zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Kwahiyo kipindi tunamkejeli kuwa JK alikua fisadi je hakuwa amejenga barabara nchi nzima, hakuwa amejenga terminal 3? Hakuwa ameleta umeme wa gesi au hakuwa amesambaza maji ya ziwa Victoria? Hakuwa amejenga UDOM na mloganzila?Alijenga kwa pesa zetu!
Kwa Tanzania Rais/kiongozi akitumia pesa zetu kwenye maendeleo hiyo ni big step ni bahati kubwa sana
kwasababu wengi wao wanatumia pesa zetu kunenepesha matumbo yao tu!
Ubaya wa uongozi hauna uhusiano na miundombinu uliyojenga. Leadership is software rather than hardware