mackie
Senior Member
- Jan 26, 2017
- 141
- 197
tunajua kuwa Ugeruman na chile wanaongoza kundi kwa kuwa na point 4 kila mmoja bada ya kutoka sale mechi ya jana na hapo hapo Austria na cameroo wakiwa na point 1 kila mmoja bada ya kutoa sale jana....
swali langu najiuliza ikiwa kila mmoja kabakiza mechi moja moja kumaliza mzunguko wa kundi zima na ikitokea mechi ijayo cameroon akamfunga ugerumani na Austria akamfunga chile manake Kundi lote watakiwa na point 4 ......enheeeeee....
naomba kujua njia gani zitatumika hapo kupata timu mbili za kusonga mbele....
wajuzi wa mambo tafadhali.....
swali langu najiuliza ikiwa kila mmoja kabakiza mechi moja moja kumaliza mzunguko wa kundi zima na ikitokea mechi ijayo cameroon akamfunga ugerumani na Austria akamfunga chile manake Kundi lote watakiwa na point 4 ......enheeeeee....
naomba kujua njia gani zitatumika hapo kupata timu mbili za kusonga mbele....
wajuzi wa mambo tafadhali.....