Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Hapana kuna majizi yanajifichia humo.Sisiemu nyumba ya Kufuga MAJIZIII....
Yanaharibu uchumi wa nchi, yanaharibu sifa ya chama.
Wahuni wachache tu ambao kizalendo wanapaswa kufutwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana kuna majizi yanajifichia humo.Sisiemu nyumba ya Kufuga MAJIZIII....
Biashara siyo "Mtaji wa Hela" ila ni "mtaji wa akili" kuna mzungu anakuja na makaratasi tu kuwekeza Tz,vingine vyote vya kuwekeza anavikuta hapa hapa bongo ,ikiwemo mitaji. harafu tunasema serikali imeongeza FDI,kwa sababu makampuni yamesajiriwqa UlayaNimeona kupitia Jambo TV Mh. Mpina akidai Waziri Bashe ametoa Kibali kwa kampuni ya simu ya Itel yenye mtaji mdogo kuagiza Sukari ya Tsh. Billion 6.6.
Hii inanikumbusha jinsi Hayati Ndesamburo alivyosema Stationary iliyopo pembeni ya hotel yake pale Mnazi mmoja ndio imejigeuza kuwa Richmond na kuingia mkataba na TANESCO.
Scandal ya Richmond ilimstaafisha Waziri Mkuu wa wakati huo enzi za Spika wa Spidi na Viwango Mzee Sitta.
Nawatakieni Dominica njema 😀.
Hapana kuna majizi yanajifichia humo.
Yanaharibu uchumi wa nchi, yanaharibu sifa ya chama.
Wahuni wachache tu ambao kizalendo wanapaswa kufutwa.
ULe mradi wa bbt tangu mwanzo ulionyesha kuwa hakuna accountability kwenye kulinda maslahi ya ummaNimeona kupitia Jambo TV Mh. Mpina akidai Waziri Bashe ametoa Kibali kwa kampuni ya simu ya Itel yenye mtaji mdogo kuagiza Sukari ya Tsh. Billion 6.6.
Hii inanikumbusha jinsi Hayati Ndesamburo alivyosema Stationary iliyopo pembeni ya hotel yake pale Mnazi mmoja ndio imejigeuza kuwa Richmond na kuingia mkataba na TANESCO.
Scandal ya Richmond ilimstaafisha Waziri Mkuu wa wakati huo enzi za Spika wa Spidi na Viwango Mzee Sitta.
Nawatakieni Dominica njema 😀.
=====
Pia soma: Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Kilimo siyo rahisi hivyo. Na vijana wajua kilimo hakilipi ndo maana wamekomaa kukaa mijini. Kilimo kinatakiwa kuendeshwa na wakulima wakubwa wachache tu; Serikali ikwapa ruzuku ya kutosha ili bei ya chakula isipande sana. Then, kundi kubwa libaki mijini kwa ajili ya kuchaka mazao ya kilimo, kiyasambaza na kuyachuuza. watu wengi kuwa kweli kilimo ni dalili ya umaskini uliokirithiri wa nchi.Nikiangalia Tanzania ilivyokubwa, ilivyo na mapori yaliyojaa rutuba, nikiangalia vijana wanavyouza pipi mjini unabaki unajishangaa mwenyewe.
Mfano.
Serikali itafute muwekezaji, harafu huyo muwekezaji apew fungu aende kijijini wawakopeshe vijana kwa kilimo cha miwa, harafu kampuni ikainunue hiyo miwa harafu wakate deni lao, sidhani kama watu wangepoteza muda kwa kuuza karanga mjini
Na hii inatuumiza sana kiuchumi ,kuanzia maisha ya mtu mmojammoja Hadi kwenye level ya nchi nzima ,hivi TISS mbona wanafumbia macho hili swala hata makanisa na misikiti kwanini wasihubiri hii kitu mbona nchi inaingizwa mkenge hivihiviKUsema ati
Samia hajui na dili ya Trillion, ni uongo, Samia anajua ila wapiga dili ndiyo wameshindwa kuifanya ili ifichike; haya mambo ya kusema Rais huwa hajui ni uongo. Sukari imeangusha wengi sana sasa useme bashe alifanya bila idhini ya juu ni uongo. Hata uagizji kwa hizo gharama kwa aanchi masikini kama Tanzania waziri wa fedha na Rais wanatakiwa wajue. Sukari inanunuliwa kwa dollar.
Unaamini miamala ya mabilioni inaweza kufanywa serikalini bila Hazina, BOT na Ikulu kuwa na taarifa rasmi? Seriously?Hapana kuna majizi yanajifichia humo.
Yanaharibu uchumi wa nchi, yanaharibu sifa ya chama.
Wahuni wachache tu ambao kizalendo wanapaswa kufutwa.
Sawa. Kungekuwa na uwekezaji mwingi kwenye kilimo cha mashamba makubwa (estates) na kampuni za kilimo kuundwa kungekuwa hata na ajira nyingi za maana kuliko hizi biashara za kipuuzi zilizoenea mijini.Kilimo siyo rahisi hivyo. Na vijana wajua kilimo hakilipi ndo maana wamekomaa kukaa mijini. Kilimo kinatakiwa kuendeshwa na wakulima wakubwa wachache tu; Serikali ikwapa ruzuku ya kutosha ili bei ya chakula isipande sana. Then, kundi kubwa libaki mijini kwa ajili ya kuchaka mazao ya kilimo, kiyasambaza na kuyachuuza. watu wengi kuwa kweli kilimo ni dalili ya umaskini uliokirithiri wa nchi.
Soma vizuri bwashee sio bilioni sita tu ni mabilioni ya shNimeona kupitia Jambo TV Mh. Mpina akidai Waziri Bashe ametoa Kibali kwa kampuni ya simu ya Itel yenye mtaji mdogo kuagiza Sukari ya Tsh. Billion 6.6.
Hii inanikumbusha jinsi Hayati Ndesamburo alivyosema Stationary iliyopo pembeni ya hotel yake pale Mnazi mmoja ndio imejigeuza kuwa Richmond na kuingia mkataba na TANESCO.
Scandal ya Richmond ilimstaafisha Waziri Mkuu wa wakati huo enzi za Spika wa Spidi na Viwango Mzee Sitta.
Nawatakieni Dominica njema [emoji3].
=====
Pia soma: Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Hii nchi ngumu. Ni hadi hapo Mfumo wa uatawala utakapobadilika. Lakini kwa Serikali ya Chama kile kile tangu uhuru tusitegemee makubwa hata baada ya miaka 50 ijayo.Sawa. Kungekuwa na uwekezaji mwingi kwenye kilimo cha mashamba makubwa (estates) na kampuni za kilimo kuundwa kungekuwa hata na ajira nyingi za maana kuliko hizi biashara za kipuuzi zilizoenea mijini.
Nchi finyu kama Israel zina-import vibarua wa mashamba. Pia wengi wanaokimbilia Ulaya na US wanaenda kwenye kazi kwenye estates za kilimo.
Tungefanya hapa kwetu, kwa ardhi kubwa na mito tuliyo nayo, tungeimarisha sana uchumi. Tuna mifano ya estates chache zinazoajiri wafanyakazi wa aina mbalimbali hapa kwetu. Kuna moja inamilikiwa na mzungu kule Iringa. Hakuna namna wasomi wa Tanzania waweze kukusanya mtaji na kufanya uwekezaji wa kilimo cha estates?
Serikali makini inatarajiwa ku-promote za shughuli aina hiyo badala ya hizi porojo zinazoendelea kutaka vijana graduates waanzishe vigenge vya kuuza nyanya au wawe bodaboda, n.k. Eti ndio fursa hizo: “wasibweteke na kuchagua kazi”! Kuna kitu hakiko sawa kabisa katika uongozi wa nchi hii.