pistmshai
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,313
- 3,683
Hao wajeda wanahuruma sana..!sasa leo tunataka uendeshee hii pikipiki mpaka mafuta yaishe."
Jamaa wakamjazia full tank wakamwambia azunguke uwanja mpaka mafuta yaishe ndio aende zake.
Lazima wauone ufalme wa mbingu.