Tetesi: Kama mkakati huu wa ACACIA na Barrick ukifanikiwa, watanzania ( wake kwa waume) mmepigwa bao

Tetesi: Kama mkakati huu wa ACACIA na Barrick ukifanikiwa, watanzania ( wake kwa waume) mmepigwa bao

Nibozali

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
572
Reaction score
1,055
Tahadhari!
Usinihoji kuwa mimi ni nani, lakini kiufupi naipenda Tanzania ingawa yenyewe hainipendi kama ninavyoipenda.

Kama kawaida yangu naendelea kunyetisha na kuwapa habari motomoto zihusianazo na makinikia pamoja na hawa wanaume wezi ( Acacia na Barrick)

Viongozi wa Tanzania waliteleza katika hili na wanaendelea kuteleza na sasa kilichobaki ni kuanguka na kushindwa kuendelea na safari ya kuokoa makinikia na madini ya Watanzania. Kosa la kwanza ni kumpuuza Acacia ambaye ndiye mwizi mkuu na namba Moja. Amepuuzwa na kuchukuliwa kama mtu mdogo sana asiye na madhara katika wizi huu ingawa ndiye mwizi wetu. Kiuhalisia mwizi wetu siyo Barrick ila nguvu zetu zote tumehamishia kwake huku tukiwa na matarajio makubwa!!!! Mwizi tumemuacha, sasa anatamba! Yuko huru! Hata kwenye mazungmzo hayumo na tunaamini hivo kuwa hayumo maana mazungumzo ni kati yetu na Barrick, WATANZANIA MNAJIDANGANYA!!!

Huu ndio mkakati wa Acacia na Barrick na ukifanikiwa watanzania wake kwa waume mnatakuwa mmepigwa bao!

Kama makubaliano kati Barrick na Serikali ya Tanzania hayatakuwa na manufaa kwa Acacia na Barrick, kwa maana ya malipo ambayo yanapaswa kulipwa kwa Tanzania ( ingawa pesa itakayolipwa ni ndogo tofauti na matarajio ya Watanzania) Acacia wataendelea na Kesi yao ambayo wanapanga kuifungua dhidi ya Tanzania. Katika kesi hii ambayo kwa kiasi kikubwa wana uhakika Wa kushinda watadai fidia kubwa mno ambayo ikilipwa itawawezesha kuendesha kampuni yao bila wasiwasi.

HOFU YAO KWA SASA
Hofu yao mpaka sasa ni pale watakapoamua kuishitaki Tanzania basi kuna uwezekano wa kufukuzwa kuendesha shughuli zao hapa nchini. Naam! Hili wamshaliona na wamekubaliana na Barrick namna watakavyoendesha biashara zao hata baada ya kufukuzwa, kwani kama haya yatatatokea Barrick watamiliki hisa zote hata zile zilizokuwa zikimilikwa na Acacia.

Lakini wanaona hawatakuwa na namna ya kurudisha pesa yao zaidi ya kuishitaki Tanzania ambayo mpaka sasa imeshasahau kuwa ndio iliyosaini mikataba na kuiruhusu kampuni ya acacia kuendesha shughuli zao hapa nchini

MPANGO WAO
Barrick wanaweza kulipa hicho kiasi kidogo harafu kwa mkakati mzito acacia watarudisha pesa zaidi ya hizo kwa njia ya mahakama huku wakijifanya kuwa wao hawana habari na mazungumzo yanayoendelea. Ukweli ni kwamba acacia wanahusika chini ya mkakati mzito na Barrick na Leo lao ni kuipiga Tanzania na mpango wao huenda ukafanikiwa.

Mpango wao ukifanikiwa wale mliokuwa mmeshakabidhiwa noa mjiandae kuzirudisha

Ni hayo tu

NIBOZALI WA LUMUMBA
 
duuuhhh! haya makinikia yamekuwa Pasua kichwa. tutajuta kumchagua Asiyejua maana
 
Wenye akili tulikwusha ona mbali hilo, ukitaka kumkamata panya muaribifu msubiri atoke kwenye shimo lake halafu ziba shimo hafafu nenda kamkurupue, panya cha kwanza atakimbilia shimoni lakini akikuta pamezibwa atachanganyikiwa na kukamatwa kirahisi, ndivyo tulivyitakiwa kuwafanyia hawa accacia tungejitoa zile mahakama wanazojidai nazo halafu ndiyo tungekuja kuwakamata
 
Tahadhari!
Usinihoji kuwa mimi ni nani, lakini kiufupi naipenda Tanzania ingawa yenyewe hainipendi kama ninavyoipenda.

Kama kawaida yangu naendelea kunyetisha na kuwapa habari motomoto zihusianazo na makinikia pamoja na hawa wanaume wezi ( Acacia na Barrick)

Viongozi wa Tanzania waliteleza katika hili na wanaendelea kuteleza na sasa kilichobaki ni kuanguka na kushindwa kuendelea na safari ya kuokoa makinikia na madini ya Watanzania. Kosa la kwanza ni kumpuuza Acacia ambaye ndiye mwizi mkuu na namba Moja. Amepuuzwa na kuchukuliwa kama mtu mdogo sana asiye na madhara katika wizi huu ingawa ndiye mwizi wetu. Kiuhalisia mwizi wetu siyo Barrick ila nguvu zetu zote tumehamishia kwake huku tukiwa na matarajio makubwa!!!! Mwizi tumemuacha, sasa anatamba! Yuko huru! Hata kwenye mazungmzo hayumo na tunaamini hivo kuwa hayumo maana mazungumzo ni kati yetu na Barrick, WATANZANIA MNAJIDANGANYA!!!

Huu ndio mkakati wa Acacia na Barrick na ukifanikiwa watanzania wake kwa waume mnatakuwa mmepigwa bao!

Kama makubaliano kati Barrick na Serikali ya Tanzania hayatakuwa na manufaa kwa Acacia na Barrick, kwa maana ya malipo ambayo yanapaswa kulipwa kwa Tanzania ( ingawa pesa itakayolipwa ni ndogo tofauti na matarajio ya Watanzania) Acacia wataendelea na Kesi yao ambayo wanapanga kuifungua dhidi ya Tanzania. Katika kesi hii ambayo kwa kiasi kikubwa wana uhakika Wa kushinda watadai fidia kubwa mno ambayo ikilipwa itawawezesha kuendesha kampuni yao bila wasiwasi.

HOFU YAO KWA SASA
Hofu yao mpaka sasa ni pale watakapoamua kuishitaki Tanzania basi kuna uwezekano wa kufukuzwa kuendesha shughuli zao hapa nchini. Naam! Hili wamshaliona na wamekubaliana na Barrick namna watakavyoendesha biashara zao hata baada ya kufukuzwa, kwani kama haya yatatatokea Barrick watamiliki hisa zote hata zile zilizokuwa zikimilikwa na Acacia.

Lakini wanaona hawatakuwa na namna ya kurudisha pesa yao zaidi ya kuishitaki Tanzania ambayo mpaka sasa imeshasahau kuwa ndio iliyosaini mikataba na kuiruhusu kampuni ya acacia kuendesha shughuli zao hapa nchini

MPANGO WAO
Barrick wanaweza kulipa hicho kiasi kidogo harafu kwa mkakati mzito acacia watarudisha pesa zaidi ya hizo kwa njia ya mahakama huku wakijifanya kuwa wao hawana habari na mazungumzo yanayoendelea. Ukweli ni kwamba acacia wanahusika chini ya mkakati mzito na Barrick na Leo lao ni kuipiga Tanzania na mpango wao huenda ukafanikiwa.

Mpango wao ukifanikiwa wale mliokuwa mmeshakabidhiwa noa mjiandae kuzirudisha

Ni hayo tu

NIBOZALI WA LUMUMBA
Waraka mrefu lakini hakuna cha maana!!
 
Acacia wanataka $ 2 billion zao. Kwa kukamata mikanikia Yao.
 
Sahauni Noah, Mgao hata WA kandambili haupo.
 
Tahadhari!
Usinihoji kuwa mimi ni nani, lakini kiufupi naipenda Tanzania ingawa yenyewe hainipendi kama ninavyoipenda.

Kama kawaida yangu naendelea kunyetisha na kuwapa habari motomoto zihusianazo na makinikia pamoja na hawa wanaume wezi ( Acacia na Barrick)

Viongozi wa Tanzania waliteleza katika hili na wanaendelea kuteleza na sasa kilichobaki ni kuanguka na kushindwa kuendelea na safari ya kuokoa makinikia na madini ya Watanzania. Kosa la kwanza ni kumpuuza Acacia ambaye ndiye mwizi mkuu na namba Moja. Amepuuzwa na kuchukuliwa kama mtu mdogo sana asiye na madhara katika wizi huu ingawa ndiye mwizi wetu. Kiuhalisia mwizi wetu siyo Barrick ila nguvu zetu zote tumehamishia kwake huku tukiwa na matarajio makubwa!!!! Mwizi tumemuacha, sasa anatamba! Yuko huru! Hata kwenye mazungmzo hayumo na tunaamini hivo kuwa hayumo maana mazungumzo ni kati yetu na Barrick, WATANZANIA MNAJIDANGANYA!!!

Huu ndio mkakati wa Acacia na Barrick na ukifanikiwa watanzania wake kwa waume mnatakuwa mmepigwa bao!

Kama makubaliano kati Barrick na Serikali ya Tanzania hayatakuwa na manufaa kwa Acacia na Barrick, kwa maana ya malipo ambayo yanapaswa kulipwa kwa Tanzania ( ingawa pesa itakayolipwa ni ndogo tofauti na matarajio ya Watanzania) Acacia wataendelea na Kesi yao ambayo wanapanga kuifungua dhidi ya Tanzania. Katika kesi hii ambayo kwa kiasi kikubwa wana uhakika Wa kushinda watadai fidia kubwa mno ambayo ikilipwa itawawezesha kuendesha kampuni yao bila wasiwasi.

HOFU YAO KWA SASA
Hofu yao mpaka sasa ni pale watakapoamua kuishitaki Tanzania basi kuna uwezekano wa kufukuzwa kuendesha shughuli zao hapa nchini. Naam! Hili wamshaliona na wamekubaliana na Barrick namna watakavyoendesha biashara zao hata baada ya kufukuzwa, kwani kama haya yatatatokea Barrick watamiliki hisa zote hata zile zilizokuwa zikimilikwa na Acacia.

Lakini wanaona hawatakuwa na namna ya kurudisha pesa yao zaidi ya kuishitaki Tanzania ambayo mpaka sasa imeshasahau kuwa ndio iliyosaini mikataba na kuiruhusu kampuni ya acacia kuendesha shughuli zao hapa nchini

MPANGO WAO
Barrick wanaweza kulipa hicho kiasi kidogo harafu kwa mkakati mzito acacia watarudisha pesa zaidi ya hizo kwa njia ya mahakama huku wakijifanya kuwa wao hawana habari na mazungumzo yanayoendelea. Ukweli ni kwamba acacia wanahusika chini ya mkakati mzito na Barrick na Leo lao ni kuipiga Tanzania na mpango wao huenda ukafanikiwa.

Mpango wao ukifanikiwa wale mliokuwa mmeshakabidhiwa noa mjiandae kuzirudisha

Ni hayo tu

NIBOZALI WA LUMUMBA
Mkakati gani mbona sijaona mkakati apo ata uandishi unachosha....unajua maana ya Majority shareholder...endelea kupiga ramli
 
Wenye akili tulikwusha ona mbali hilo, ukitaka kumkamata panya muaribifu msubiri atoke kwenye shimo lake halafu ziba shimo hafafu nenda kamkurupue, panya cha kwanza atakimbilia shimoni lakini akikuta pamezibwa atachanganyikiwa na kukamatwa kirahisi, ndivyo tulivyitakiwa kuwafanyia hawa accacia tungejitoa zile mahakama wanazojidai nazo halafu ndiyo tungekuja kuwakamata
akili mzitoe wapi!!endeleeni kufurahia kushikiliwa bombadia yetu
 
Kazi ipo...mpaka kuja kujua ukweli....wananchi tutakuwa tumeumia....
 
mwaka huu majanga , mara ndege ikamatwe , maras watumishi wasipate nyongeza za mishahara wakati ni haki yao kisheria , mara mazungumzo ya makinikia yawe siri yaani ni shida tupu
 
Wenye akili tulikwusha ona mbali hilo, ukitaka kumkamata panya muaribifu msubiri atoke kwenye shimo lake halafu ziba shimo hafafu nenda kamkurupue, panya cha kwanza atakimbilia shimoni lakini akikuta pamezibwa atachanganyikiwa na kukamatwa kirahisi, ndivyo tulivyitakiwa kuwafanyia hawa accacia tungejitoa zile mahakama wanazojidai nazo halafu ndiyo tungekuja kuwakamata

Njia unayoeleza hutumiwa na viongozi wenye kutafakari na wanashaurika.
 
Tahadhari!
Usinihoji kuwa mimi ni nani, lakini kiufupi naipenda Tanzania ingawa yenyewe hainipendi kama ninavyoipenda.

Kama kawaida yangu naendelea kunyetisha na kuwapa habari motomoto zihusianazo na makinikia pamoja na hawa wanaume wezi ( Acacia na Barrick)

Viongozi wa Tanzania waliteleza katika hili na wanaendelea kuteleza na sasa kilichobaki ni kuanguka na kushindwa kuendelea na safari ya kuokoa makinikia na madini ya Watanzania. Kosa la kwanza ni kumpuuza Acacia ambaye ndiye mwizi mkuu na namba Moja. Amepuuzwa na kuchukuliwa kama mtu mdogo sana asiye na madhara katika wizi huu ingawa ndiye mwizi wetu. Kiuhalisia mwizi wetu siyo Barrick ila nguvu zetu zote tumehamishia kwake huku tukiwa na matarajio makubwa!!!! Mwizi tumemuacha, sasa anatamba! Yuko huru! Hata kwenye mazungmzo hayumo na tunaamini hivo kuwa hayumo maana mazungumzo ni kati yetu na Barrick, WATANZANIA MNAJIDANGANYA!!!

Huu ndio mkakati wa Acacia na Barrick na ukifanikiwa watanzania wake kwa waume mnatakuwa mmepigwa bao!

Kama makubaliano kati Barrick na Serikali ya Tanzania hayatakuwa na manufaa kwa Acacia na Barrick, kwa maana ya malipo ambayo yanapaswa kulipwa kwa Tanzania ( ingawa pesa itakayolipwa ni ndogo tofauti na matarajio ya Watanzania) Acacia wataendelea na Kesi yao ambayo wanapanga kuifungua dhidi ya Tanzania. Katika kesi hii ambayo kwa kiasi kikubwa wana uhakika Wa kushinda watadai fidia kubwa mno ambayo ikilipwa itawawezesha kuendesha kampuni yao bila wasiwasi.

HOFU YAO KWA SASA
Hofu yao mpaka sasa ni pale watakapoamua kuishitaki Tanzania basi kuna uwezekano wa kufukuzwa kuendesha shughuli zao hapa nchini. Naam! Hili wamshaliona na wamekubaliana na Barrick namna watakavyoendesha biashara zao hata baada ya kufukuzwa, kwani kama haya yatatatokea Barrick watamiliki hisa zote hata zile zilizokuwa zikimilikwa na Acacia.

Lakini wanaona hawatakuwa na namna ya kurudisha pesa yao zaidi ya kuishitaki Tanzania ambayo mpaka sasa imeshasahau kuwa ndio iliyosaini mikataba na kuiruhusu kampuni ya acacia kuendesha shughuli zao hapa nchini

MPANGO WAO
Barrick wanaweza kulipa hicho kiasi kidogo harafu kwa mkakati mzito acacia watarudisha pesa zaidi ya hizo kwa njia ya mahakama huku wakijifanya kuwa wao hawana habari na mazungumzo yanayoendelea. Ukweli ni kwamba acacia wanahusika chini ya mkakati mzito na Barrick na Leo lao ni kuipiga Tanzania na mpango wao huenda ukafanikiwa.

Mpango wao ukifanikiwa wale mliokuwa mmeshakabidhiwa noa mjiandae kuzirudisha

Ni hayo tu

NIBOZALI WA LUMUMBA
Mzee wa Lumumba vipi,yaani Mwenyekiti wa Chama chako amekosa appeal kwako mpaka unaamua kum-sabotage,kweli haya ni makubwa.Ila Najua sababu,kaziba kulaa kula za kijinga.Poleni Lumumba.Fanyeni kazi halali za kuwaingizia kipato,Lumumba pamepwaya.

Anyway, kwa hili ungeonekana mwenye busara na hekima kama ungenyamaza.Eti "kama mkakati huu wa Barrick na Acacia ukifaniwa!" Huu ni udaku kabisa mkuu.Jamani muwe mnaandika substance.
 
Back
Top Bottom