Kama Ligi ndio ingekuwa inaanza sasa basi Simba ingeshuka daraja

Kama Ligi ndio ingekuwa inaanza sasa basi Simba ingeshuka daraja

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mwenendo wa Timu hii kwa sasa hauridhishi , na kwa kweli ni kama wameamua kwa makusudi kutudhalilisha sisi mashabiki na wanachama wake .

Kila tunapopita tunachekwa na kunyooshewa vidole , huko maofisini hali ni mbaya zaidi , kuna wakati matokeo ya timu yetu yanasababisha baadhi wasiende kazini kwa kuogopa aibu .

Hii hali itavumiliwa hadi lini ?
 
Shida mlishaacha kutoa kipigo kwa wanaohusika na uzembe huo.

Wale mashabiki wa Simba waliotoa kipondo kwa wachezaji wao pale CCM Kirumba baada ya kufungwa na Toto Africa, mwanzoni mwa 2000s walikuwa vidume hasa.

Na hata waliokuwa wachezaji wa Simba Emeh Ezechukwu na Orji Obina waliomdunda kocha wao walikuwa sahihi. Na sitamsahau Haruna Moshi 'Boban' aliyempa kichapo Emmanuel Okwi kwa uzembe aliouonyeshe kwenye moja ya mechi dhidi ya Yanga. Tatizo mmeacha kuwapiga!
 
Mwenendo wa Timu hii kwa sasa hauridhishi , na kwa kweli ni kama wameamua kwa makusudi kutudhalilisha sisi mashabiki na wanachama wake .

Kila tunapopita tunachekwa na kunyooshewa vidole , huko maofisini hali ni mbaya zaidi , kuna wakati matokeo ya timu yetu yanasababisha baadhi wasiende kazini kwa kuogopa aibu .

Hii hali itavumiliwa hadi lini ?
Ndugu yangu tunapitia magumu kweli kweli.
Ukitaka uvurugwe zaidi msikilize Ahmed Ally akiwa kwenye mahojiano na vyombo vya habari!!!
 
Angalia tunavyokosa amani

IMG-20240413-WA0005.jpg
 
Back
Top Bottom