Future president
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 144
- 39
Kila asubuhi na jioni nashuhudia udhalilishwaji wa viongozi wa baadae yaani wanafunzi wa leo jinsi wanavyohanya na usafiri wa mabasi pindi wanapoenda au kurudi mashuleni.
Wanakuwa ni watu wa kuviziana na makondakta milangoni hata kufikia hatua ya kupigana kabisa, hembu kama mdau wa forum hii ya kuelimisha ambayo hata viongozi wanaipitia na pia wamo humu humu toa maoni yako kwa Serikali nini kifanyike, labda hawafahamu.
Wanakuwa ni watu wa kuviziana na makondakta milangoni hata kufikia hatua ya kupigana kabisa, hembu kama mdau wa forum hii ya kuelimisha ambayo hata viongozi wanaipitia na pia wamo humu humu toa maoni yako kwa Serikali nini kifanyike, labda hawafahamu.