Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Hata Mimi nimeshangaa sanaKama Singida wamekamilika kama ilivyo kwa Yanga, simba na Azam, kwanini sasa hizo timu zisiweze kuchukua ubingwa pia kama wanafanana??
Mimi nilijua Singida kazidi wote
Basi iwapo wamekamilika kama hao, wanaweza kwa haki pia wasichukue ubingwa badala yake mmoja wa hao akachukua. Nilidhani wamekamilika kuliko haoSingida wamekamilika kama ilivyo Simba , yanga, azam, ihefu, Tabora nk.
Nataman watanganyika tuamkeBingwa ni SIMBA/YANGA.
Hao wengine watapambani kutokushuka daraja. Ligi ya Tanganyika ina wenyewe ambao ni Simba na Yanga, hao wengine ni wapambe tu
Kuna watu wanakasirika, kwa nini unaanza kuiandika Simba, kisha Yanga!?Bingwa ni SIMBA/YANGA.
Hao wengine watapambani kutokushuka daraja. Ligi ya Tanganyika ina wenyewe ambao ni Simba na Yanga, hao wengine ni wapambe tu
Apo anamaana mabibi na mabwanaKuna watu wanakasirika, kwa nini unaanza kuiandika Simba, kisha Yanga!?
Achana nae mwezi mchanga.Kama Singida wamekamilika kama ilivyo kwa Yanga, simba na Azam, kwanini sasa hizo timu zisiweze kuchukua ubingwa pia kama wanafanana??
Mimi nilijua Singida kazidi wote