Sadaka unaibiwa vipi ilhali unatoa mwenyewe? Kwani anakuvizia haupo ndio anaichukua kutoka kwako?Mkuu Prakatatumba abaabaabaa upo sahihi.
HAWASHINDWI KUTUIBIA SADAKA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
By the way kabisa ni la kwake, ili asiwe amekuibia inatakiwa ukishampa hiyo sadaka aifanyie nini hasa ndio utaona huibiwi?