- Thread starter
- #21
🤣🤣🤣🤣ngoja niwatafute.Nakushauri usiwape hata mia mbovu.
Kuna mwamba sijui anaitwa nani katoa ngoma inaitwa "Siendekezi Ujinga", idownload halafu watumie kwa WhatsApp itawafaa zaidi..
Tule bata lakini kwa urefu wa kamba zetu. Hata Mama aliwashauri hivyo baraza lake.🤣