Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,595
Na kwa jinsi navyowafahamu Bunley sioni uwezekano wa kuwafunga mbili
Hii inaweza nifanya nikaacha kushabikia mpira msimu huu mpaka msimu ujao
Mou Ni kocha mwenye mbinu za kizamani katika ulimwengu wa soka la kisasa.
===========
Naweza stafu Soka msimu huu tu.
Maoni kutoka page Manchester United
UPADTE
Mechi imeisha na man u tumetoka draw n Bunley Hivyo nimejivua rasmi kuishabikia Man United msimu huu wa 2017/18 kutokana na sababu zilizo nje ya moyo wangu.
Tukutane Msimu wa 2018/19,tuombe uzima.
Deadbody