GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Muda mwingine huwa kichwa chako unakiacha kwa mke wako genta eti?Ni sehemu Kuu ya Agano la 'Kishirikina' kutoka kwa Waganga wao wa Kienyeji ( hasa yule wa kutoka Kigamboni aliyekuwa akimpa Dawa ya Mvuto wa Watanzania wote Mstaafu namba...
Well said.Kwahiyo taasisi zote ziache kutoa misaada kwenye vituo vya watoto yatima kwa sababu wanatoa kafara?...
acha kupindisha manenoKwahiyo taasisi zote ziache kutoa misaada kwenye vituo vya watoto yatima kwa sababu wanatoa kafara?
We jamaa uwa ni mjinga Sana kujifanya unajua kila kitu yaani watu waache kusaidia vituo kisa wewe hautaki.
Pumbavu huna akili.
Umeshasema KOLO,na ukisema umesema hufuti[emoji847]Ni sehemu Kuu ya Agano la 'Kishirikina' kutoka kwa Waganga wao wa Kienyeji ( hasa yule wa kutoka Kigamboni aliyekuwa akimpa Dawa ya Mvuto wa Watanzania wote Mstaafu namba Nne wa Pwani na ambaye pia alimsaidia Kushinda Kesi mbaya ya Bandarini aliyekuwa Boss wa huko mwenye Jina la Ukoo lifananalo na Kitoweo cha Baharini ) ili Ushindi upatikane na katika huko huko kutoa Misaada kuna 'Ushirikina' unafanyika kupitia hao Watoto au Wazee.
Timu inajali tu Waganga siyo Wachezaji.
Mtu anayetafunwa siyo mpaka awe na kikuku mguuni!!Ni sehemu Kuu ya Agano la 'Kishirikina' kutoka kwa Waganga wao wa Kienyeji ( hasa yule wa kutoka Kigamboni aliyekuwa akimpa Dawa ya Mvuto wa Watanzania wote Mstaafu namba Nne wa Pwani na ambaye pia alimsaidia Kushinda Kesi mbaya ya Bandarini aliyekuwa Boss wa huko mwenye Jina la Ukoo lifananalo na Kitoweo cha Baharini ) ili Ushindi upatikane na katika huko huko kutoa Misaada kuna 'Ushirikina' unafanyika kupitia hao Watoto au Wazee.
Timu inajali tu Waganga siyo Wachezaji.
Mswalie Mtume GENTA.Ni sehemu Kuu ya Agano la 'Kishirikina' kutoka kwa Waganga wao wa Kienyeji ( hasa yule wa kutoka Kigamboni aliyekuwa akimpa Dawa ya Mvuto wa Watanzania wote Mstaafu namba Nne wa Pwani na ambaye pia alimsaidia Kushinda Kesi mbaya ya Bandarini aliyekuwa Boss wa huko mwenye Jina la Ukoo lifananalo na Kitoweo cha Baharini ) ili Ushindi upatikane na katika huko huko kutoa Misaada kuna 'Ushirikina' unafanyika kupitia hao Watoto au Wazee.
Timu inajali tu Waganga siyo Wachezaji.
Wapi nimetaja jina la Masamaki na wapi nimemsema Yeye ni Shabiki wa Yanga SC? Umeyaelewa vyema Maelezo yangu?Mswalie Mtume GENTA.
Masamaki naye ni shabiki wa Uto?
Utopolo wanajua nyota ishakauka na inazima muda si muda, tegemeo lao kubwa ni mtalaka na sangoma
Bangi zangu tu.Wapi nimetaja jina la Masamaki na wapi nimemsema Yeye ni Shabiki wa Yanga SC? Umeyaelewa vyema Maelezo yangu?
Una matatizo ya akili sio bure ahaaaNi sehemu Kuu ya Agano la 'Kishirikina' kutoka kwa Waganga wao wa Kienyeji ( hasa yule wa kutoka Kigamboni aliyekuwa akimpa Dawa ya Mvuto wa Watanzania wote Mstaafu namba Nne wa Pwani na ambaye pia alimsaidia Kushinda Kesi mbaya ya Bandarini aliyekuwa Boss wa huko mwenye Jina la Ukoo lifananalo na Kitoweo cha Baharini ) ili Ushindi upatikane na katika huko huko kutoa Misaada kuna 'Ushirikina' unafanyika kupitia hao Watoto au Wazee.
Timu inajali tu Waganga siyo Wachezaji.
Matatizo yote yalianzia hapaNawaona sana insta, wakigawa pipi kwa yatima na kuwapiga sana picha