Kama macho ya idara yasipoona, Tanzania itapita kipindi kigumu sana kisiasa na kiuchumi

Kama macho ya idara yasipoona, Tanzania itapita kipindi kigumu sana kisiasa na kiuchumi

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Taifa lolote nguvu yake ipo ktk idara zake nyeti za usalama. Kwa upeo wangu na kile nakiona kuna kila haja Taifa letu kuwa na macho ya ziada ktk idara nyeti yetu ya siri pamoja na kufanya maamuzi magumu kwa muktadha wa Taifa letu miaka 100 kutoka sasa

Kwanza nilazima idara ifungue macho juu ya mipaka na uraia wa Taifa letu nilazima serikali iwe makini sana na wimbi kubwa la mataifa jirani kuingia nakutoka mpaka na kupata uraia ndani ya Taifa lakini wakiwa na malengo ya kutawala siku zijazo. Hasa kupata ardhi na malighafi za Taifa. Hili linafanyika kwa wanawake na wanaume wa mataifa mengine kuhonga na kuwalaghai waume na wake

Pili nilazima sera zetu ziwawezeshe wazawa sasa hivi mataifa jirani wanawezesha watu wao kuja wekeeza ndani ya Taifa letu na kuzaa na watu wetu nakuwa manamba ndani ya taifa lao.

Tatu nilazima idara ifanye mabadiliko makubwa yakimkakati kwenye sera za vyama vingi ili kuepeuka kuchomekewa watu kwenye mifumo kama tunataka kuiga Russia au wachina ijulikane na kama tunataka kuwa wamagharibi ijulikane.

Hii sera ya kutoingiliana na upande wowote huko tuendako haitokuwa na nguvu na kwa mwendo huu ita hii sera itaangusha mataifa mengi.

Nne dunia ina enda kwa kasi sana nilazima idara ikumbuke taifa lisilo kuwa na watu imara lita anguka angalieni kongo angalieni Libya nk yote ni majibu ya idara zilizo lala nakuwaacha watawala wakatawala wanavyo taka namwisho wananchi wakawachoka wakaziangusha serikali.

Idara haina budi kujifunza kwa Libya yakuwa Watu wa Libya hawakuwa na sababu yakupinduwa serikali yao walikuwa wakipata kila kitu ila wana nchi walichoka mauwaji ya wasiojulikana usalama uliokuwa umekithiri kiasi ikawa kila walipo watu wawili mmoja mwana idara pamoja na hayo bado wananchi wakaiangusha serikali.

Je, kwanini na sisi vizazi vyetu vifike huko? Nidhahiri shahiri kwa muuondo wa chama tawala na mienendo ya siasa siku moja taifa laweza kujipata huko kama idara hamto simama kuwaambia ukweli watawala nje wananchi wanajisikiaje.

Tano idara nilazima ijikite ktk kuangalia mapato ya Taifa nakupambana na wizi na ufisadi mkubwa ktk mifumo ya nchi pasipokujali huyu ni nano au anatoka wapi.

Watanzania bado tupo chini kwenye kodi na niwavivu kulipa kodi Kenya na mataifa mengine wameweza je kwa nini sisi bado budget yetu ni yategemezi na kwa hali ilivyo mataifa yanatupa support yatakuwa hayafanyi hivyo kwamfano lile fungu labku support demokrasia huwenda tusipate why wameshajuwa hakuna upinzania ni sarakasi tu tunacheza hivyo bora wakae na pesa zao hivyo nilazima idara iwe makini na walipa kodi
 
Well said..
Huwa binafsi nafikiria mbeleni hadi naogopa.
Mungu atusaidia
 

Attachments

  • download.jpeg
    download.jpeg
    13.1 KB · Views: 1
Taifa lolote nguvu yake ipo ktk idara zake nyeti za usalama. Kwa upeo wangu na kile nakiona kuna kila haja Taifa letu kuwa na macho ya zida pamoja na kufanya maamuzi magumu kwa muktadha wa Taifa letu miaka 100 inayokuja.
Kwanza nilazima idara ifungue macho juu ya mipaka na uraia wa Taifa letu nilazima serikali iwe makini sana na wimbi kubwa la mataifa jirani kuingia nakutoka mpaka na kupata uraia ndani ya Taifa lakini wakiwa na malengo ya kutawala siku zijazo. Hasa kupata ardhi na malighafi za Taifa.
Pili nilazima sera zetu ziwawezeshe wazawa sasa hivi mataifa jirani wanawezesha watu wao kuja wekeeza ndani ya Taifa letu na kuzaa na watu wetu nakuwa manamba ndani ya taifa lao.
Tatu nilazima idara ifanye mabadiliko makubwa yakimkakati kwenye sera za vyama vingi ili kuepeuka kuchomekewa watu kwenye mifumo kama tunataka kuiga Russia au wachina ijulikane na kama tunataka kuwa wamagharibi ijulikane. Hii sera ya kutoingiliana na upande wowote huko tuendako haitokuwa na nguvu na kwa mwendo huu ita hii sera itaangusha mataifa mengi.

Nne dunia ina enda kwa kasi sana nilazima idara ikumbuke taifa lisilo kuwa na watu imara lita anguka angalieni kongo angalieni Libya nk yote ni majibu ya idara zilizo lala nakuwaacha watawala wakatawala wanavyo taka namwisho wananchi wakawachoka wakaziangusha serikali.
Idara haina budi kujifunza kwa Libya yakuwa Watu wa Libya hawakuwa na sababu yakupinduwa serikali yao walikuwa wakipata kila kitu ila wana nchi walichoka mauwaji ya wasiojulikana usalama uliokuwa umekithiri kiasi ikawa kila walipo watu wawili mmoja mwana idara pamoja na hayo bado wananchi wakaiangusha serikali. Je kwanini na sisi vizazi vyetu vifike huko? Nidhahiri shahiri kwa muuondo wa chama tawala na mienendo ya siasa siku moja taifa laweza kujipata huko kama idara hamto simama kuwaambia ukweli watawala nje wananchi wanajisikiaje.

Tano idara nilazima ijikite ktk kuangalia mapato ya Taifa nakupambana na wizi na ufisadi mkubwa ktk mifumo ya nchi pasipokujali huyu ni nano au anatoka wapi. Watanzania bado tupo chini kwenye kodi na niwavivu kulipa kodi Kenya na mataifa mengine wameweza je kwa nini sisi bado budget yetu ni yategemezi na kwa hali ilivyo mataifa yanatupa support yatakuwa hayafanyi hivyo kwamfano lile fungu labku support demokrasia huwenda tusipate why wameshajuwa hakuna upinzania ni sarakasi tu tunacheza hivyo bora wakae na pesa zao hivyo nilazima idara iwe makini na walipa kodi
Upuuzi tupu
 
Taifa lolote nguvu yake ipo ktk idara zake nyeti za usalama. Kwa upeo wangu na kile nakiona kuna kila haja Taifa letu kuwa na macho ya zida pamoja na kufanya maamuzi magumu kwa muktadha wa Taifa letu miaka 100 inayokuja.
Kwanza nilazima idara ifungue macho juu ya mipaka na uraia wa Taifa letu nilazima serikali iwe makini sana na wimbi kubwa la mataifa jirani kuingia nakutoka mpaka na kupata uraia ndani ya Taifa lakini wakiwa na malengo ya kutawala siku zijazo. Hasa kupata ardhi na malighafi za Taifa.
Pili nilazima sera zetu ziwawezeshe wazawa sasa hivi mataifa jirani wanawezesha watu wao kuja wekeeza ndani ya Taifa letu na kuzaa na watu wetu nakuwa manamba ndani ya taifa lao.
Tatu nilazima idara ifanye mabadiliko makubwa yakimkakati kwenye sera za vyama vingi ili kuepeuka kuchomekewa watu kwenye mifumo kama tunataka kuiga Russia au wachina ijulikane na kama tunataka kuwa wamagharibi ijulikane. Hii sera ya kutoingiliana na upande wowote huko tuendako haitokuwa na nguvu na kwa mwendo huu ita hii sera itaangusha mataifa mengi.

Nne dunia ina enda kwa kasi sana nilazima idara ikumbuke taifa lisilo kuwa na watu imara lita anguka angalieni kongo angalieni Libya nk yote ni majibu ya idara zilizo lala nakuwaacha watawala wakatawala wanavyo taka namwisho wananchi wakawachoka wakaziangusha serikali.
Idara haina budi kujifunza kwa Libya yakuwa Watu wa Libya hawakuwa na sababu yakupinduwa serikali yao walikuwa wakipata kila kitu ila wana nchi walichoka mauwaji ya wasiojulikana usalama uliokuwa umekithiri kiasi ikawa kila walipo watu wawili mmoja mwana idara pamoja na hayo bado wananchi wakaiangusha serikali. Je kwanini na sisi vizazi vyetu vifike huko? Nidhahiri shahiri kwa muuondo wa chama tawala na mienendo ya siasa siku moja taifa laweza kujipata huko kama idara hamto simama kuwaambia ukweli watawala nje wananchi wanajisikiaje.

Tano idara nilazima ijikite ktk kuangalia mapato ya Taifa nakupambana na wizi na ufisadi mkubwa ktk mifumo ya nchi pasipokujali huyu ni nano au anatoka wapi. Watanzania bado tupo chini kwenye kodi na niwavivu kulipa kodi Kenya na mataifa mengine wameweza je kwa nini sisi bado budget yetu ni yategemezi na kwa hali ilivyo mataifa yanatupa support yatakuwa hayafanyi hivyo kwamfano lile fungu labku support demokrasia huwenda tusipate why wameshajuwa hakuna upinzania ni sarakasi tu tunacheza hivyo bora wakae na pesa zao hivyo nilazima idara iwe makini na walipa kodi
Idara ipi unaongelea ndugu..km ni hii iliyoasisi mifumo ya rushwa, upendeleo, utekaji na kuweka viongozi dhaifu kwa faida yao, sahau yote hayo umesema kufanyika! Hakuna idara hapa kuna wachumia tumbo..omba apatikane mtu atakayedili na hawa watu kwanza..yule mzee alipita alikosea angeanza na hawa kwanza, leo hii nchi ingekuwa mbali sana..makosa yake yakamrudia na hali imekuwa mbaya kuliko hapo mwanzo kabla hajaingia, ametusababishia maumivu makali tunapitia.
 
Pasiwe na chama au vyama vya siasa. Kiongozi wa nchi apatikane kwa mchujo mkali unaozingatia sifa (merit).

Hivyo hivyo viongozi wengine hadi kitongojini.

Mfumo wa elimu uwe wa kuwaandaa watu kujitegemea zaidi siyo kutegemea ajira za serikali. Waalimu watarajali elfu 20 wanagombania nafasi 200, wapi na wapi.

Kila mkoa au wilaya watu raia wazawa wenye vigezo wawezeshwe kuwekeza katika teknolojia, viwanda, kilimo biashara nk. Wawezeshwaji watoe ajira. Labda kila wilaya wakiwezeshwa watu 100 kila mmoja akaajiri watu 1000 ni ajira 100,000 kwa wilaya.

Baada ya miaka 10 tofauti itakuwepo tu.

Taifa liwe SMART kung'aza nchi nyingine wanafanya nini, nasi tufanye nini kwenda na wakati au hata kuutangulia wakati.

Tusiishi kwa kusikilizia mataifa makubwq yanataka nini. Tuishi kwa kupanga tunataka nini.

Taifa liwekeze kwenye elimu, afya na teknolojia vya kutosha. Ikiwezekana kila mwaka kuwe na mashindano yenye tuzo za ubinifu kila sekta. Kilimo, viwanda, TEHAMA, afya, nk. Hii iwe
ni kwa kila ngazi kuanzia kijiji hadi Taifa.

Tuondoe siasa za vyama, uchawa nk Sidhani kama ili Taifa liwepo lazima tuwe na vyama.

Naamini panaweza kuwa na mfumo bora wa kupata viongozi wanaobanwa kwa katiba, sera na miongozo mbalimbali ya kufikia malengo makubwa ya kimaendeleo.

Bungeni wataingia wawakilishi wa wananchi wenye weledi na waliochujwa na wananchi.
Kila wakirudi majimboni watatoa taarifa na kuwajibika kwa walio watuma.

Sipendi vyama vinatuchelewesha na kutufarakanisha.
 
Taifa lolote nguvu yake ipo ktk idara zake nyeti za usalama. Kwa upeo wangu na kile nakiona kuna kila haja Taifa letu kuwa na macho ya zida pamoja na kufanya maamuzi magumu kwa muktadha wa Taifa letu miaka 100 inayokuja.
Kwanza nilazima idara ifungue macho juu ya mipaka na uraia wa Taifa letu nilazima serikali iwe makini sana na wimbi kubwa la mataifa jirani kuingia nakutoka mpaka na kupata uraia ndani ya Taifa lakini wakiwa na malengo ya kutawala siku zijazo. Hasa kupata ardhi na malighafi za Taifa.
Pili nilazima sera zetu ziwawezeshe wazawa sasa hivi mataifa jirani wanawezesha watu wao kuja wekeeza ndani ya Taifa letu na kuzaa na watu wetu nakuwa manamba ndani ya taifa lao.
Tatu nilazima idara ifanye mabadiliko makubwa yakimkakati kwenye sera za vyama vingi ili kuepeuka kuchomekewa watu kwenye mifumo kama tunataka kuiga Russia au wachina ijulikane na kama tunataka kuwa wamagharibi ijulikane. Hii sera ya kutoingiliana na upande wowote huko tuendako haitokuwa na nguvu na kwa mwendo huu ita hii sera itaangusha mataifa mengi.

Nne dunia ina enda kwa kasi sana nilazima idara ikumbuke taifa lisilo kuwa na watu imara lita anguka angalieni kongo angalieni Libya nk yote ni majibu ya idara zilizo lala nakuwaacha watawala wakatawala wanavyo taka namwisho wananchi wakawachoka wakaziangusha serikali.
Idara haina budi kujifunza kwa Libya yakuwa Watu wa Libya hawakuwa na sababu yakupinduwa serikali yao walikuwa wakipata kila kitu ila wana nchi walichoka mauwaji ya wasiojulikana usalama uliokuwa umekithiri kiasi ikawa kila walipo watu wawili mmoja mwana idara pamoja na hayo bado wananchi wakaiangusha serikali. Je kwanini na sisi vizazi vyetu vifike huko? Nidhahiri shahiri kwa muuondo wa chama tawala na mienendo ya siasa siku moja taifa laweza kujipata huko kama idara hamto simama kuwaambia ukweli watawala nje wananchi wanajisikiaje.

Tano idara nilazima ijikite ktk kuangalia mapato ya Taifa nakupambana na wizi na ufisadi mkubwa ktk mifumo ya nchi pasipokujali huyu ni nano au anatoka wapi. Watanzania bado tupo chini kwenye kodi na niwavivu kulipa kodi Kenya na mataifa mengine wameweza je kwa nini sisi bado budget yetu ni yategemezi na kwa hali ilivyo mataifa yanatupa support yatakuwa hayafanyi hivyo kwamfano lile fungu labku support demokrasia huwenda tusipate why wameshajuwa hakuna upinzania ni sarakasi tu tunacheza hivyo bora wakae na pesa zao hivyo nilazima idara iwe makini na walipa kodi
Cjui km watakuelewa, maana umeeleweka
 
Taifa lolote nguvu yake ipo ktk idara zake nyeti za usalama. Kwa upeo wangu na kile nakiona kuna kila haja Taifa letu kuwa na macho ya zida pamoja na kufanya maamuzi magumu kwa muktadha wa Taifa letu miaka 100 inayokuja.
Kwanza nilazima idara ifungue macho juu ya mipaka na uraia wa Taifa letu nilazima serikali iwe makini sana na wimbi kubwa la mataifa jirani kuingia nakutoka mpaka na kupata uraia ndani ya Taifa lakini wakiwa na malengo ya kutawala siku zijazo. Hasa kupata ardhi na malighafi za Taifa.
Pili nilazima sera zetu ziwawezeshe wazawa sasa hivi mataifa jirani wanawezesha watu wao kuja wekeeza ndani ya Taifa letu na kuzaa na watu wetu nakuwa manamba ndani ya taifa lao.
Tatu nilazima idara ifanye mabadiliko makubwa yakimkakati kwenye sera za vyama vingi ili kuepeuka kuchomekewa watu kwenye mifumo kama tunataka kuiga Russia au wachina ijulikane na kama tunataka kuwa wamagharibi ijulikane. Hii sera ya kutoingiliana na upande wowote huko tuendako haitokuwa na nguvu na kwa mwendo huu ita hii sera itaangusha mataifa mengi.

Nne dunia ina enda kwa kasi sana nilazima idara ikumbuke taifa lisilo kuwa na watu imara lita anguka angalieni kongo angalieni Libya nk yote ni majibu ya idara zilizo lala nakuwaacha watawala wakatawala wanavyo taka namwisho wananchi wakawachoka wakaziangusha serikali.
Idara haina budi kujifunza kwa Libya yakuwa Watu wa Libya hawakuwa na sababu yakupinduwa serikali yao walikuwa wakipata kila kitu ila wana nchi walichoka mauwaji ya wasiojulikana usalama uliokuwa umekithiri kiasi ikawa kila walipo watu wawili mmoja mwana idara pamoja na hayo bado wananchi wakaiangusha serikali. Je kwanini na sisi vizazi vyetu vifike huko? Nidhahiri shahiri kwa muuondo wa chama tawala na mienendo ya siasa siku moja taifa laweza kujipata huko kama idara hamto simama kuwaambia ukweli watawala nje wananchi wanajisikiaje.

Tano idara nilazima ijikite ktk kuangalia mapato ya Taifa nakupambana na wizi na ufisadi mkubwa ktk mifumo ya nchi pasipokujali huyu ni nano au anatoka wapi. Watanzania bado tupo chini kwenye kodi na niwavivu kulipa kodi Kenya na mataifa mengine wameweza je kwa nini sisi bado budget yetu ni yategemezi na kwa hali ilivyo mataifa yanatupa support yatakuwa hayafanyi hivyo kwamfano lile fungu labku support demokrasia huwenda tusipate why wameshajuwa hakuna upinzania ni sarakasi tu tunacheza hivyo bora wakae na pesa zao hivyo nilazima idara iwe makini na walipa kodi
Unahisi hiyo "idara" imelala!? Jichanganye uone ilivyo macho? Unafikiri wewe unashiba makande na kuanza kukosoa tu Kisha unatembea kwa mguu usiku wa manane bila hofu unafikiri ni kwasababu "idara" imelala? Nyambafu!!?
 
Unahisi hiyo "idara" imelala!? Jichanganye uone ilivyo macho? Unafikiri wewe unashiba makande na kuanza kukosoa tu Kisha unatembea kwa mguu usiku wa manane bila hofu unafikiri ni kwasababu "idara" imelala? Nyambafu!!?
Kwani kukosoa ni vibaya jamani? Kama mtu hajatumia lugha yoyote ya matusi au uchochezi sioni sababu ya kufanyiwa kitu mbaya. Lazima tuwe na ukomavu wa kupokea criticism.

Kama mtu kaongea upuuzi haumuui unawaeleza tu watu kinagaubaga kwamba jamani eeh huyu mtu anajifanya mjuaji lakini ameongea upuuzi tu na ujinga wake ni kama ifuatavyo .....

Mm naamini kama viongozi wakikubali kupokea criticism nchi itakuwa salama zaidi. Kwasababu kila mwananchi atajisikia nyumbani.
 
Taifa lolote nguvu yake ipo ktk idara zake nyeti za usalama. Kwa upeo wangu na kile nakiona kuna kila haja Taifa letu kuwa na macho ya zida pamoja na kufanya maamuzi magumu kwa muktadha wa Taifa letu miaka 100 inayokuja.
Kwanza nilazima idara ifungue macho juu ya mipaka na uraia wa Taifa letu nilazima serikali iwe makini sana na wimbi kubwa la mataifa jirani kuingia nakutoka mpaka na kupata uraia ndani ya Taifa lakini wakiwa na malengo ya kutawala siku zijazo. Hasa kupata ardhi na malighafi za Taifa.
Pili nilazima sera zetu ziwawezeshe wazawa sasa hivi mataifa jirani wanawezesha watu wao kuja wekeeza ndani ya Taifa letu na kuzaa na watu wetu nakuwa manamba ndani ya taifa lao.
Tatu nilazima idara ifanye mabadiliko makubwa yakimkakati kwenye sera za vyama vingi ili kuepeuka kuchomekewa watu kwenye mifumo kama tunataka kuiga Russia au wachina ijulikane na kama tunataka kuwa wamagharibi ijulikane. Hii sera ya kutoingiliana na upande wowote huko tuendako haitokuwa na nguvu na kwa mwendo huu ita hii sera itaangusha mataifa mengi.

Nne dunia ina enda kwa kasi sana nilazima idara ikumbuke taifa lisilo kuwa na watu imara lita anguka angalieni kongo angalieni Libya nk yote ni majibu ya idara zilizo lala nakuwaacha watawala wakatawala wanavyo taka namwisho wananchi wakawachoka wakaziangusha serikali.
Idara haina budi kujifunza kwa Libya yakuwa Watu wa Libya hawakuwa na sababu yakupinduwa serikali yao walikuwa wakipata kila kitu ila wana nchi walichoka mauwaji ya wasiojulikana usalama uliokuwa umekithiri kiasi ikawa kila walipo watu wawili mmoja mwana idara pamoja na hayo bado wananchi wakaiangusha serikali. Je kwanini na sisi vizazi vyetu vifike huko? Nidhahiri shahiri kwa muuondo wa chama tawala na mienendo ya siasa siku moja taifa laweza kujipata huko kama idara hamto simama kuwaambia ukweli watawala nje wananchi wanajisikiaje.

Tano idara nilazima ijikite ktk kuangalia mapato ya Taifa nakupambana na wizi na ufisadi mkubwa ktk mifumo ya nchi pasipokujali huyu ni nano au anatoka wapi. Watanzania bado tupo chini kwenye kodi na niwavivu kulipa kodi Kenya na mataifa mengine wameweza je kwa nini sisi bado budget yetu ni yategemezi na kwa hali ilivyo mataifa yanatupa support yatakuwa hayafanyi hivyo kwamfano lile fungu labku support demokrasia huwenda tusipate why wameshajuwa hakuna upinzania ni sarakasi tu tunacheza hivyo bora wakae na pesa zao hivyo nilazima idara iwe makini na walipa kodi
Kama taifa hatuna hizo idara unazozizungumzia bali ni CCM ndio wana tissccm kwa ajili ya kulinda heshima ya viongozi wa sisiemu.
 
Taifa lolote nguvu yake ipo ktk idara zake nyeti za usalama. Kwa upeo wangu na kile nakiona kuna kila haja Taifa letu kuwa na macho ya zida pamoja na kufanya maamuzi magumu kwa muktadha wa Taifa letu miaka 100 inayokuja.
Kwanza nilazima idara ifungue macho juu ya mipaka na uraia wa Taifa letu nilazima serikali iwe makini sana na wimbi kubwa la mataifa jirani kuingia nakutoka mpaka na kupata uraia ndani ya Taifa lakini wakiwa na malengo ya kutawala siku zijazo. Hasa kupata ardhi na malighafi za Taifa.
Pili nilazima sera zetu ziwawezeshe wazawa sasa hivi mataifa jirani wanawezesha watu wao kuja wekeeza ndani ya Taifa letu na kuzaa na watu wetu nakuwa manamba ndani ya taifa lao.
Tatu nilazima idara ifanye mabadiliko makubwa yakimkakati kwenye sera za vyama vingi ili kuepeuka kuchomekewa watu kwenye mifumo kama tunataka kuiga Russia au wachina ijulikane na kama tunataka kuwa wamagharibi ijulikane. Hii sera ya kutoingiliana na upande wowote huko tuendako haitokuwa na nguvu na kwa mwendo huu ita hii sera itaangusha mataifa mengi.

Nne dunia ina enda kwa kasi sana nilazima idara ikumbuke taifa lisilo kuwa na watu imara lita anguka angalieni kongo angalieni Libya nk yote ni majibu ya idara zilizo lala nakuwaacha watawala wakatawala wanavyo taka namwisho wananchi wakawachoka wakaziangusha serikali.
Idara haina budi kujifunza kwa Libya yakuwa Watu wa Libya hawakuwa na sababu yakupinduwa serikali yao walikuwa wakipata kila kitu ila wana nchi walichoka mauwaji ya wasiojulikana usalama uliokuwa umekithiri kiasi ikawa kila walipo watu wawili mmoja mwana idara pamoja na hayo bado wananchi wakaiangusha serikali. Je kwanini na sisi vizazi vyetu vifike huko? Nidhahiri shahiri kwa muuondo wa chama tawala na mienendo ya siasa siku moja taifa laweza kujipata huko kama idara hamto simama kuwaambia ukweli watawala nje wananchi wanajisikiaje.

Tano idara nilazima ijikite ktk kuangalia mapato ya Taifa nakupambana na wizi na ufisadi mkubwa ktk mifumo ya nchi pasipokujali huyu ni nano au anatoka wapi. Watanzania bado tupo chini kwenye kodi na niwavivu kulipa kodi Kenya na mataifa mengine wameweza je kwa nini sisi bado budget yetu ni yategemezi na kwa hali ilivyo mataifa yanatupa support yatakuwa hayafanyi hivyo kwamfano lile fungu labku support demokrasia huwenda tusipate why wameshajuwa hakuna upinzania ni sarakasi tu tunacheza hivyo bora wakae na pesa zao hivyo nilazima idara iwe makini na walipa kodi
Samia hamalizi miaka 3 😁😁

Bahasha nyeupe 😂😂

Bado hamjasema mtasema vizuri Oktoba 2025
 
Unahisi hiyo "idara" imelala!? Jichanganye uone ilivyo macho? Unafikiri wewe unashiba makande na kuanza kukosoa tu Kisha unatembea kwa mguu usiku wa manane bila hofu unafikiri ni kwasababu "idara" imelala? Nyambafu!!?
Kwa upande wa taifa imelala na ndio maana kuna uhujumu kwenye sgr na zaidi hata cdf alisikika akisema uwepo wa viongozi wa juu ktk taifa lkn ni raia wa nchi jirani.
 
Back
Top Bottom