Kama kweli Waziri Bashe katoa kibali cha kuagiza Sukari kwa kampuni ya simu, hii haitakuwa na tofauti na Ufisadi wa Lowassa Richmond

Kama kweli Waziri Bashe katoa kibali cha kuagiza Sukari kwa kampuni ya simu, hii haitakuwa na tofauti na Ufisadi wa Lowassa Richmond

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimeona kupitia Jambo TV Mh. Mpina akidai Waziri Bashe ametoa Kibali kwa kampuni ya simu ya Itel yenye mtaji mdogo kuagiza Sukari ya Tsh. Billion 6.6.

Hii inanikumbusha jinsi Hayati Ndesamburo alivyosema Stationary iliyopo pembeni ya hotel yake pale Mnazi mmoja ndio imejigeuza kuwa Richmond na kuingia mkataba na TANESCO.

Scandal ya Richmond ilimstaafisha Waziri Mkuu wa wakati huo enzi za Spika wa Spidi na Viwango Mzee Sitta.

Nawatakieni Dominica njema 😀.


Soma


=====

Pia soma: Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
 
Samia mtupu sana, huyu Bashe juzi tu katupiga kwenye BBT, amekula mapesa kule ule mradi umejifia vijana wamehamgaika kutafuta hata nauli ya kurudi makwao wameipata kwa shida tena kidogo.

Leo tena Bashe huyu huyu na ile pua yake anatupiga mara ya pili, Samia yupo tu kama robot hafanyi chochote anasubiri Bashe atupige tena mara ya tatu, ya nne, ya tano, mpaka atakapotuhurumia mwenyewe.

Tuna kiongozi wa ajabu sana, anayeogopa kusikia mwanamke mwenzake amelawitiwa huku akitazama jinsi rasilimali zetu kama taifa zinavyolawitiwa, na kodi zetu kubakwa na watendaji wake, wala asifanye chochote.

Samia ni dhaifu sana anatuangamiza tuliopo sasa kwa usimamizi mbovu wa kodi zetu, na kuangamiza vizazi vijavyo vya hili taifa kwa kutoa rasiliamali zetu kwa wageni, hajielewi wala kujitambua, na hao TISS nao bora wabinafsishwe tu, hawana maana kabisa.
 
Tenda tu za kulisha kiwandani pale dodoma kiwanda cha mbolea cha fomi huko ndio wamejimilikisha mtu na mke wake, viongozi wa nchi hii ni mafisadi wa kutupwa hawana audacity ya kujitetea Kwa lolote tunashangaa nchi inapigwa matukio hadi inakua maskini toka uhuru ili hali wao ni mabilionea wa kutupwa
 
Kwa wale wanaoshabikia Simba na yanga DEWJI ametajwa kwenye hili sakata yaani wananchi mnapigwa na huyo tajiri wenu anawapiga huku mkishangilia
 
Pia kuna Kampuni ya Simu ilipewa kibali cha kuagiza sukari!
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mh. Mpina akidai Waziri Bashe ametoa Kibali kwa kampuni ya simu ya Itel yenye mtaji mdogo kuagiza Sukari ya Tsh. Billion 6.6.

Hii inanikumbusha jinsi Hayati Ndesamburo alivyosema Stationary iliyopo pembeni ya hotel yake pale Mnazi mmoja ndio imejigeuza kuwa Richmond na kuingia mkataba na TANESCO.

Scandal ya Richmond ilimstaafisha Waziri Mkuu wa wakati huo enzi za Spika wa Spidi na Viwango Mzee Sitta.

Nawatakieni Dominica njema 😀.
Inabidi tumuombe Ibrahim Traore wa Burkina aje atoe darasa kwa wajeda wetu namna ya kuifufua nchi kwa upya.
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mh. Mpina akidai Waziri Bashe ametoa Kibali kwa kampuni ya simu ya Itel yenye mtaji mdogo kuagiza Sukari ya Tsh. Billion 6.6.

Hii inanikumbusha jinsi Hayati Ndesamburo alivyosema Stationary iliyopo pembeni ya hotel yake pale Mnazi mmoja ndio imejigeuza kuwa Richmond na kuingia mkataba na TANESCO.

Scandal ya Richmond ilimstaafisha Waziri Mkuu wa wakati huo enzi za Spika wa Spidi na Viwango Mzee Sitta.

Nawatakieni Dominica njema 😀.
Kikwete alichafuka kipindi Cha pili Cha utawala wake!! Bila JPM CCM ilikuwa inaanguka!!

Mama amechafua na kichafuka kwenye kipindi Cha Majaribio tu ya urais..!! Hivi tukimchagua tutegemee nini!? Amini nawaambia, akitokea mtu makini upande wa pili CCM haitapata hata 2%
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mh. Mpina akidai Waziri Bashe ametoa Kibali kwa kampuni ya simu ya Itel yenye mtaji mdogo kuagiza Sukari ya Tsh. Billion 6.6.

Hii inanikumbusha jinsi Hayati Ndesamburo alivyosema Stationary iliyopo pembeni ya hotel yake pale Mnazi mmoja ndio imejigeuza kuwa Richmond na kuingia mkataba na TANESCO.

Scandal ya Richmond ilimstaafisha Waziri Mkuu wa wakati huo enzi za Spika wa Spidi na Viwango Mzee Sitta.

Nawatakieni Dominica njema 😀.
Mwalimu ni richmond ataachaje kufanya hivyo tuchunge miandiko kuna fidia ya b5!
 
KUsema ati
Samia mtupu sana, huyu Bashe juzi tu katupiga kwenye BBT, amekula mapesa kule ule mradi umejifia vijana wamehamgaika kutafuta hata nauli ya kurudi makwao wameipata kwa shida tena kidogo.

Leo tena Bashe huyu huyu na ile pua yake anatupiga mara ya pili, Samia yupo tu kama robot hafanyi chochote anasubiri Bashe atupige tena mara ya tatu, ya nne, ya tano, mpaka atakapotuhurumia mwenyewe.

Tuna kiongozi wa ajabu sana, anayeogopa kusikia mwanamke mwenzake amelawitiwa huku akitazama jinsi rasilimali zetu kama taifa zinavyolawitiwa, na kodi zetu kubakwa na watendaji wake, wala asifanye chochote.

Samia ni dhaifu sana anatuangamiza tuliopo sasa kwa usimamizi mbovu wa kodi zetu, na kuangamiza vizazi vijavyo vya hili taifa kwa kutoa rasiliamali zetu kwa wageni, hajielewi wala kujitambua, na hao TISS nao bora wabinafsishwe tu, hawana maana kabisa.
Samia hajui na dili ya Trillion, ni uongo, Samia anajua ila wapiga dili ndiyo wameshindwa kuifanya ili ifichike; haya mambo ya kusema Rais huwa hajui ni uongo. Sukari imeangusha wengi sana sasa useme bashe alifanya bila idhini ya juu ni uongo. Hata uagizji kwa hizo gharama kwa aanchi masikini kama Tanzania waziri wa fedha na Rais wanatakiwa wajue. Sukari inanunuliwa kwa dollar.
 
KUsema ati

Samia hajui na dili ya Trillion, ni uongo, Samia anajua ila wapiga dili ndiyo wameshindwa kuifanya ili ifichike; haya mambo ya kusema Rais huwa hajui ni uongo. Sukari imeangusha wengi sana sasa useme bashe alifanya bila idhini ya juu ni uongo. Hata uagizji kwa hizo gharama kwa aanchi masikini kama Tanzania waziri wa fedha na Rais wanatakiwa wajue. Sukari inanunuliwa kwa dollar.
Sukari tangia enzi za Dr Omar VP 🐼
 
Back
Top Bottom