I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Maisha yao ni mazuri sana wala hakuna stressUzuri wa watoto hawaogopi kukosea, wanajiamini katika majibu yao hata kama wamekosea.
Utamuulia moja jumla moja ni ngapi atakutajia 5 na wala hashtuki
Hajaanza skuli, ila ukimuuliza unasoma la ngapi utamsikia la 5 😁!Uzuri wa watoto hawaogopi kukosea, wanajiamini katika majibu yao hata kama wamekosea.
Utamuulia moja jumla moja ni ngapi atakutajia 5 na wala hashtuki