Nashukuru kwa ushauri!Kama una hasira sana basi kunywa hata Maji ya baridi tu.
Kwanza ni shetani pekee anaweza kusuport majangili ya CCMMimi mwenyewe ni CCM maana ninasaka ajira bado, ila nikipata ndio nitakuwa neutral ground. Ila acha kuhadaa watu kwa hizo picha za wanachama waliokusanyika wilaya nzima tena ni viongozi tu.
Ni kweli CCM ina wanachama wengi japo wapo kimaslahi ilimradi maisha yao yaende tu. Ukipatikana upinzani makini na watu wakiendelea kupigika mtaani CCM inamwagwa mchana peupe.
Hili jitu huwa halina akili wala mshipa wa aibu hata kidogoNitolee ujinga wako hapa
Hapo ni wakuu wa Idara wamelazimishwaSababu wabongo wNafata burudani sio ccm
Wamepewa na buku 5 ya mboga 🤣🤣🤣Wivu tu unakusumbua.kwani wafanyakazi wa halmashauri na walimu wao hawapigi kura? Siyo watanzania?hawashiriki uchaguzi?
Na wengi wameenda kwa kulazimishwaSasa hao si ni wanachama wake, tena viongozi kuanzia mabalozi wa nyumba 10, tawi, kata hadi mkoa kwa nini wasijae kwenye kaukumbi hako. Kumbuka watanzania wapo milioni 60+ nusu yao ni wapiga kura. Hao hata 1000 hawavuki.
Mimi ni CCM kwa kuzaliwa, nimezaliwa kijijini nyumbani kuna bendera ya chama hadi leo, mzee wangu ni mwenyekiti wa kitongoji tangu miaka ya 1980s enzi za TANU pia ni balozi wa kudumu wa nyumba 50. Sio wewe kadi umepewa stendi ya daladala halafu unaleta ujuajiHatuna mwana CCM aina yako asiyejitambua wala kujielewa. CCM hatugawani wala kugawa ajira bali ndani ya CCM na serikali yake kunagawiwa majukumu kulingana na uwezo wa mtu kiuongozi na kumudu majukumu ya kazi husika.
Tena wamevaa laana tupuWamepewa na buku 5 ya mboga 🤣🤣🤣
Huu uzi nao no ujinga mtupu, kweli chama dola kilichopo madarakani toka 1954 mpakq leo unakianzishia uzi kwa watu waliovaa mashati na magauni ya Kijani???
Hawezi kuachia kiti kwani nae ni muhananga kama wahananga wengine, ila mbowe ana view, na stratergies za hali ya juu kuliko unavyo mdhani, japo hafai kua kiongozi wa nchi! Kwahivyo basi mimi sifungamani na wahananga waina yoyote, ila nawasikiliza na wakumuelewa na muelewa na wakumkataa namkataa! Bahati mbaya watu wanaofaha kutuongoza wengine hawafungamani na chama chochote, hivyo mimi nipo kwenye kundi la wanao tamani swala la wagombea binafsi lifikiwe kama likiwezekanaUko sahihi kabisa. Ndiyo maana Mbowe hawezi kuachia kiti cha mwenyekiti wa maisha wa (Saccos yake?)
Mbona polisi walikuwa wamejaa barabarani kuzuia jaribio lolote la watu kuandamana?Nenda basi na wewe ukawakusanye hao wanafunzi na watumishi kama unaweza. Si unaona mliitisha maandamano lakini mkakosa watu wa kuandamana hata wanavyuo tu waliwagomea?
Kama kila mtu akitoka humo ana kaelf khamsin kake kwanini wasijae
Huyu pimbi ameijua CCM baada ya kuajiriwa UWT ChunyaMimi ni CCM kwa kuzaliwa, nimezaliwa kijijini nyumbani kuna bendera ya chama hadi leo, mzee wangu ni mwenyekiti wa kitongoji tangu miaka ya 1980s enzi za TANU pia ni balozi wa kudumu wa nyumba 50. Sio wewe kadi umepewa stendi ya daladala halafu unaleta ujuaji
Mimi hadi kadi ya chipukizi ninayo kabla hazijapotea. Acha kujiona una hatimiliki na chama ambacho umekijua ukubwani pimbi wewe
Tena walitumia nguvu kubwa kupita kiasiMbona polisi walikuwa wamejaa barabarani kuzuia jaribio lolote la watu kuandamana?
Duniani kuna mnyiha mwenye akili?Juliana shonza-mnyiha(chadema kwenda ccm),john silinde mnyiha(chadema kwenda ccm)mwampamba yule alimla jokate jpm akakasirika, mnyiha(chadema kwenda ccm).we we mnyiha uko ccm.Tafuta mnyakyusa aliehama chadema kwenda ccm.uwe na adabuMtaendelea kuwa na ujinga huohuo.
Nashangaa sana kitengo cha Propaganda cha CCM kimekosa hoja kabisa. Yaani uchaguzi uwe wa huru na haki wanachapika mapema mnooo. Juzi, jana na leo tumeendeshana sana na harakati za uchaguzi wa serikali za mitaa. Chama dola kinatapatapa huku kikimtumia Afisa Mtendaji wa mtaa asaidie mizengwe. 🤣🤣🤣Tena wamevaa laana tupu
Nani kakwambia CCM huwa inalazimisha mtu kwenda kwenye mikutano yake? Halafu nani kakwambia kuwa wakuu wa idara au watumishi siyo wapiga kura na siyo watanzania? Unaweza vipi lazimisha watu wengi kiasi hiki kuja mkutanoni?Futa ujinga wako, hapo kuna wakuu wa Idara, watumishi wa umma na wanafunzi wa sekondari wamelazimishwa kwenda na kuvalishwa hizo nguo za laana.
Ubongo wake umesha ganda kama yai la kuchemshaHili jitu huwa halina akili wala mshipa wa aibu hata kidogo
Hakuna mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kuwaunga mkono CHADEMA genge la wasaka Tonge na wachumia tumboNashangaa sana kitengo cha Propaganda cha CCM kimekosa hoja kabisa. Yaani uchaguzi uwe wa huru na haki wanachapika mapema mnooo. Juzi, jana na leo tumeendeshana sana na harakati za uchaguzi wa serikali za mitaa. Chama dola kinatapatapa huku kikimtumia Afisa Mtendaji wa mtaa asaidie mizengwe. 🤣🤣🤣
Mchezo wa safari hii mtaani kwangu ninao hawa yaani ni jino kwa jino.
🤣🤣🤣Nani kakwambia CCM huwa inalazimisha mtu kwenda kwenye mikutano yake? Halafu nani kakwambia kuwa wakuu wa idara au watumishi siyo wapiga kura na siyo watanzania? Unaweza vipi lazimisha watu wengi kiasi hiki kuja mkutanoni?View attachment 3121172View attachment 3121173View attachment 3121174