Kama kweli Samia ni muumini wa demokrasia aruhusu fomu zitolewe nyingi. Ili kujitofautisha na chadema.

Kama kweli Samia ni muumini wa demokrasia aruhusu fomu zitolewe nyingi. Ili kujitofautisha na chadema.

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Ni ukweli usiopingika kuwa ccm imetengeneza udikteta wa kilkatili sana. Yaani inawalazimisha watu kutawaliwa kwa lazima na mtu ambaye hawana namna.

Hata kama mna rirais la hovyohovyo maadamu tu halijamaliza miaka kumi hamuwezi kufurukuta, na ukizingatia kwamba katiba yetu na mifumo yetu inawaruhusu kuchezea kura za wananchi ndo basi tena.

Kwenye hili naona ni dhahiri ccm wasiinyoshe kidole chadema kwaajili ya mbowe.
 
Ccm matapeli tu, form moja halafu wanakusanyika Chimwaga kuanzia asubuhi eti kumpigia mama kampeni na hatimaye anapigiwa kura mtu huyo huyo mmoja!.
 
Kwetu CCM form ya Urais 2025 ni MOJA tu. kama unautaka urais basi nenda vyama vingine. Tusichoshane.
 
Huyu mama muoga sana wa demokrasia. Angalia jinsi alvyowaogopa Lukuvi, Ndugai na Kabudi.
 
Kwetu CCM form ya Urais 2025 ni MOJA tu. kama unautaka urais basi nenda vyama vingine. Tusichoshane.
Ccm ni mali ya umma lazima waache kufanya mambo ya kihuni hakuna nchi yoyote iliyostarabika duniani unazuia ushindani ili umbebe mtu mmoja lazima ufungue mlango wa ushindani to get the best.
 
..aache maigizo, na afanye marekebisho madogo ya Katiba, yatakayowezesha kuundwa kwa TUME HURU YA UCHAGUZI.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa ccm imetengeneza udikteta wa kilkatili sana. Yaani inawalazimisha watu kutawaliwa kwa lazima na mtu ambaye hawana namna.

Hata kama mna rirais la hovyohovyo maadamu tu halijamaliza miaka kumi hamuwezi kufurukuta, na ukizingatia kwamba katiba yetu na mifumo yetu inawaruhusu kuchezea kura za wananchi ndo basi tena.

Kwenye hili naona ni dhahiri ccm wasiinyoshe kidole chadema kwaajili ya mbowe.
Hajawahi kukataza na haoikataza

She is very open minded

Tuone na baba ndubwi akiiga hilo
 
Huo utaratibu unatakiwa kulaaniwa na watu wote wenye nia njema na nchi yetu. Yeye ndiye mwenyekiti wa chama mbona vingine wanabadilisha na hilo limkere ili kuondoa misingi yoote ya udikteta kwenye taifa letu
Wewe subiri

Watatoa forms zaidi ya moja na mama atashinda

Je wewe unayelaani mfumo ni mwana ccm? Au ndio mzee wa ubwabwa, tlp, chadomo etc?
 
..aache maigizo, na afanye marekebisho madogo ya Katiba, yatakayowezesha kuundwa kwa TUME HURU YA UCHAGUZI.
Anajifanya amepanua demokrasia wakati huko kwenye chama wanachapisha fomu Moja tu.
Hii ndo Ile wanaita unatangaza amani huku umeficha mapanga
 
Sasa c kila chama na katiba yake, kama Chadema wameamua watakavyo n wao na ccm na vyama vingine hvy hvy. Kosa hapo liko wapi?
 
Anajifanya amepanua demokrasia wakati huko kwenye chama wanachapisha fomu Moja tu.
Hii ndo Ile wanaita unatangaza amani huku umeficha mapanga
Crap

Uchaguzi ni 2025, umejuaje kuna fomu moja

Mbona moo cheap sana aisee
 
Ni ukweli usiopingika kuwa ccm imetengeneza udikteta wa kilkatili sana. Yaani inawalazimisha watu kutawaliwa kwa lazima na mtu ambaye hawana namna.

Hata kama mna rirais la hovyohovyo maadamu tu halijamaliza miaka kumi hamuwezi kufurukuta, na ukizingatia kwamba katiba yetu na mifumo yetu inawaruhusu kuchezea kura za wananchi ndo basi tena.

Kwenye hili naona ni dhahiri ccm wasiinyoshe kidole chadema kwaajili ya mbowe.
CCM ni utaratibu wao wa ndani unaitwa mserereko

P
 
Sio lazima uwe na degree ili uelewe, baada ya miaka 5, kama unafaa endelea kama hufai ondoka, sio lazima miaka 10
 
CCM ni utaratibu wao wa ndani unaitwa mserereko

P
Huu utaratibu ni kandamizi sana wangetoa mwanya ili kumfanya rais aliye madarakani apate joto la kiutendaji huu mfumo wa sasa as long as tuna upinzani dhaifu hivi ni hasara sana kwa nchi
 
Anajifanya amepanua demokrasia wakati huko kwenye chama wanachapisha fomu Moja tu.
Hii ndo Ile wanaita unatangaza amani huku umeficha mapanga

..Ni uoga wake tu.

..hakuna mwanachama wa Ccm anaweza kumshinda Mwenyekiti Samia ktk kupata ridhaa ya chama kugombea Uraisi.
 
Back
Top Bottom