye tukio hili.

Tatizo la Mwabukusi ni kwamba hana akili, anataka kufanya siasa katika proffessional society
 
Salaam Wakuu,

Mwezi wa nane chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) wanafanya Uchaguzi wa kumchagua raisi wao na Viongozi wengine.

Kitu ambacho kimewashangaza wengi, ni kukatwa kwa jina la Wakili Mwabukusi asigombee Urais wa TLS kwasababu eti anawavunjia heshima Viongozi wa Juu wa Serikalini. Hivyo hafai kuwa Raisi wa TLS.

Lakini inadaiwa kwamba Taasisi ya Raisi Tanzania imetia mkono wake kwenye uchaguzi huu kiasi kwamba tangu Uhuru, Raisi hajawahi kufungua Mikutano yao, lakini Safari hii Raisi Samia anategemea kuwa Mgeni Rasmi katika ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa TLS.
View attachment 3036524
Baada ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kumuengua Boniface Mwabukusi katika kinyang’anyiro cha kuwania urais wa chama hicho, wakili huyo ametangaza kusudio la kwenda mahakamani.

Sambamba na hatua hiyo, amewataka wanachama wengine wa TLS kutoshiriki uchaguzi huo, ili kuishinikiza Kamati ya Uchaguzi iwarejeshe wagombea wote iliowaengua.

Je, Mwabukusi ni nani na ana Mahusiano gani na Serikali hadi imuone ni tishio?
View attachment 3036514
Huyu mama ni hatari sana ngoja mtamtambua vizuri mara baada ya uchaguzi 2025!
 
Back
Top Bottom