Jeshini kuna adhabu za kukomoana mkuu...!
Huyo mwenye mbuzi, awaachie tu hao wanajeshi wamfanye huyo mbuzi kitoweo.
Ila kama yupo tayari kufuata mbuzi wake, awe pia tayari kupewa hizi adhabu
- Kubeba dunia
- Kupiga simu
- Kunyonya mafuta
waliopitia JKT wanaelewa nazungumzia nini hapo.