Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Acje kuwa kindoki aliyechangamka
Lile golikipa linaloonekana kwenye social media likidaka mishale hadi hewa ya gesi ya oksijeni aisee kama ni kweli nyanda yule amesajiliwa, basi msimu ujao mnyama hata asipoweka beki nyuma kuko salama.
Jamaa anadaka penati utadhani anadaka hewa ya oksijeni, kwanza kaenda angani kama makipa wa zamani wa Simba Mackenzi Ramadhan, Mosses Mkandawile, Steven Nemes, Juma Shamte, Often Martin, Mohamed Mwameja nk.
Kwanza linajiamini halafu nasikia alipowekewa clip ya penati kati ya Simba vs Wydad na kuona Ally Salim akifungwa kizembe, alilia sana nyanda huyo hadi makamasi yakawa yanamtoka.
Simba, chama langu nalolipenda tangu nizaliwe huyu kipa sio wa kumuachia kama ni kweli, shida yenu tukiwashauri mnatupuuza.