Usiku kitandani namtatafuta mpendwa wa nafsi yangu nalimtafuta nisimpate . Nikasema haya niondoke nizunguke mjini katika njia zake na viwanjani nimtafute mpendwa . Mpendwa wangu ni kama kishada cha hina katika mizabibu huko moyon mwangu tazama u mzuri mpenz wangu u mzuri macho yako ni kama ya hua tazama u mzuri
Mpendwa wangu wapendeza na siwez kuishi katika uwanja huu wa dunia bila uwepo wako nakupenda nitakulinda daima