Tatizo mnacheza huku mnawawaza majirani zenu Mancity.View attachment 660043
Hii inaweza nifanya nikaacha kushabikia mpira msimu huu mpaka msimu ujao
Mou Ni kocha mwenye mbinu za kizamani katika ulimwengu wa soka la kisasa.
===========
Naweza stafu Soka msimu huu tu.
Mkuu na huku unatembeleaga kumbeManure vilaza sana
Hahaaaa, hivi kwenye hiyo issue ya kushikilia, wanawake wanashika nn?Mi nimebana pum.bu hapa matokeo yazidi kuwa hivyo hivyo ili niendelee kunywa balimi.
Naipenda Man U ila leo nimeisaliti kwa sababu ya pesa
Hahaah me hunifikia mkuu, yaan hawa Manure Fc huwa wana midomo mirefuu wakishinda acha waende hivi hiviNajisikia raha sana Manutd ikivurunda!!
Hahahaaaaaa, raha sana.
Eeeh mkuu JF ina mitaa mingiMkuu na huku unatembeleaga kumbe