Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa presha walizonazo hata ngumi kurusha wanaweza?? 😂utapigwa ngumi shauli yako..😅
Mezeni panado tu maisha yaendelee.Mwenendo wa Timu hii kwa sasa hauridhishi , na kwa kweli ni kama wameamua kwa makusudi kutudhalilisha sisi mashabiki na wanachama wake .
Kila tunapopita tunachekwa na kunyooshewa vidole , huko maofisini hali ni mbaya zaidi , kuna wakati matokeo ya timu yetu yanasababisha baadhi wasiende kazini kwa kuogopa aibu .
Hii hali itavumiliwa hadi lini ?
Nani uliyemfuma akifanya ujinga wa kutokwenda kazi kisa aibu ya Simba kudorora?Wala sikusema kama ni mimi
Kwa nini amphibians huwa mna kelele kwenye matope?Kubali kwanza jina alilowapa Rage la 'mbumbumbu"
Kama mtu anafikia hatua ya kushindwa kufanya kazi eti kwa sababu timu yake imefungwa au imetoa sare, huo ni ujinga... huko maofisini hali ni mbaya zaidi , kuna wakati matokeo ya timu yetu yanasababisha baadhi wasiende kazini kwa kuogopa aibu
MwijakuNani uliyemfuma akifanya ujinga wa kutokwenda kazi kisa aibu ya Simba kudorora?
Upande huu wa soka usilete chuki za kisiasa , utadhalilikaKuna bazazi kaandika kama ligi ingekuwa inaanza basi Simba angekuwa anashuka daraja!Na huyu ni think tank kabisa wa kujitolea wa Chama fulani.
Sasa ligi inaanza timu itashuka vipi daraja?
Ujinga mwingine ni wa kupewa medali ya ujinga kabisa.
Nimekugalagaza kwenye siasa umekuja huku , halafu habari za timu yetu ya simba wewe zinakuhusu nini ?Kadeki kwa Sugu mpira na wewe mbali mbali.Eti ligi ingeanza sasa !! Kwani Simba kapoteza pointi ngapi kwenye ligi hivi karibuni mpaka ufikie hiyo conclusion?Au ni mkumbo wa kuandika tu uonekane umeandika?
Ujinga hauna sehemu.Umeandika pumba umejibiwa kwenye michezo.Unapoandika shirikisha akili kama unazo ili pumba zako JF zipungue.Upande huu wa soka usilete chuki za kisiasa , utadhalilika
Wewe unigalagaze? Kwa upeo upi wa kufikiri?Nimekugalagaza kwenye siasa umekuja huku , halafu habari za timu yetu ya simba wewe zinakuhusu nini ?
Kumbe ni huyo mjinga 🤣Mwijaku
wamelegea kama mlendaKwa presha walizonazo hata ngumi kurusha wanaweza?? 😂