Kama kweli unaisoma Biblia, niambie maandiko haya yako kitabu gani?

Kama kweli unaisoma Biblia, niambie maandiko haya yako kitabu gani?

ramadhani kimweri

Senior Member
Joined
Apr 22, 2016
Posts
181
Reaction score
179
Usiku kitandani namtatafuta mpendwa wa nafsi yangu nalimtafuta nisimpate . Nikasema haya niondoke nizunguke mjini katika njia zake na viwanjani nimtafute mpendwa . Mpendwa wangu ni kama kishada cha hina katika mizabibu huko moyon mwangu tazama u mzuri mpenz wangu u mzuri macho yako ni kama ya hua tazama u mzuri

Mpendwa wangu wapendeza na siwez kuishi katika uwanja huu wa dunia bila uwepo wako nakupenda nitakulinda daima
 
56b40d4fbeab523372eae7fa8022835c.jpg
 
Yaani katika biblia kitabu kilicho ongelea mapenz kusifiana ni wimbo ulio bora
 
Napenda sana methali ichi kitabu narudiaga sana kusoma
 
Back
Top Bottom