Kama mchengerwa ndo msimamizi mkuu uchaguzi serikali za mtaa basi wapinzani mmekwisha.

Kama mchengerwa ndo msimamizi mkuu uchaguzi serikali za mtaa basi wapinzani mmekwisha.

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam
Zote tunajua kwamba bwana mchengerwa ni mkwe wa mama Samia kwa maana kamuoa mtoto wa rais. Na nakumbuka mwaka jana bwana mchengerwa alikula kiapo mbele ya rais Samia na kujiapiza kwamba uchaguzi wa serikali za mtaa mwaka 2024 hakuna mtaa hata mmoja utaenda upinzani.

Hakika siku hazigandi na mwaka wa uchaguzi ndo umefika na yule bwana mchengerwa ndo msimamizi mkuu wa uchaguzi huo na ndio anakwwnda kutimiza ile ahadi aliomuahadi mkwe wake na hakika atatimiza.

Nitawashangaa sana vyama vya upinzani hasa chadema kama watashiriki uchaguzi huu maana hautakua uchaguzi bali utakua ni uchafuzi. Nawaasa chadema kama wataamua kushiriki uchaguzi huo chini ya tume ya uchaguzi ya ccm basi baada ya matokeo kutoka kamwe wasijelalamika wamechezewa rafu watakua wapuuzi kuliko wapuuzi wote Dunia.
Over
 
Wasalaam
Zote tunajua kwamba bwana mchengerwa ni mkwe wa mama Samia kwa maana kamuoa mtoto wa rais. Na nakumbuka mwaka jana bwana mchengerwa alikula kiapo mbele ya rais Samia na kujiapiza kwamba uchaguzi wa serikali za mtaa mwaka 2024 hakuna mtaa hata mmoja utaenda upinzani.

Hakika siku hazigandi na mwaka wa uchaguzi ndo umefika na yule bwana mchengerwa ndo msimamizi mkuu wa uchaguzi huo na ndio anakwwnda kutimiza ile ahadi aliomuahadi mkwe wake na hakika atatimiza.

Nitawashangaa sana vyama vya upinzani hasa chadema kama watashiriki uchaguzi huu maana hautakua uchaguzi bali utakua ni uchafuzi. Nawaasa chadema kama wataamua kushiriki uchaguzi huo chini ya tume ya uchaguzi ya ccm basi baada ya matokeo kutoka kamwe wasijelalamika wamechezewa rafu watakua wapuuzi kuliko wapuuzi wote Dunia.
Over
Kwani yeye ndo mpiga kura au ndo anahesabu, kama mchakoto ni mzuri sioni hofu yoyote hapo.
 
Mkuu Subira ni muhimu sana CHADEMA washiriki hivyo hivyo kwa sababu tatu kubwa:

1. Waliopanga kuiba uchaguzi wasote (watoke jasho) kimwili (physically) na kinafsi (psychologically) kufanya huo wizi na waonekane wazi wazi na jamii katika matendo yao ya dhulma na aibu.

2. Ushahidi uendelee kuonekana jinsi nchi inavyoendelea kuongozwa kihuni hadi leo (currently).

3. Siku zote baadaye wakose kujiamini na kuendelea kuishi na mchecheto (paranoia) katika jamii ya Watanzania wastaarabu.

Amin nakwambia, hivi sasa CCM wanaomba sana CHADEMA wauzire uchaguzi ili wao CCM waepuke dhahma walizopitia mwaka 2019 na 2020 na katika awamu yote ya 5 katika kutaka “kuimaliza” CHADEMA.

Matukio yanayoendelea ni kuwakatisha tamaa waachane na uchaguzi watu wao wapite bila kupingwa bila kasho. Kikombe cha JPM kiwaepuke.
 
Mbowe, ACT wazalendo na watu kama akina Zitto ndio vikwazo. Hawa walamba asali wataichelewesha sana demokrasia ya nchi hii.

Hakukuwa na haja ya maridhiano wala nini. Ilikuwa ninmgomo mwanzo mwisho mpaka katiba na sheri vibadikike kuleta haki.
 
Wasalaam
Zote tunajua kwamba bwana mchengerwa ni mkwe wa mama Samia kwa maana kamuoa mtoto wa rais. Na nakumbuka mwaka jana bwana mchengerwa alikula kiapo mbele ya rais Samia na kujiapiza kwamba uchaguzi wa serikali za mtaa mwaka 2024 hakuna mtaa hata mmoja utaenda upinzani.

Hakika siku hazigandi na mwaka wa uchaguzi ndo umefika na yule bwana mchengerwa ndo msimamizi mkuu wa uchaguzi huo na ndio anakwwnda kutimiza ile ahadi aliomuahadi mkwe wake na hakika atatimiza.

Nitawashangaa sana vyama vya upinzani hasa chadema kama watashiriki uchaguzi huu maana hautakua uchaguzi bali utakua ni uchafuzi. Nawaasa chadema kama wataamua kushiriki uchaguzi huo chini ya tume ya uchaguzi ya ccm basi baada ya matokeo kutoka kamwe wasijelalamika wamechezewa rafu watakua wapuuzi kuliko wapuuzi wote Dunia.
Over
Mkwe awe makini asiwe kama mwendazake!
 
Mkuu kama walikubali kusaini maridhiano wasuse wasisuse haisaidii.
 
Mbowe, ACT wazalendo na watu kama akina Zitto ndio vikwazo. Hawa walamba asali wataichelewesha sana demokrasia ya nchi hii.

Hakukuwa na haja ya maridhiano wala nini. Ilikuwa ninmgomo mwanzo mwisho mpaka katiba na sheri vibadikike kuleta haki.
Kuna tetesi kwamba zitto anafuata nyayo za mzee lipumba kuvuga upinzani
 
Wasalaam
Zote tunajua kwamba bwana mchengerwa ni mkwe wa mama Samia kwa maana kamuoa mtoto wa rais. Na nakumbuka mwaka jana bwana mchengerwa alikula kiapo mbele ya rais Samia na kujiapiza kwamba uchaguzi wa serikali za mtaa mwaka 2024 hakuna mtaa hata mmoja utaenda upinzani.

Hakika siku hazigandi na mwaka wa uchaguzi ndo umefika na yule bwana mchengerwa ndo msimamizi mkuu wa uchaguzi huo na ndio anakwwnda kutimiza ile ahadi aliomuahadi mkwe wake na hakika atatimiza.

Nitawashangaa sana vyama vya upinzani hasa chadema kama watashiriki uchaguzi huu maana hautakua uchaguzi bali utakua ni uchafuzi. Nawaasa chadema kama wataamua kushiriki uchaguzi huo chini ya tume ya uchaguzi ya ccm basi baada ya matokeo kutoka kamwe wasijelalamika wamechezewa rafu watakua wapuuzi kuliko wapuuzi wote Dunia.
Over

..Na Tume Huru ya Uchaguzi Ccm wamesema itaanza kazi ktk uchaguzi wa 2030.

..Raisi amegoma kutengua uteuzi wa Makamishna wa Tume iliyoko sasa hivi, pamoja na kwamba amesaini sheria ya kuanzisha Tume Huru ya Uchaguzi.
 
Mkuu Subira ni muhimu sana CHADEMA washiriki hivyo hivyo kwa sababu tatu kubwa:

1. Waliopanga kuiba uchaguzi wasote (watoke jasho) kimwili (physically) na kinafsi (psychologically) kufanya huo wizi na waonekane wazi wazi na jamii katika matendo yao ya dhulma na aibu.

2. Ushahidi uendelee kuonekana jinsi nchi inavyoendelea kuongozwa kihuni hadi leo (currently).

3. Siku zote baadaye wakose kujiamini na kuendelea kuishi na mchecheto (paranoia) katika jamii ya Watanzania wastaarabu.

Amin nakwambia, hivi sasa CCM wanaomba sana CHADEMA wauzire uchaguzi ili waepuke dhahma walizopitia mwaka 2019 na 2020 na katika awamu yote ya 5 katika kutaka “kuimaliza” CHADEMA.

Matukio yanayoendelea ni kuwakatisha tamaa waachane na uchaguzi watu wapite bila kupingwa. Kikombe cha JPM kiwaepuke.
Tena safari hii haya mafisiemu haya, ama zako ama zetu!🔨 Man to man
 
Back
Top Bottom