GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ni sehemu Kuu ya Agano la 'Kishirikina' kutoka kwa Waganga wao wa Kienyeji ( hasa yule wa kutoka Kigamboni aliyekuwa akimpa Dawa ya Mvuto wa Watanzania wote Mstaafu namba Nne wa Pwani na ambaye pia alimsaidia Kushinda Kesi mbaya ya Bandarini aliyekuwa Boss wa huko mwenye Jina la Ukoo lifananalo na Kitoweo cha Baharini ) ili Ushindi upatikane na katika huko huko kutoa Misaada kuna 'Ushirikina' unafanyika kupitia hao Watoto au Wazee.
Timu inajali tu Waganga siyo Wachezaji.
Timu inajali tu Waganga siyo Wachezaji.