DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Game Ilikuwa 50 /50
Kwanza Tz hakuna Mpira Ni uchawi tu
Kwanza Tz hakuna Mpira Ni uchawi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa beki asipozuwia kufungwa anapataje kuwa man of the match?Achana na wachambuzi vilaza. Hajui kuwa beki ni sehemu ya mchezo na anakuwa ameisadia timu kwa kiasi kikubwa.
Kama enonga ndo anaimbwa leo basi watani mlizidiwa
Bangi ziruhusiwe tu wavutaji wasivute chooni😂Sasa beki asipozuwia kufungwa anapataje kuwa man of the match?
Hatari ilikuwa kubwa