Kama Mkristu Mkatoliki Naomba Unishauri!

Nipo Dar es salaam.. Proffesion yangu ni Engineer
 
amina
 
Sijui utaratibu wa huko, ila kwa huku nilipo Mimi, muumini a shatoa detail za wapi alibatizwa basi kanisa ndio hufatilia kujiridhisha. Km ni kweli wakikuta taarifa zako zipo basi unapata sakrament iwe ya ubatizo,kipairama, ndoa au upako mtakatifu bila shida.
 
Amina saana!
 
Nenda kanisani kaonhee na Padre atakusaidia. Utapata sacrament zote mbili kwa pamoja, komunio na kipaimara.

Wapo watu wanapata hz sakrament ukubwani so usiogope wala kujisikia vibaya
 
Ondoka huko kwenye kanisa linaloloongozwa na Ibilisi, anza kusoma Biblia vizuri kisha utaijua KWELI na hiyo KWELI itakuweka huru kweli kweli.

Kanisa Katoliki ni mali ya Shetani na ndiyo linalowapotosha Wakristo na kuwafanya kuitumikia dini ya UPAGANI na kuyaacha "mafundisho" ya KWELI ya MUNGU. Ukisoma Biblia kwenye kitabu cha UFUNUO utaona kuna mahali imeandikwa hivi; "BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI". Huyu mama wa makahaba ndiye KANISA KATOLIKI!

Mwenye masikio na asikie!
 
Hamuijui Theolojia... Hamjui Kuitafisri Hata BIBLIA... Catholic is Like a Home... Nitaenda Nyumba Bora zaidi ya Katoliki kama ipo Lakini hakuna.... kwahio Nitabaki kuwa Mkatoliki..
 
Hamuijui Theolojia... Hamjui Kuitafisri Hata BIBLIA... Catholic is Like a Home... Nitaenda Nyumba Bora zaidi ya Katoliki kama ipo Lakini hakuna.... kwahio Nitabaki kuwa Mkatoliki..
Huwezi kuijua "nyumba bora" kama hujavutwa na BABA MUNGU, ni wale wachache waliochaguliwa ndiyo wanaijua nyumba iliyo bora na kuiona njia ya KWELI NA HAKI. Endelea kuogelea kwenye mafundisho ya "uwongo" ya kanisa katoliki, lakini ipo siku utafahamu na kuelewa nilichokiandika hapa kuwa ni KWELI kabisa.

Narudia tena kusema bila uwoga; "kanisa katoliki" ni mali ya Shetani na limejaa uwongo na upotoshaji wa makusudi kabisa. Soma Biblia yako na utaijua KWELI, nayo hiyo KWELI itakuweka huru kweli kweli!

Mwenye masikio na asikie!
 
Lipi Hilo ambalo Halina Uchafu?
 
Son of Gamba nakupa tano ya nguvu, umegundua sasa!!! Usioe au kuolewa ili ufanye kazi ya Mungu wapi na wapi!!
 
Fanya hivi ipo namna unayoweza kufanya na kupata hizo skaramenti kama unania..

nenda ofisi ya paroko unaposali muelezee kuna namna anaweza kukusaidia kwa kukuunganisha na mafundisho ya wakate kumeni kama unawajua au maana yake ni mafundisho ya watu wazima wanaopokea wakati wa mkesha wa x-mass unapewa sakramenti zote tatu..

Na mafundisho yake ni rahisi sana na pia ni darasa la watu wazima tupu
 
Asantee boss... Umenipaa Ushauri Mzuri saaana...
 
Asantee boss... Umenipaa Ushauri Mzuri saaana...

Baki na imani ya kanisa katoriki ndugu achana na propaganda zao hao watu maana hata hao wanaodai wamelowea katika madhehebu mengine wametoka na chimbuko la kanisa mama kanisa katoriki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…