Kama Man united tukifungwa na Bunley leo naacha kushabikia mpira msimu huu :Man United 0 Bunley 2 Kipindi cha kwanza

Kama Man united tukifungwa na Bunley leo naacha kushabikia mpira msimu huu :Man United 0 Bunley 2 Kipindi cha kwanza

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,595
upload_2017-12-26_18-39-43.png


Na kwa jinsi navyowafahamu Bunley sioni uwezekano wa kuwafunga mbili

Hii inaweza nifanya nikaacha kushabikia mpira msimu huu mpaka msimu ujao


Mou Ni kocha mwenye mbinu za kizamani katika ulimwengu wa soka la kisasa.

===========
Naweza stafu Soka msimu huu tu.

Maoni kutoka page Manchester United


upload_2017-12-26_19-18-31.png

upload_2017-12-26_19-20-48.png

upload_2017-12-26_19-21-54.png

upload_2017-12-26_19-23-34.png

upload_2017-12-26_19-27-25.png

upload_2017-12-26_19-29-24.png

upload_2017-12-26_19-31-29.png

upload_2017-12-26_19-32-24.png

upload_2017-12-26_19-38-27.png


UPADTE

Mechi imeisha na man u tumetoka draw n Bunley Hivyo nimejivua rasmi kuishabikia Man United msimu huu wa 2017/18 kutokana na sababu zilizo nje ya moyo wangu.

Tukutane Msimu wa 2018/19,tuombe uzima.

Deadbody
 
Mourinho anaamini mpira ule wa International milan utafua dafu kipindi hiki.
 
Mi nimebana pum.bu hapa matokeo yazidi kuwa hivyo hivyo ili niendelee kunywa balimi.
Naipenda Man U ila leo nimeisaliti kwa sababu ya pesa
Hahaaaa, hivi kwenye hiyo issue ya kushikilia, wanawake wanashika nn?
 
Back
Top Bottom