Kama Mkutano wa Ndani Unajaa Watu Kiasi Hiki. Vipi Kwa Mkutano wa Nje? CCM ina uwezo wa kujaza hata Uwanja wa Taifa

Toeni haki sawa kwa vyama vyote ndo utuleze " UHARO" wako.
 
Nimejikuta nabubujika tu.
 
Sio Uwanja wa Taifa pekee bali CCM ina uwezo wa kuijaza Arusha, Kilimanjaro na Ufipa kwa umati wa watu.

Tunaweza kusema Tanzania ni CCM na CCM ndio Tanzania yenyewe.

Wakati CCM inajaza uwanja kwa rangi za kijani na njano, Chadema wanashughulika na majukwaa ya kutunga hadithi kama waandishi wa filamu za vichekesho.

Wanadhani wanaweza kuandika script ya ushindi, lakini ukweli ni kwamba hadithi yao haivutii hadhira, ndio maana imekosa wafuatiliaji.

Narejesha kipaza sauti kwako Lucas Mwashambwa
 
Unaweza vipi walipa watu hawa wote ili wahudhurie mkutanoni? Kwa pesa kiasi gani hicho? Watu wanahudhuria mikutano ya CCM kwa hiyari yao na kwa upendo wao kwa CCM kama unavyoona hapaView attachment 3121253View attachment 3121254
Mkapa alisema ilibidi serikali itumie bilioni 100 kuikoa ccm bado Kikwete na Magufuli, hatujajua Rais Samia atatumia trilioni ngapi kuendelea kuiokoa ccm.
 
Umenena ukweli mtupu na mchungu sana kwa nyumbu wa Ufipa.
 
Wewe namba yako si huwa unaiweka humu? Tuma hapa, siwezi kuweka picha public kuna waandamanaji wengi wasingependa kuonekana hapa hadharani
Kwani mlikuwa mnaandamana vyumbani,gizani au uchochoroni? Kama mlikuwa mnaandamana kwa watu Kwanini sasa hamtaki sasa kuonekana hapa mlivyoandamana?
 
..vipi Ccm kununua kuhonga na kununua wapinzani?

..Je, fedha za kununua wapinzani ni michango ya wanachama wa Ccm, au kodi zetu walalahoi kama ruzuku?
CCM haiwezi kumnunua mtu kwa ajili ya kujiunga . CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…