Tetesi: Kama mkakati huu wa ACACIA na Barrick ukifanikiwa, watanzania ( wake kwa waume) mmepigwa bao

hizi ni hisia tu. hakuna lolote la maana unalolijua.
 
Maaae, me sijapigwa bao
 
Mwenyekiti wa Barrick Gold anaongea

Anasema Mbele bado kuna matumaini makubwa na wana kazi kubwa ya kufanya na maamuzi yote yanatakiwa yapitishwe na bodi ya wakurugenzi iliyopo Uingereza ambao wanamiliki 64% ya Acacia

Mwenyekiti wa Barrick Gold John L. Thornton amesema kulikuwa na kutokukubaliana kati ya Tanzania na kampuni ya Acacia kuhusu masualaya kodi, hata hivyo wamekubali kulipa dola milioni 300 kwa ajili ya kukuza uaminifu

Kutokana na ugumu wa suala lenyewe wamekubaliana kuunda timu ndogo ambayo itashirikisha pande zote mbili kwa ajili ya kuendelea kushughulikia masuala machache yaliyobakia

Michakato yote itaenda kwa misingi ya uwaziili tuweze kuelewa masuala yote kwa uwazi zaidi

Nampenda kumshukuru rais Magufuli kwa kuwa ndio muanzilishi wa mchakato huu na mfumo huu wa biashara ambao utakuwa ni mfano wa kuigwa duniani, nawashukuru sana....amemaliza
 
Jamii Forum where we dare to talk openly..Haya nabii tunasubiri part two. Part one imeisha na yaliyotabiriwa yanaonekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…