Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hamia hata Costal Union, yanini kuteseka na wakarobo π π πMwenendo wa Timu hii kwa sasa hauridhishi , na kwa kweli ni kama wameamua kwa makusudi kutudhalilisha sisi mashabiki na wanachama wake...
Endeleeni kutujaza upepo , Amani ikivurugika simba usidhani kama patakalikaHamia hata Costal Union, yanini kuteseka na wakarobo π π π
Inanihusu nini amani yenu ikivurugika, nimekushauri tafuta furaha y moyo wako sehemu ingineEndeleeni kutujaza upepo , Amani ikivurugika simba usidhani kama patakalika
Ndugu yangu tunapitia magumu kweli kweli.Mwenendo wa Timu hii kwa sasa hauridhishi , na kwa kweli ni kama wameamua kwa makusudi kutudhalilisha sisi mashabiki na wanachama wake .
Kila tunapopita tunachekwa na kunyooshewa vidole , huko maofisini hali ni mbaya zaidi , kuna wakati matokeo ya timu yetu yanasababisha baadhi wasiende kazini kwa kuogopa aibu .
Hii hali itavumiliwa hadi lini ?
Nawaambia kila siku Ahmed Ally ni Yanga lialia Simba yupo kikazi sio kiushabiki hamnisikii akishamaliza press anaenda kuchekea CHOONINdugu yangu tunapitia magumu kweli kweli.
Ukitaka uvurugwe zaidi msikilize Ahmed Ally akiwa kwenye mahojiano na vyombo vya habari!!!
πNawaambia kila siku Ahmed Ally ni Yanga lialia Simba yupo kikazi sio kiushabiki hamnisikii akishamaliza press anaenda kuchekea CHOONI
Aiseeeeee !!!Nawaambia kila siku Ahmed Ally ni Yanga lialia Simba yupo kikazi sio kiushabiki hamnisikii akishamaliza press anaenda kuchekea CHOONI
kuna wakati matokeo ya timu yetu yanasababisha baadhi wasiende kazini kwa kuogopa aibu .
Wala sikusema kama ni mimiNa wewe huendagi kazini kwa kuogopa aibu kisa Simba kafungwa?
Siamini kama una ujinga huo.
nipo nawachagulia lichupi la tarehe 20 sijui niwachukulie over size...π€£Si mmekubaliana mumfukuze Mo awaachie timu yenu! Mmefikia wapi? π
ππππ Tukawachagulie la karume yale ya mabondia wahindinipo nawachagulia lichupi la tarehe 20 sijui niwachukulie over size...π€£
Hayahujui kitu kuhusu mpira ndugu
utapigwa ngumi shauli yako..πππππ Tukawachagulie la karume yale ya mabondia wahindi