Kama Magufuli alikuwa kichaa kama watu wanavyodai, kwanini Kikwete na Mkapa walimteua kama Waziri?

Hujaelewa nini hapo? Rudia soma taratibu.
 
Aliwahi kusema mwenyewe kuwa yeye ni kichaa! Pia ukichaa sio lazima mtu aokote makopo, wapo vichaa wengi tu ni walimu na madaktari.
 
Lowasa alikuwa amewashika papaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…