johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimeona kupitia Jambo TV Mh. Mpina akidai Waziri Bashe ametoa Kibali kwa kampuni ya simu ya Itel yenye mtaji mdogo kuagiza Sukari ya Tsh. Billion 6.6.
Hii inanikumbusha jinsi Hayati Ndesamburo alivyosema Stationary iliyopo pembeni ya hotel yake pale Mnazi mmoja ndio imejigeuza kuwa Richmond na kuingia mkataba na TANESCO.
Scandal ya Richmond ilimstaafisha Waziri Mkuu wa wakati huo enzi za Spika wa Spidi na Viwango Mzee Sitta.
Nawatakieni Dominica njema 😀.
Soma
=====
Pia soma: Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Hii inanikumbusha jinsi Hayati Ndesamburo alivyosema Stationary iliyopo pembeni ya hotel yake pale Mnazi mmoja ndio imejigeuza kuwa Richmond na kuingia mkataba na TANESCO.
Scandal ya Richmond ilimstaafisha Waziri Mkuu wa wakati huo enzi za Spika wa Spidi na Viwango Mzee Sitta.
Nawatakieni Dominica njema 😀.
Soma
=====
Pia soma: Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia