Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Takwimu zinasemaje kwani ?Kama enonga ndo anaimbwa leo basi watani mlizidiwa
Kwa hiyo Italy walipotwaa world Cup na Canavaro kuwa mchezaji bora basi Italy ilitwaa kombe ikiwa imezidiwa maana Canavaro ni beki.Kama enonga ndo anaimbwa leo basi watani mlizidiwa
Kumbe huko kwenu beki siyo sehemu ya timu?Kama enonga ndo anaimbwa leo basi watani mlizidiwa
Ngoja niweke namba za msimamo wa ligiweka namba hapa tubishane nazo.
Kama ujaaangalia mpiraaa tuliaKama enonga ndo anaimbwa leo basi watani mlizidiwa
Hilo lipo wazi
Kwa kifupi simba hana kikosi cha kucheza na Yanga..fikiria
Chama nje
Morrison nje
Sakho nje
Kanoute nje
Mugalu nje
Hapo ndipo ilipo nguvu ya ushindi ya simba...
Hawa ndg tunaenda kuwalarua Fa
Hilo lipo wazi
Kwa kifupi simba hana kikosi cha kucheza na Yanga..fikiria
Chama nje
Morrison nje
Sakho nje
Kanoute nje
Mugalu nje
Hapo ndipo ilipo nguvu ya ushindi ya simba...
Hawa ndg tunaenda kuwalarua Fa
😂😂😂 wachina wamerahisisha sana uchambuzi wa soka. Mtu akimiliki Tecno tu tayari mchambuzi. Hongera mchina kwa kutuonyesha vipaji vilivyojificha Afrika kama madereva 😂😂😂. Madereva wa bodaboda.Kama enonga ndo anaimbwa leo basi watani mlizidiwa
Achana na wachambuzi vilaza. Hajui kuwa beki ni sehemu ya mchezo na anakuwa ameisadia timu kwa kiasi kikubwa.Kwa hyo beki hastahili kuwa man of the match?
Daah
Beki zimefanya kazi zake na pia walicheza kujihami zaidi.90 mins no shot on target[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]