DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 23,928 Reaction score 63,499 May 1, 2022 #21 Game Ilikuwa 50 /50 Kwanza Tz hakuna Mpira Ni uchawi tu
K kambale mnene JF-Expert Member Joined Mar 15, 2022 Posts 271 Reaction score 197 May 1, 2022 #22 Bill said: Achana na wachambuzi vilaza. Hajui kuwa beki ni sehemu ya mchezo na anakuwa ameisadia timu kwa kiasi kikubwa. Click to expand... Sasa beki asipozuwia kufungwa anapataje kuwa man of the match? Hatari ilikuwa kubwa
Bill said: Achana na wachambuzi vilaza. Hajui kuwa beki ni sehemu ya mchezo na anakuwa ameisadia timu kwa kiasi kikubwa. Click to expand... Sasa beki asipozuwia kufungwa anapataje kuwa man of the match? Hatari ilikuwa kubwa
luangalila JF-Expert Member Joined Jan 12, 2014 Posts 6,346 Reaction score 6,928 May 1, 2022 #23 Hahaha kuna UZI zina chekesha
I ikigijo JF-Expert Member Joined Aug 23, 2017 Posts 1,839 Reaction score 1,902 May 1, 2022 #24 hiram said: Kama enonga ndo anaimbwa leo basi watani mlizidiwa Click to expand... Sisi tunamjua Mayelle tuu[emoji12]
hiram said: Kama enonga ndo anaimbwa leo basi watani mlizidiwa Click to expand... Sisi tunamjua Mayelle tuu[emoji12]
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 31,583 Reaction score 92,670 May 1, 2022 #25 Man u si aishawahi kumpiga liverpool 3 mtungi bado man of ze mechi akawa de gea.. Ila kiukweli wanangu wa utopoloni mko vizuri, jana mliumwaga mwingi saana, pongezi kwenu, mkijiongeza kidogo tu msimu ujao naimani mtafanya vizuri kimataifa.
Man u si aishawahi kumpiga liverpool 3 mtungi bado man of ze mechi akawa de gea.. Ila kiukweli wanangu wa utopoloni mko vizuri, jana mliumwaga mwingi saana, pongezi kwenu, mkijiongeza kidogo tu msimu ujao naimani mtafanya vizuri kimataifa.
Bill JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 9,258 Reaction score 10,014 May 1, 2022 #26 kambale mnene said: Sasa beki asipozuwia kufungwa anapataje kuwa man of the match? Hatari ilikuwa kubwa Click to expand... Bangi ziruhusiwe tu wavutaji wasivute chooni😂
kambale mnene said: Sasa beki asipozuwia kufungwa anapataje kuwa man of the match? Hatari ilikuwa kubwa Click to expand... Bangi ziruhusiwe tu wavutaji wasivute chooni😂