Kama man of the match ni beki basi simba ilizidiwa

Game Ilikuwa 50 /50
Kwanza Tz hakuna Mpira Ni uchawi tu
 
Achana na wachambuzi vilaza. Hajui kuwa beki ni sehemu ya mchezo na anakuwa ameisadia timu kwa kiasi kikubwa.
Sasa beki asipozuwia kufungwa anapataje kuwa man of the match?
Hatari ilikuwa kubwa
 
Man u si aishawahi kumpiga liverpool 3 mtungi bado man of ze mechi akawa de gea..

Ila kiukweli wanangu wa utopoloni mko vizuri, jana mliumwaga mwingi saana, pongezi kwenu, mkijiongeza kidogo tu msimu ujao naimani mtafanya vizuri kimataifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…