Kama macho ya idara yasipoona, Tanzania itapita kipindi kigumu sana kisiasa na kiuchumi

Kama macho ya idara yasipoona, Tanzania itapita kipindi kigumu sana kisiasa na kiuchumi

Nipeni Idara au mkuu wa nchi niwafikishieni nchi ya ahadi.
 
Unahisi hiyo "idara" imelala!? Jichanganye uone ilivyo macho? Unafikiri wewe unashiba makande na kuanza kukosoa tu Kisha unatembea kwa mguu usiku wa manane bila hofu unafikiri ni kwasababu "idara" imelala? Nyambafu!!?

Acha uchizi wako wewe , hiyo idara hakuna kitu ni wapuudhi flani wanaotumia hovyo kadi ya nchi
 
Unahisi hiyo "idara" imelala!? Jichanganye uone ilivyo macho? Unafikiri wewe unashiba makande na kuanza kukosoa tu Kisha unatembea kwa mguu usiku wa manane bila hofu unafikiri ni kwasababu "idara" imelala? Nyambafu!!?
Aisee!
Hivi umesoma kweli kilichoandikwa?
Hiki kitu ni nje ya uwezo wako ni vyema ukapita mbali kabisa!
 
Unahisi hiyo "idara" imelala!? Jichanganye uone ilivyo macho? Unafikiri wewe unashiba makande na kuanza kukosoa tu Kisha unatembea kwa mguu usiku wa manane bila hofu unafikiri ni kwasababu "idara" imelala? Nyambafu!!?
Mtasalia hivyo hivyo kumtisha kila anae jaribu kunena
 
Bahati mbaya sana hao uliowaandikia humu muda huu wanawaza namna ya kuiba uchaguzi na kuhakikisha CCM inashinda uchaguzi. Hawana mambo ya maana wanayowaza zaidi ya huo upuuzi hivyo usitegemee chochote kutoka kwao.

Huko ndo wamejaa wajinga kuliko hata Polisi wetu na muda wote wanawaza kuwalamba miguu Wanasiasa. Kwa kifupi ni watu wasiojitambua na wasiotambua nafasi zao.

Tuombe tu Nchi hii atokee Sani Abacha wetu au Kapteni Traore afanye yake.
 
Unahisi hiyo "idara" imelala!? Jichanganye uone ilivyo macho? Unafikiri wewe unashiba makande na kuanza kukosoa tu Kisha unatembea kwa mguu usiku wa manane bila hofu unafikiri ni kwasababu "idara" imelala? Nyambafu!!?
Acha kutema uharo wako humu. Hakuna wanalolijua hao watu zaidi ya kuiba chaguzi na kuhakikisha wajinga CCM kuendelea kuwa madarakani.

Hao ni maiti zinazotembea.
 
Acha kutema uharo wako humu. Hakuna wanalolijua hao watu zaidi ya kuiba chaguzi na kuhakikisha wajinga CCM kuendelea kuwa madarakani.

Hao ni maiti zinazotembea.
Yaani mjinga anatawala, halafu wewe mwerevu umeshika bomba! Ahahahahaha!!!
 
Taifa lolote nguvu yake ipo ktk idara zake nyeti za usalama. Kwa upeo wangu na kile nakiona kuna kila haja Taifa letu kuwa na macho ya zida pamoja na kufanya maamuzi magumu kwa muktadha wa Taifa letu miaka 100 inayokuja.

Kwanza nilazima idara ifungue macho juu ya mipaka na uraia wa Taifa letu nilazima serikali iwe makini sana na wimbi kubwa la mataifa jirani kuingia nakutoka mpaka na kupata uraia ndani ya Taifa lakini wakiwa na malengo ya kutawala siku zijazo. Hasa kupata ardhi na malighafi za Taifa.

Pili nilazima sera zetu ziwawezeshe wazawa sasa hivi mataifa jirani wanawezesha watu wao kuja wekeeza ndani ya Taifa letu na kuzaa na watu wetu nakuwa manamba ndani ya taifa lao.

Tatu nilazima idara ifanye mabadiliko makubwa yakimkakati kwenye sera za vyama vingi ili kuepeuka kuchomekewa watu kwenye mifumo kama tunataka kuiga Russia au wachina ijulikane na kama tunataka kuwa wamagharibi ijulikane.

Hii sera ya kutoingiliana na upande wowote huko tuendako haitokuwa na nguvu na kwa mwendo huu ita hii sera itaangusha mataifa mengi.

Nne dunia ina enda kwa kasi sana nilazima idara ikumbuke taifa lisilo kuwa na watu imara lita anguka angalieni kongo angalieni Libya nk yote ni majibu ya idara zilizo lala nakuwaacha watawala wakatawala wanavyo taka namwisho wananchi wakawachoka wakaziangusha serikali.

Idara haina budi kujifunza kwa Libya yakuwa Watu wa Libya hawakuwa na sababu yakupinduwa serikali yao walikuwa wakipata kila kitu ila wana nchi walichoka mauwaji ya wasiojulikana usalama uliokuwa umekithiri kiasi ikawa kila walipo watu wawili mmoja mwana idara pamoja na hayo bado wananchi wakaiangusha serikali.

Je, kwanini na sisi vizazi vyetu vifike huko? Nidhahiri shahiri kwa muuondo wa chama tawala na mienendo ya siasa siku moja taifa laweza kujipata huko kama idara hamto simama kuwaambia ukweli watawala nje wananchi wanajisikiaje.

Tano idara nilazima ijikite ktk kuangalia mapato ya Taifa nakupambana na wizi na ufisadi mkubwa ktk mifumo ya nchi pasipokujali huyu ni nano au anatoka wapi.

Watanzania bado tupo chini kwenye kodi na niwavivu kulipa kodi Kenya na mataifa mengine wameweza je kwa nini sisi bado budget yetu ni yategemezi na kwa hali ilivyo mataifa yanatupa support yatakuwa hayafanyi hivyo kwamfano lile fungu labku support demokrasia huwenda tusipate why wameshajuwa hakuna upinzania ni sarakasi tu tunacheza hivyo bora wakae na pesa zao hivyo nilazima idara iwe makini na walipa kodi
Hoja nzuri ila kisarufi urudi darasani
 
Taifa lolote nguvu yake ipo ktk idara zake nyeti za usalama. Kwa upeo wangu na kile nakiona kuna kila haja Taifa letu kuwa na macho ya zida pamoja na kufanya maamuzi magumu kwa muktadha wa Taifa letu miaka 100 inayokuja.

Kwanza nilazima idara ifungue macho juu ya mipaka na uraia wa Taifa letu nilazima serikali iwe makini sana na wimbi kubwa la mataifa jirani kuingia nakutoka mpaka na kupata uraia ndani ya Taifa lakini wakiwa na malengo ya kutawala siku zijazo. Hasa kupata ardhi na malighafi za Taifa.

Pili nilazima sera zetu ziwawezeshe wazawa sasa hivi mataifa jirani wanawezesha watu wao kuja wekeeza ndani ya Taifa letu na kuzaa na watu wetu nakuwa manamba ndani ya taifa lao.

Tatu nilazima idara ifanye mabadiliko makubwa yakimkakati kwenye sera za vyama vingi ili kuepeuka kuchomekewa watu kwenye mifumo kama tunataka kuiga Russia au wachina ijulikane na kama tunataka kuwa wamagharibi ijulikane.

Hii sera ya kutoingiliana na upande wowote huko tuendako haitokuwa na nguvu na kwa mwendo huu ita hii sera itaangusha mataifa mengi.

Nne dunia ina enda kwa kasi sana nilazima idara ikumbuke taifa lisilo kuwa na watu imara lita anguka angalieni kongo angalieni Libya nk yote ni majibu ya idara zilizo lala nakuwaacha watawala wakatawala wanavyo taka namwisho wananchi wakawachoka wakaziangusha serikali.

Idara haina budi kujifunza kwa Libya yakuwa Watu wa Libya hawakuwa na sababu yakupinduwa serikali yao walikuwa wakipata kila kitu ila wana nchi walichoka mauwaji ya wasiojulikana usalama uliokuwa umekithiri kiasi ikawa kila walipo watu wawili mmoja mwana idara pamoja na hayo bado wananchi wakaiangusha serikali.

Je, kwanini na sisi vizazi vyetu vifike huko? Nidhahiri shahiri kwa muuondo wa chama tawala na mienendo ya siasa siku moja taifa laweza kujipata huko kama idara hamto simama kuwaambia ukweli watawala nje wananchi wanajisikiaje.

Tano idara nilazima ijikite ktk kuangalia mapato ya Taifa nakupambana na wizi na ufisadi mkubwa ktk mifumo ya nchi pasipokujali huyu ni nano au anatoka wapi.

Watanzania bado tupo chini kwenye kodi na niwavivu kulipa kodi Kenya na mataifa mengine wameweza je kwa nini sisi bado budget yetu ni yategemezi na kwa hali ilivyo mataifa yanatupa support yatakuwa hayafanyi hivyo kwamfano lile fungu labku support demokrasia huwenda tusipate why wameshajuwa hakuna upinzania ni sarakasi tu tunacheza hivyo bora wakae na pesa zao hivyo nilazima idara iwe makini na walipa kodi
Wapo wanyarwanda wengi saa huko TABORA WANA NiDA kabisa tena zipo kweenye covers zao za cmu. Kuna mmoja namjua ana mpaka ardhi bongo
 
Neno IDARA ni kubwa sana lakini kwa TZ sidhani kamakuna wana idara wenye vichwa vya kufikiri ipasavyo!!

IDARA INARUHUSUJE CHAMA KIMOJA KUKAA MADARAKANI KWA MIAKA 40!!?YAANI CHAMA HAKINA MBADALA WALAU WA KUFANYA REMEDY PALE KINAPOBORONGA!!?

YAANI TUNASEMAJE TUNA IDARA HADI MAMBO YAMEHARIBIKA HIVI!!?NINGEKUA NA UWEZO HAO WANAOJIITA WANA IDARA NINGEWACHAPA VIBOKO. VINGI SANA COZ WAMEIHARIBU SANA JAMHURIYA TZ!!

sidhani kama Kuna idara hapa tz labda idara ya CCM lakini sio ya Taifa!!

Mwanaccm mwenye akili timamu kama mimi ningetamani chama chetu kingepumzishwa ilikijenge misingi imara ya uzalendo na uadilifu ndio wapewe Dola tena!!
 
Hii Serikali inayotuingiza kwenye utumwa wa Waarabu, ikianguka na kufa, litakuwa ni jambo la heri kubwa sana kwa Taifa letu na kwa vizazi vijavyo. La sivyo, kuna siku eneo lote la pwani na bandari zake zitakuwa Crimea ya Tanganyika.

Waarabu wanataka kuiteka hii nchi. Wameanzia kwa kupora njia zote kuu za kiuchumi. Wakishamiliki uchumi, watahamia kwenye umiiki wa nguvu za kisiasa. Baada ya hapo watayamega maeneo yote ya pwani na kuyafanya sehemu ya Zanzibar. Wakati huo ukifika, wataifanya Zanzibar kuwa sehemu ya Oman, na ndipo ile kauli ya mfalme wa Oman kuwa hata ipite miaka mingapi, kuna siku makao makuu ya sultani wa Oman yatarudi kwenye eneo lake, Zanzibar, yatakapotimia. Na ndiyo maana ya ile kauli ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar kuwa eti eneo lote la pwani ya bahari toka Mtwara mpaka Pangani, na visiwa vya Kilwa, ilitakiwa viwe sehemu ya Zanzibar kwa sababu maeneo hayo yalikuwa chini ya sultani, na kwamba hayati Karume alikosea kuyadai wakati wa makubaliano na Nyerere.
 
Back
Top Bottom