Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Tumeshuhudia hii miezi miwili kukiwa na kauli kadha wa kadha zenye kukinzana na matendo mbalimbali yaliyofanywa na awamu ya 5 chini ya Shujaa toka kwa wateule wake wa kipindi hicho. Moja ya wateule hao ni aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, ambaye kwa sasa ni mbunge wa jimbo la Arusha mjini Mh. Mrisho Gambo (Mb).
Nisingependa kuzirudia kauli hizo lakini recently ni hii inayohusu unyang`anyi kwenye maduka ya kubadilishia fedha za kigeni. Naona kundi kubwa la wapingaji wa awamu ya Shujaa wakiwashambulia wateule hawa waliopita bila kusahau ya kuwa Executive power ilikuwa kubwa sana na ya kutisha kias cha kwamba kama jambo hulielewi ni bora kuufyata.
Sasa tunaona Mh. Gambo na wengineo wakikiri waziwazi kuwa walikabwa pumzi nasi tukiwashambulia kwa kasi bila kujali kuwa nafasi zao zilikuwa ni ndogo sana ukitokea juu. Tumejione wenyewe kuwa hata VP wa wakati huo amekiri waziwazi kuwa kuna sehemu alijaribu kuingilia au kuulizia akaona "Msuli wake mdogo".
Mtazame PM naye alikuwa pozo wakati hata alipojaribu kudeal na Mk. wa Bandari ni dhahiri alikuwa na msuli mdogo. Hivyo tukianza kuwashambulia wateule wa awamu Iliyokwendazake itabidi tupite kwa PM,Kwa mama na wengineo akiwemo IGP ambaye mimi naamini anaijua kazi yake vizuri kama asipoingiliwa halafu ndo tuwalaumu dagaa kama akina Mrisho.
Cha msingi ni kuanza kuevaluate na nadhani watafahamika wengi ambao walikuwa wanapenda na kufurahia, lakin pia tumuunge mkono Mama yetu ambaye labda aliteleza au naye msuli ulikuwa mdogo lakin anaonekana wazi hakuwa akifurahia fomesheni ile ya kukaba sana. Tujenge imani nao tuje kuwalaumu kwa maendo yao sasa wakati wapo huru kucheza tikitaka kila mmoja na nafasi yake.
Tukiruka na Gambo, Itabidi turuke na wengi.
KWA KIFUPI SYSTEM ILICORRUPT .
Nisingependa kuzirudia kauli hizo lakini recently ni hii inayohusu unyang`anyi kwenye maduka ya kubadilishia fedha za kigeni. Naona kundi kubwa la wapingaji wa awamu ya Shujaa wakiwashambulia wateule hawa waliopita bila kusahau ya kuwa Executive power ilikuwa kubwa sana na ya kutisha kias cha kwamba kama jambo hulielewi ni bora kuufyata.
Sasa tunaona Mh. Gambo na wengineo wakikiri waziwazi kuwa walikabwa pumzi nasi tukiwashambulia kwa kasi bila kujali kuwa nafasi zao zilikuwa ni ndogo sana ukitokea juu. Tumejione wenyewe kuwa hata VP wa wakati huo amekiri waziwazi kuwa kuna sehemu alijaribu kuingilia au kuulizia akaona "Msuli wake mdogo".
Mtazame PM naye alikuwa pozo wakati hata alipojaribu kudeal na Mk. wa Bandari ni dhahiri alikuwa na msuli mdogo. Hivyo tukianza kuwashambulia wateule wa awamu Iliyokwendazake itabidi tupite kwa PM,Kwa mama na wengineo akiwemo IGP ambaye mimi naamini anaijua kazi yake vizuri kama asipoingiliwa halafu ndo tuwalaumu dagaa kama akina Mrisho.
Cha msingi ni kuanza kuevaluate na nadhani watafahamika wengi ambao walikuwa wanapenda na kufurahia, lakin pia tumuunge mkono Mama yetu ambaye labda aliteleza au naye msuli ulikuwa mdogo lakin anaonekana wazi hakuwa akifurahia fomesheni ile ya kukaba sana. Tujenge imani nao tuje kuwalaumu kwa maendo yao sasa wakati wapo huru kucheza tikitaka kila mmoja na nafasi yake.
Tukiruka na Gambo, Itabidi turuke na wengi.
KWA KIFUPI SYSTEM ILICORRUPT .