Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Nawaangalia hapa Singida wakicheza na As Vita, aisee jamani jamani, kama ligi haitokuwa na ungese, nna uhakika [emoji817] wakongwe hawawezi kubeba ubingwa. Singida wamekamilika kama ilivyo Simba , yanga, azam, ihefu, Tabora nk.