Kama kweli Simba itafanikiwa kumsajili kipa yule wa Brazil, aisee nyumbani kumenoga!

Kama kweli Simba itafanikiwa kumsajili kipa yule wa Brazil, aisee nyumbani kumenoga!

Acje kuwa kindoki aliyechangamka
Lile golikipa linaloonekana kwenye social media likidaka mishale hadi hewa ya gesi ya oksijeni aisee kama ni kweli nyanda yule amesajiliwa, basi msimu ujao mnyama hata asipoweka beki nyuma kuko salama.

Jamaa anadaka penati utadhani anadaka hewa ya oksijeni, kwanza kaenda angani kama makipa wa zamani wa Simba Mackenzi Ramadhan, Mosses Mkandawile, Steven Nemes, Juma Shamte, Often Martin, Mohamed Mwameja nk.

Kwanza linajiamini halafu nasikia alipowekewa clip ya penati kati ya Simba vs Wydad na kuona Ally Salim akifungwa kizembe, alilia sana nyanda huyo hadi makamasi yakawa yanamtoka.

Simba, chama langu nalolipenda tangu nizaliwe huyu kipa sio wa kumuachia kama ni kweli, shida yenu tukiwashauri mnatupuuza.
 
Prison....
1687762863755.png
 
Viongozi walete yule nyanda ni kiboko kabisa yule
 
Lile golikipa linaloonekana kwenye social media likidaka mishale hadi hewa ya gesi ya oksijeni aisee kama ni kweli nyanda yule amesajiliwa, basi msimu ujao mnyama hata asipoweka beki nyuma kuko salama.

Jamaa anadaka penati utadhani anadaka hewa ya oksijeni, kwanza kaenda angani kama makipa wa zamani wa Simba Mackenzi Ramadhan, Mosses Mkandawile, Steven Nemes, Juma Shamte, Often Martin, Mohamed Mwameja nk.

Kwanza linajiamini halafu nasikia alipowekewa clip ya penati kati ya Simba vs Wydad na kuona Ally Salim akifungwa kizembe, alilia sana nyanda huyo hadi makamasi yakawa yanamtoka.

Simba, chama langu nalolipenda tangu nizaliwe huyu kipa sio wa kumuachia kama ni kweli, shida yenu tukiwashauri mnatupuuza.
Yanga tunawasubiria nje mwambie zile mbili bila mliyufungaje!?
 
Huyo kipa lazima atakuwa mbovu tu! Angekuwa na uwezo huo unaouelezea hapa angekuwa anachezea timu za maana huko brazil
 
Lile golikipa linaloonekana kwenye social media likidaka mishale hadi hewa ya gesi ya oksijeni aisee kama ni kweli nyanda yule amesajiliwa, basi msimu ujao mnyama hata asipoweka beki nyuma kuko salama.

Jamaa anadaka penati utadhani anadaka hewa ya oksijeni, kwanza kaenda angani kama makipa wa zamani wa Simba Mackenzi Ramadhan, Mosses Mkandawile, Steven Nemes, Juma Shamte, Often Martin, Mohamed Mwameja nk.

Kwanza linajiamini halafu nasikia alipowekewa clip ya penati kati ya Simba vs Wydad na kuona Ally Salim akifungwa kizembe, alilia sana nyanda huyo hadi makamasi yakawa yanamtoka.

Simba, chama langu nalolipenda tangu nizaliwe huyu kipa sio wa kumuachia kama ni kweli, shida yenu tukiwashauri mnatupuuza.
duh mie nilidhani alilia sana hadi mavi yakamtoka
 
Dejan wa Zolan
Na Rbertidho anakuja na Dejan wake
 
Kwanza linajiamini halafu nasikia alipowekewa clip ya penati kati ya Simba vs Wydad na kuona Ally Salim akifungwa kizembe, alilia sana nyanda huyo hadi makamasi yakawa yanamtoka.

Nimecheka kama mjinga!
JF ni kiburudisho tosha!
 
Lile golikipa linaloonekana kwenye social media likidaka mishale hadi hewa ya gesi ya oksijeni aisee kama ni kweli nyanda yule amesajiliwa, basi msimu ujao mnyama hata asipoweka beki nyuma kuko salama.

Jamaa anadaka penati utadhani anadaka hewa ya oksijeni, kwanza kaenda angani kama makipa wa zamani wa Simba Mackenzi Ramadhan, Mosses Mkandawile, Steven Nemes, Juma Shamte, Often Martin, Mohamed Mwameja nk.

Kwanza linajiamini halafu nasikia alipowekewa clip ya penati kati ya Simba vs Wydad na kuona Ally Salim akifungwa kizembe, alilia sana nyanda huyo hadi makamasi yakawa yanamtoka.

Simba, chama langu nalolipenda tangu nizaliwe huyu kipa sio wa kumuachia kama ni kweli, shida yenu tukiwashauri mnatupuuza.
Mkuu video Iko wap...
 
Back
Top Bottom