Kama mnajua Sumaye na Lowassa walikuja Chadema kuibomoa, kwanini mnaendelea kumtukana Dkt. Slaa?

Kama mnajua Sumaye na Lowassa walikuja Chadema kuibomoa, kwanini mnaendelea kumtukana Dkt. Slaa?

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Siasa za vyama vya upinzani ni zaidi ya Comedy! Siku zote walikuwa wakimtusi Dr Slaa kuwa alinunuliwa, alisaliti chama wakati muhimu na maneno kedekede ya kebehi, lakini mpaka jana mwenyezi Mungu alituonesha unafiki wa upinzani katika siasa zetu! Eti leo wanatuaminisha SUMAYE na LOWASA walitumwa na CCM kuja kuibomoa CHADEMA! Sasa kama mnajua hilo kwann mnaendelea kumkebehi Dr Slaa?

Dr. Slaa alikuwa sahihi kujiengua Chadema kwa ujio wa hawa watu tena afadhali ata wangekuwa wanachama tu kuliko kumpa ugombea urais, mpaka hapa tuamini siasa ni itikadi japo wengine wameigeuza kuwa biashara.
idawa
 
Siasa za vyama vya upinzani ni zaidi ya Comedy! Siku zote walikuwa wakimtusi Dr Slaa kuwa alinunuliwa, alisaliti chama wakati muhimu na maneno kedekede ya kebehi, lakini mpaka jana mwenyezi Mungu alituonesha unafiki wa upinzani katika siasa zetu! Eti leo wanatuaminisha SUMAYE na LOWASA walitumwa na CCM kuja kuibomoa CHADEMA! Sasa kama mnajua hilo kwann mnaendelea kumkebehi Dr Slaa?

Dr. Slaa alikuwa sahihi kujiengua Chadema kwa ujio wa hawa watu tena afadhali ata wangekuwa wanachama tu kuliko kumpa ugombea urais, mpaka hapa tuamini siasa ni itikadi japo wengine wameigeuza kuwa biashara.
idawa
..
 
Yeye dr mihogo kama hakuwa na hamu na CCM tokea awali kwa nini hakutumia nafasi yake kama katibu mkuu wa chama akamshawishi mwenyekiti wake pamoja na viongozi wengine juu ya kuachana na mpango wa hayo makapi ya CCM? Ukweli ni kuwa huyu Dr mihogo ni mnafiki na mwenye njaa kali sana. Alikuwa ni mmoja wa wapanga mikakati na wanaccm kule lumumba akishirikiana na Prof Lipumba kuihujumu UKAWA katika uchaguzi 2015.
 
Siasa za vyama vya upinzani ni zaidi ya Comedy! Siku zote walikuwa wakimtusi Dr Slaa kuwa alinunuliwa, alisaliti chama wakati muhimu na maneno kedekede ya kebehi, lakini mpaka jana mwenyezi Mungu alituonesha unafiki wa upinzani katika siasa zetu! Eti leo wanatuaminisha SUMAYE na LOWASA walitumwa na CCM kuja kuibomoa CHADEMA! Sasa kama mnajua hilo kwann mnaendelea kumkebehi Dr Slaa?

Dr. Slaa alikuwa sahihi kujiengua Chadema kwa ujio wa hawa watu tena afadhali ata wangekuwa wanachama tu kuliko kumpa ugombea urais, mpaka hapa tuamini siasa ni itikadi japo wengine wameigeuza kuwa biashara.
idawa
Dr Slaa alisema kwamba kaondoka Chadema kwa vile Chadema wamechukua kinyesi toka chooni (CCM) na kukiweka sebuleni (Chadema). Lakini cha kushangaza yeye huyo huyo akaenda huko chooni, sasa wale aliowakiambia wamerudi tena chooni,swali: jee atawakiambia arudi sebuleni (Chadema)? Mods nimetumia lugha aluyotumia Dr. Slaa kuulezea ujio wa Lowasa Chadema, sioni sababu kufuta post hii. Mbona za wana CCM kutuita sisi nyumbu hamzifuti? Twendeni sawa kwani mjue na Sisi ni binadamu tuna nyongo tukiudhiwa tunaudhika na viongozi wetu wakikashifiwa tunachukia. Mods tendeni haki iacheni post yangu hivi hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa za vyama vya upinzani ni zaidi ya Comedy! Siku zote walikuwa wakimtusi Dr Slaa kuwa alinunuliwa, alisaliti chama wakati muhimu na maneno kedekede ya kebehi, lakini mpaka jana mwenyezi Mungu alituonesha unafiki wa upinzani katika siasa zetu! Eti leo wanatuaminisha SUMAYE na LOWASA walitumwa na CCM kuja kuibomoa CHADEMA! Sasa kama mnajua hilo kwann mnaendelea kumkebehi Dr Slaa?

Dr. Slaa alikuwa sahihi kujiengua Chadema kwa ujio wa hawa watu tena afadhali ata wangekuwa wanachama tu kuliko kumpa ugombea urais, mpaka hapa tuamini siasa ni itikadi japo wengine wameigeuza kuwa biashara.
idawa
Walisaidia kupata wabunge wengi na kura milion 6 na ruzuku kuongezeka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa za vyama vya upinzani ni zaidi ya Comedy! Siku zote walikuwa wakimtusi Dr Slaa kuwa alinunuliwa, alisaliti chama wakati muhimu na maneno kedekede ya kebehi, lakini mpaka jana mwenyezi Mungu alituonesha unafiki wa upinzani katika siasa zetu! Eti leo wanatuaminisha SUMAYE na LOWASA walitumwa na CCM kuja kuibomoa CHADEMA! Sasa kama mnajua hilo kwann mnaendelea kumkebehi Dr Slaa?

Dr. Slaa alikuwa sahihi kujiengua Chadema kwa ujio wa hawa watu tena afadhali ata wangekuwa wanachama tu kuliko kumpa ugombea urais, mpaka hapa tuamini siasa ni itikadi japo wengine wameigeuza kuwa biashara.
idawa
Post of the year
 
Back
Top Bottom