Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Nimeumia sana kwa kitendo cha jana. Pamoja na Simba kutokuwa na washambuliaji wao Mahiri bado wanafunga ktk wakati ambao tuliamini tumeshinda.
Mimi ni Mwanayanga ambaye huwa siumi umi maneno. Jana Simba wameshinda 1-0 ukiondoa lile bao la penalty ambalo tulipewa.
Najua wanayanga wenzangu hamtapenda kusikia hili na mtaniita majina yote mabaya. Hakukuwa na penalty pale.ni ile ile michezo yetu ya kila siku ya kutegemea waamuzi watusaidie.
Hii inadumaza sana mpira wetu. Na inaumiza. Tukiendelea hivi itakuwa haina haja ya kwenda kuwapokea akina kisinda. Tuwe tunasajili marefa tu team ipate ushindi.
Tungeendelea kuwa press simba jana tungeshinda. Ilikuaje tukarudi ku defend? Hapo tulikosea sana.
Tuanzeni kucheza mpira tuachane na hayo makando kando hayatusaidii kabisa kimpira.
Mimi ni Mwanayanga ambaye huwa siumi umi maneno. Jana Simba wameshinda 1-0 ukiondoa lile bao la penalty ambalo tulipewa.
Najua wanayanga wenzangu hamtapenda kusikia hili na mtaniita majina yote mabaya. Hakukuwa na penalty pale.ni ile ile michezo yetu ya kila siku ya kutegemea waamuzi watusaidie.
Hii inadumaza sana mpira wetu. Na inaumiza. Tukiendelea hivi itakuwa haina haja ya kwenda kuwapokea akina kisinda. Tuwe tunasajili marefa tu team ipate ushindi.
Tungeendelea kuwa press simba jana tungeshinda. Ilikuaje tukarudi ku defend? Hapo tulikosea sana.
Tuanzeni kucheza mpira tuachane na hayo makando kando hayatusaidii kabisa kimpira.