Dabil JF-Expert Member Joined Sep 30, 2021 Posts 6,823 Reaction score 15,293 Oct 20, 2023 #1 Yanga wanajinadi ni Mabingwa wa Kihistoria mara 28, naomba wapige picha au video fupi ya hayo Makombe 28 ya Ligi Kuu yaliyoko kabatini. Bila shaka Makombe hayo yote wanayo basi watuonyeshe.
Yanga wanajinadi ni Mabingwa wa Kihistoria mara 28, naomba wapige picha au video fupi ya hayo Makombe 28 ya Ligi Kuu yaliyoko kabatini. Bila shaka Makombe hayo yote wanayo basi watuonyeshe.
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 24,262 Reaction score 58,728 Oct 20, 2023 #2 Dabil said: Yanga wanajinadi ni mabingwa wa kihistoria mara 28, naomba wapige picha au video fupi ya hayo makombe 28 ya ligi kuu yaliyoko kabatini. Bila shaka makombe hayo yote wanayo basi watuonyeshee Click to expand... Nenda jangwani utayakuta
Dabil said: Yanga wanajinadi ni mabingwa wa kihistoria mara 28, naomba wapige picha au video fupi ya hayo makombe 28 ya ligi kuu yaliyoko kabatini. Bila shaka makombe hayo yote wanayo basi watuonyeshee Click to expand... Nenda jangwani utayakuta
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 6,346 Reaction score 14,546 Oct 20, 2023 #3 Kuna roketi walipata msimu mmoja hivi
Wakipekee JF-Expert Member Joined Aug 21, 2019 Posts 6,194 Reaction score 10,711 Oct 20, 2023 #4 Dabil said: View attachment 2787170 Yanga wanajinadi ni Mabingwa wa Kihistoria mara 28, naomba wapige picha au video fupi ya hayo Makombe 28 ya Ligi Kuu yaliyoko kabatini. Bila shaka Makombe hayo yote wanayo basi watuonyeshe. Click to expand... Tufanye Simba jike ndo ana makombe mengi...
Dabil said: View attachment 2787170 Yanga wanajinadi ni Mabingwa wa Kihistoria mara 28, naomba wapige picha au video fupi ya hayo Makombe 28 ya Ligi Kuu yaliyoko kabatini. Bila shaka Makombe hayo yote wanayo basi watuonyeshe. Click to expand... Tufanye Simba jike ndo ana makombe mengi...
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 24,262 Reaction score 58,728 Oct 20, 2023 #5 Wakipekee said: Tufanye Simba jike ndo ana makombe mengi... Click to expand... Naunga mkono hoja 👍👏
Exy JF-Expert Member Joined Feb 7, 2022 Posts 3,146 Reaction score 5,520 Oct 20, 2023 #6 Utahira ni mzgo, una simu una mb Kwanini kabla hujaja na ujinga wako ungefanya tafiti ndogo juu hilo. Kama sio yanga basi tuambie ni timu gani?.
Utahira ni mzgo, una simu una mb Kwanini kabla hujaja na ujinga wako ungefanya tafiti ndogo juu hilo. Kama sio yanga basi tuambie ni timu gani?.