Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,323
Relax, sipo hapa kumkera mtu yeyote ni jambo la kufikilika tu
Just imagine maeneo mbali mbali ya DSM yangekuwa ni jinsia ya kike unafikiri yangekuwa na tabia gani...?
Ifuatayo ni analysis fupi kuelezea tabia za maeneo hayo kuyalinganisha na wanawake [emoji28]
1. POSTA- Mwanamke mzuri ambae she’s always working, pesa anazo na anajiita independent ila hazionekani...pesa anatumia za mwanaume tu kwa kila kitu na hana muda na familia yeye muda wote anawaza kazi
2. SINZA- Ni Slay queen anapenda starehe lakini pesa hana wala kazi, zaidi ya kutegemea wanaume wampe pesa ana mabwana zaid ya mmoja maana ndio kitega uchumi chake kikuu
3. TABATA- Ni (Party girl) Mwanamke anaetokea Middle class family kazi yake ni kufurahia weekend ifike akale maisha, anachukia kufanya kazi anapenda kunywa pombe na kuvuta shisha
4. G/ MBOTO- Huyu apa ni Asha chupi kubwa au Mwajuma chanua chanua, anatokea familia ya chini anajaribu kujishughulisha na biashara ndogo ndogo na mapenzi lakin hana bahati na vyote
5. MBEZI/ KIMARA- Mwanamke kutoka Lower Middle class family anajitunza somehow anapenda dini kwa mbali, lakini sometimes analiwa kimasihara na choirmaster pamoja na watumishi wenzie fake
6. MIKOCHENI- Mwanamke Class, Elegant & beautiful anajiita independent ila bado anadai child support na kulipiwa kodi japo kaamua kupanga mansion mwenyewe
7. MWENGE- Mwanamke beautiful not so smart though, ana watoto lakin kawaacha kwa baba/bibi, yuko busy anatafuta ndoto yake ya kuwa model au video vixen
8. KIGAMBONI- Single Mother ambae alitelekezwa ila kila siku zinavyoenda anazidi kuwa mtamu
9. MBAGALA- Amina kipini, anakunywa double kick hana gharama anagawa kama njugu kwa vile kapewa bure, akiingia geto lazima aibe kitu
10. .... ongezea na wewe maeneo yapo mengi[emoji28]
unafikiria nini kuhusu hiyo analysis? Kuna mahali popte ambako kumeonewa?
Sema ni free country hii au at-least we think it is.
Just imagine maeneo mbali mbali ya DSM yangekuwa ni jinsia ya kike unafikiri yangekuwa na tabia gani...?
Ifuatayo ni analysis fupi kuelezea tabia za maeneo hayo kuyalinganisha na wanawake [emoji28]
1. POSTA- Mwanamke mzuri ambae she’s always working, pesa anazo na anajiita independent ila hazionekani...pesa anatumia za mwanaume tu kwa kila kitu na hana muda na familia yeye muda wote anawaza kazi
2. SINZA- Ni Slay queen anapenda starehe lakini pesa hana wala kazi, zaidi ya kutegemea wanaume wampe pesa ana mabwana zaid ya mmoja maana ndio kitega uchumi chake kikuu
3. TABATA- Ni (Party girl) Mwanamke anaetokea Middle class family kazi yake ni kufurahia weekend ifike akale maisha, anachukia kufanya kazi anapenda kunywa pombe na kuvuta shisha
4. G/ MBOTO- Huyu apa ni Asha chupi kubwa au Mwajuma chanua chanua, anatokea familia ya chini anajaribu kujishughulisha na biashara ndogo ndogo na mapenzi lakin hana bahati na vyote
5. MBEZI/ KIMARA- Mwanamke kutoka Lower Middle class family anajitunza somehow anapenda dini kwa mbali, lakini sometimes analiwa kimasihara na choirmaster pamoja na watumishi wenzie fake
6. MIKOCHENI- Mwanamke Class, Elegant & beautiful anajiita independent ila bado anadai child support na kulipiwa kodi japo kaamua kupanga mansion mwenyewe
7. MWENGE- Mwanamke beautiful not so smart though, ana watoto lakin kawaacha kwa baba/bibi, yuko busy anatafuta ndoto yake ya kuwa model au video vixen
8. KIGAMBONI- Single Mother ambae alitelekezwa ila kila siku zinavyoenda anazidi kuwa mtamu
9. MBAGALA- Amina kipini, anakunywa double kick hana gharama anagawa kama njugu kwa vile kapewa bure, akiingia geto lazima aibe kitu
10. .... ongezea na wewe maeneo yapo mengi[emoji28]
unafikiria nini kuhusu hiyo analysis? Kuna mahali popte ambako kumeonewa?
Sema ni free country hii au at-least we think it is.